Ushauri: Vyuo vikuu vibaki vitano tu nchini

Equitable

JF-Expert Member
Dec 24, 2021
2,010
5,449
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.

Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4. St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Kwa sababu mtaji wenu wajinga unapukutika?
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yite.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Umesahau OUT najua wengi watapinga, hakika kwa taaluma endelevu OUT is one of the best university Tanzania.
 
Mzumbe
Muhimbili..
IFM, IAA, CBE, TIA wahasibu, Bankers, Afisa Ugavi asilimia kubwa ni product za hivi vyuo.
Ardhi ina Ma Injia wake huku mtaani.

Mtoa mada sijui umewaza nini? Au pengine useme kila mtoa uwe na vyuo at least vinne/ 5
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Kwa hiyo MUHAS, CUHAS etc zifutwe ?
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Mpaka sasa kwa elimu yako umeitumia kulifanyia nini Taifa ?
 
Back
Top Bottom