Ushauri: Vyuo vikuu vibaki vitano tu nchini

Ushauri: Vyuo vikuu vibaki vitano tu nchini

Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.

Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4. St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Huo ni mtazamo wako hujaangalia kuwa Watu wanazidi kuongezeka hivyo demand inakuwa kubwa sasa vikiwa vichache si inakuwa kero na ubabaishaji
 
  • ili uweze kuendesha biashara ya Saccos ni lazima uwe na cooperative Manager ambaye ni degree holder wa degree ya cooperative management and accounting, hapo ofisini kwenu Kuna Saccos na meneja wa hiyo Saccos ana elimu gani? La 7 au
  • Kuna kitu kinaitwa Coperative accounting, hilo somo ndiyo moyo wa biashara ya ushirika,
  • Kuna kitu kinaitwa Cooperative law unakijua?
  • serikali haiwezi kuifuta MoCu kwa sababu ndiyo chuo kinachokuza sekta ya ushirika, na kama hujui ushirika ni sector inayokuwa kwa kasi sana, tazama Kila ofisi Kuna Saccos kuanzia Jeshini,magereza,polisi,tra, mahakama,nk
Hakuna cha cooperative manager wala cha saccos, serekàli futilia mbali huu uozo
 
Uchawi ndio huo.

Badala useme hata kila mkoa uwe na university unataka vipungue.
 
Training kubwa skiils middle level no siyo training of managers ktk vyuo ambap hawana watu wa kuwasimamia
 
Hakuna cha cooperative manager wala cha saccos, serekàli futilia mbali huu uozo
Hujajibu hoja Bwashee,
Jibu hoja
Serikali haiwezi kufuta ushirika Tena ndiyo unazidi kuukuza mfano kuanzisha Tume ya maendeleo ya ushirika, Kuanzisha Ushirika katika Kila taasisi ya serikali
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.

Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4. St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
wewe umefika kidato gani? wewe ni msukuma?
 
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.

Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4. St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Nonsense, udsm hiyo watu Wana nunua GPA, watu Wana andikiwa research na supervisor WAo. Nonsense me nadhani ungeshauri standard za vyuo vikuu ziwe monitored.
 
Back
Top Bottom