Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Eeh ndio...mkiwa wengi sana wala hakuna rahaSema unataka wenye degree mbaki wachache wala sio hayo uliyoyasema


sasa hivi kila familia ina graduate 
iko wapi heshima ya degreeEeh ndio...mkiwa wengi sana wala hakuna rahaSema unataka wenye degree mbaki wachache wala sio hayo uliyoyasema


sasa hivi kila familia ina graduate 
iko wapi heshima ya degreeVyuo vyenye hadhi vibaki na vile vichaka vya rushwa na ubadhirifu vitupiliwe mbali.Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Watz wenye degree hawafiki hata mil3 so unadhani hapo degree zinatosha?Eeh ndio...mkiwa wengi sana wala hakuna rahasasa hivi kila familia ina graduate
iko wapi heshima ya degree
DisgustingMtoa mada yuko na hoja ya msingi sana, inaweza isiwe exactly alivyosema coz linahitaji kuchakatwa, ila idadi ya universities iangaliwe tena upya.
Tunahitaji vocational training institutions zaidi ya "universities".
Mnamaliza vyuo hakuna mnalojua, huko maofisini wanalalamika uwezo mdogo, maana yake ni kuwa hamkupikwa vizuri.Disgusting
😁😁 Aah wapi, milioni tatu? Haifiki?Watz wenye degree hawafiki hata mil3 so unadhani hapo degree zinatosha?
Kinaitwa Chuo Kikuu Ardhi siyo Chuo Kikuu cha ArdhiChuo kikuu cha Ardhi hukitaki pia?
Chuo Kikuu Cha Archi ilikuwa chini ya UDSMChuo kikuu cha Ardhi hukitaki pia?
Hivyo vyuo vitoe Advanced Diploma kama ilivyokuwa awaliMzumbe
Muhimbili..
IFM, IAA, CBE, TIA wahasibu, Bankers, Afisa Ugavi asilimia kubwa ni product za hivi vyuo.
Ardhi ina Ma Injia wake huku mtaani.
Mtoa mada sijui umewaza nini? Au pengine useme kila mtoa uwe na vyuo at least vinne/ 5
Hayuko serious🤣Tuanze nae akamatwe😂😂
Wasingejitenga tu.....wangeendelea kuwa chini ya UDSMChuo Kikuu Cha Archi ilikuwa chini ya UDSM
🤣Sawa DVC wa chuo kikuu CHA ArdhiKinaitwa Chuo Kikuu Ardhi siyo Chuo Kikuu cha Ardhi