Ushauri: Vyuo vikuu vibaki vitano tu nchini

Ushauri: Vyuo vikuu vibaki vitano tu nchini

Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.

Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.

1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.

2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.

3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.

4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.

5. Tumain University ya Iringa tu.

Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.

Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Vyuo vyenye hadhi vibaki na vile vichaka vya rushwa na ubadhirifu vitupiliwe mbali.
 
Unataka vibaki vichache alafu hao VC na Chancellor unawapeleka wapi, hupendi watu waendeshe V8 wewe 🤪
 
Unajua ukikurupuka utajikuta umeanguka ndani ya pipa la pombe. Hili suala la vijana wa sasa wanaosoma UDSM kujiona so exceptional na much know limeisha ongelewa sn humu. Mimi nilisema vijana wengi wa sasa mnaosoma hapo mnapomaliza ni empty headed Bora hata Jordan graduates. Nashangaa wewe ndiyo unawasifia eti kwa vile na wewe ni mhitimu wa hapo. Ebu tu angalia ulivyoandika Kiingereza chako eti "incompetence products". Km wewe tu hujui kutunga sentence ndogo kwa Kiingereza km "incompetent products" unasema "incompetence products" unawezaje kuwadharau wenzio. Yani graduate kabisa tena unajigamba wa UDSM unaandika"incompetence products". English ya wapi hiyo ha ha ha 😃😃😃😃😃 Na wewe ni bora nichague andazi nitapata harufu ya iliki.
 
Unajua ukikurupuka utajikuta umeanguka ndani ya pipa la pombe. Hili suala la vijana wa sasa wanaosoma UDSM kujiona so exceptional na much know limeisha ongelewa sn humu. Mimi nilisema vijana wengi wa sasa mnaosoma hapo mnapomaliza ni empty headed Bora hata Jordan graduates. Nashangaa wewe ndiyo unawasifia eti kwa vile na wewe ni mhitimu wa hapo. Ebu tu angalia ulivyoandika Kiingereza chako eti "incompetence products". Km wewe tu hujui kutunga sentence ndogo kwa Kiingereza km "incompetent products" unasema "incompetence products" unawezaje kuwadharau wenzio. Yani graduate kabisa tena unajigamba wa UDSM unaandika"incompetence products". English ya wapi hiyo ha ha ha 😃😃😃😃😃 Na wewe ni bora nichague andazi nitapata harufu ya iliki.
 
Mtoa mada yuko na hoja ya msingi sana, inaweza isiwe exactly alivyosema coz linahitaji kuchakatwa, ila idadi ya universities iangaliwe tena upya.

Tunahitaji vocational training institutions zaidi ya "universities".
 
Mtoa mada yuko na hoja ya msingi sana, inaweza isiwe exactly alivyosema coz linahitaji kuchakatwa, ila idadi ya universities iangaliwe tena upya.

Tunahitaji vocational training institutions zaidi ya "universities".
Disgusting
 
Mzumbe
Muhimbili..
IFM, IAA, CBE, TIA wahasibu, Bankers, Afisa Ugavi asilimia kubwa ni product za hivi vyuo.
Ardhi ina Ma Injia wake huku mtaani.

Mtoa mada sijui umewaza nini? Au pengine useme kila mtoa uwe na vyuo at least vinne/ 5
Hivyo vyuo vitoe Advanced Diploma kama ilivyokuwa awali
 
Back
Top Bottom