Voice of Tanzania
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 2,143
- 3,226
Wewe umesoma chuo kipi kati ya hivyo kwenye orodha yako?
Hii ni FTC college na ilitakiwa iwe hivyo sio kujimwambafai ni University!Chuo kikuu cha Ardhi hukitaki pia?
Ukiyageuza haya maneno kwenda kiingereza halafu ukafanya search mtandaoni.....Utajua maana ya Uzi huu.incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero
Udsm imezalisha mafisadi wengi na ndo wanaoleta matatizo ktk nchi hii napendekeza kifutwe.ktk orodha hiyo naongeza MoCU ni chuo safi kabisa kimezalisha wazalendo wengi ambao wako smart.Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
DITMzumbe
Muhimbili..
IFM, IAA, CBE, TIA wahasibu, Bankers, Afisa Ugavi asilimia kubwa ni product za hivi vyuo.
Ardhi ina Ma Injia wake huku mtaani.
Mtoa mada sijui umewaza nini? Au pengine useme kila mtoa uwe na vyuo at least vinne/ 5
Cha muhimu sana hiki chuoUmesahau OUT najua wengi watapinga, hakika kwa taaluma endelevu OUT is one of the best university Tanzania.
Mleta uzi ana shida kichwani na tatizo limeanza baada ya kutoitaja Muhas, hata hivyo ameongea kihisia usikute hajawahi hata kwenda au kupata ushuda vyuo alivyovitaja vibaki na kuona hali halisi.Muhimbili kifutwe Nani atawatibu?ifm ifutwe Nani atawatunzia fedha zenu
Hili andiko lako tu linaonyesha wewe ni mtu wa aina gani kazini! Nakushauri kalime shamba lako, jipe ushauri mwenyewe,Nashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
Hayo yalikuwa matawi ya UDSM. YaendeleeMzumbe
Muhimbili..
IFM, IAA, CBE, TIA wahasibu, Bankers, Afisa Ugavi asilimia kubwa ni product za hivi vyuo.
Ardhi ina Ma Injia wake huku mtaani.
Mtoa mada sijui umewaza nini? Au pengine useme kila mtoa uwe na vyuo at least vinne/ 5
UjingaNashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata
1. UDSM na matawi yakeNashauri vyuo vikuu vibaki vitani tu vingine vifutwe. Huku maofsini tunapata shida sana kwa kuletewa incompetence products kutoka vyuo vya ovyo.
Wabishi bila kutoa solution , wavivu na wapinga majungu tu, wenye kutaka malipo makubwa lakini ufanisi kazini zero.
Nashauri vyuo vifuatavyo vibaki.
1. UDSM na matawi yake yote.
Hawa ni wajuzi. Wanakosoa bila uwoga na wanatoa alternatives. Ni wabishi kwa reasoning. Nawapenda.
2. SUA. Hawa ni mtu kazi . Hawataki longolongo. Sio wabishi japo hushauri kwa woga.
3. UDOM hawa wanatakiwa wawe chini ya uangalizi wa UDSM kwa miaka kadhaa. Wanapapara nyingi na kujipendekeza kwa bosi. Siyo washauri sana . Wanafuata tu wanachoelezwa na bosi. Ni walamba miguu ila wanafaa sana kwetu mabosi maana ni chawa.
4.St. Augustin ibaki main campus tu ya Nyegezi Mwanza.
5. Tumain University ya Iringa tu.
Pamoja na yote masomo ya saikolojia na filosofia pamoja na Research yatiliwe maanani sana.
Jiwe gizani atakayefanya ^ shiiiiiiii" ujuwe limempata