Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,596
Aje kwangu atembee 😂😂😂
Hapo sawa! Ngoja watu watoe ushauri kwanza tusiharibu uzi wa watuHaiwezi tokea vita buana hehehheh waarabu wapemba wanajuana kwa viremba ati.....
Hapo sawa! Ngoja watu watoe ushauri kwanza tusiharibu uzi wa watu




Ngoja nifanye mpango nije piyemu tujadiliKuna jika pesa yako
Kwako wapi Mama Sabrina ?Aje kwangu atembee 😂😂😂
Mkuu Egypt kagoma iwe south Sudan??Mlete south Sudan mkuu
Yeye na mkewe na mtoto wao, right??Aje kwangu atembee 😂😂😂
Mwanza
Rafikiiiiii.Kina mwajei tunakomenti wapi
Mwanzo nilijua ni wewe umetumia mwamvuli wa rafiki ila baada ya kusoma bandiko lote nikagundua sio labda uwe umeamua kutwist baadhi ya facts kwa makusudi utupoteze maboyaRafikiiiiii.
Mimi na wewe sawa sawa. Me mpambe tu


Hahahaahahahahah!Mwambie aje huku Kolomije hatojutia.
Haya mgao wangu uko wapi?
Unakwama sana rafiki😀😀😀😀😀Mwanzo nilijua ni wewe umetumia mwamvuli wa rafiki ila baada ya kusoma bandiko lote nikagundua sio labda uwe umeamua kutwist baadhi ya facts kwa makusudi utupoteze maboya![]()
Napajua basi?? Me mwenyewe nashangaaunadhani nakwama wapi
Madagascar apitie route ya wapi mkuu?? I checked it once kupita Comoros nkaona nayo ni expensive kwenye flights mkuuMkuu mwambie aje Hapa Madagascar hatojutia