Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,618
- 27,599
Aje kwangu atembee 😂😂😂
Hapo sawa! Ngoja watu watoe ushauri kwanza tusiharibu uzi wa watu[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Haiwezi tokea vita buana hehehheh waarabu wapemba wanajuana kwa viremba ati.....
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Hapo sawa! Ngoja watu watoe ushauri kwanza tusiharibu uzi wa watu
Ngoja nifanye mpango nije piyemu tujadiliKuna jika pesa yako
Kwako wapi Mama Sabrina ?Aje kwangu atembee 😂😂😂
Mkuu Egypt kagoma iwe south Sudan??Mlete south Sudan mkuu
Yeye na mkewe na mtoto wao, right??Aje kwangu atembee 😂😂😂
Mwanza
Rafikiiiiii.Kina mwajei tunakomenti wapi
Mwanzo nilijua ni wewe umetumia mwamvuli wa rafiki ila baada ya kusoma bandiko lote nikagundua sio labda uwe umeamua kutwist baadhi ya facts kwa makusudi utupoteze maboya[emoji3][emoji3]Rafikiiiiii.
Mimi na wewe sawa sawa. Me mpambe tu
Hahahaahahahahah!Mwambie aje huku Kolomije hatojutia.
Haya mgao wangu uko wapi?
Unakwama sana rafiki😀😀😀😀😀Mwanzo nilijua ni wewe umetumia mwamvuli wa rafiki ila baada ya kusoma bandiko lote nikagundua sio labda uwe umeamua kutwist baadhi ya facts kwa makusudi utupoteze maboya[emoji3][emoji3]
[emoji3][emoji3][emoji3] unadhani nakwama wapiUnakwama sana rafiki[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Napajua basi?? Me mwenyewe nashangaa[emoji3][emoji3][emoji3] unadhani nakwama wapi
Madagascar apitie route ya wapi mkuu?? I checked it once kupita Comoros nkaona nayo ni expensive kwenye flights mkuuMkuu mwambie aje Hapa Madagascar hatojutia