Ushauri unahitajika: Which country should he visit?

Ushauri unahitajika: Which country should he visit?

Hivi unam-consider huyo mtoto kama pax by himself??

I will tell you my experience. Malaysia is a beautiful country. Its cities are attractive. Air ticket from Dar to KL ni $610 kwa hiyo watu wawili itakuwa ni $1220 na mtoto analipiwa 10% ya ticket ya guardian wake so ni $61. Kwa hiyo tickets for all of them itawagharimu roughly $1300.

Fantastic room in Kuala Lumpur ni $50 per night on bead and breakfast kwa hiyo kwa dola 350 they can secure a very good accommodation for themselves for a week. Standard amount for meals ni $10 per person per meal kwa hiyo in a day watatumia $40 which means per week watatumia $300.

Let them visit Menara tower, Petronas towers, Big malls in KL ambazo zote zinapatikana pale CBD hiyo haitowagharimu hata $40. Let them visit Batu caves in another day ambapo kiingilio ni $5 per person, let them attend cinema show in one night ambapo kiingilio ni $10 per person ambayo itakuwa ni $20 let them do city tour on a olen roof buses ambapo fee ni $10 per person.

On another night let them visit China town in the afternoon ambapo ni kama kariakoo tu ambapo ni free, then at night let them visit Kuala night market ambapo they will just go for dinner, they wont spend more than $20 and mind you hela ya meals kwa siku zote hizo nshaigia hesabuni pale juu. Out of those 7 night they can opt to stay in their rooms and have s*x for two nights without going anywhere.

Kwahiyo bro usidhani hiyo pesa ni ndogo na tusiwakatishe travellers kama Mother Confessor tamaa.

cc: RRONDO
Hahahah umenikumbusha kitu Kuala Lumpur....hahah what's up Skillet...lol
 
mkuu, hapo ni lazima apunguze baadhi ya masharti.....either amuache mtoto au mkewe apambane na hali yake....wakifanya mchezo watajikuta wanapanda bombadia ...ni saa 1 na 30mn tuu unatua songwe hapo....... hapo hali ya hewa, umbali na budget zote zinabalance!
 
mkuu, hapo ni lazima apunguze baadhi ya masharti.....either amuache mtoto au mkewe apambane na hali yake....wakifanya mchezo watajikuta wanapanda bombadia ...ni saa 1 na 30mn tuu unatua songwe hapo....... hapo hali ya hewa, umbali na budget zote zinabalance!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

You made me laugh mkuu
 
Just for the update wakuu,

1123600

1123601

1123602
1123603
1123604
1123606
1123607
1123608
1123609
1123610
1123611
1123613
1123614
 
Hiyo hapl nyumba fantastic na bei yake it's around $80 per night na breakfast included. Maana yake ni kwamba accommodation watapata kwa $500 for the whole week. Na flight zao kama nlivyoangalia Jana itawacost $1300 (return tickets) meals zao $ 300 for the whole week stay zilizobaki $400 watafanya taxi na excursions. Kwa hiyo inawezekana na budget sio ndogo kudaadeki
 
Ela yake ndogo sana hats nauli haitoshi
Mfano kama akienda turkey
Visa 400000
Flight go & return per kichwa USD 1400×2(mkewe) × watoto
Health insurance $ 600
Hotel per day 20$

Hivyo viela vyake aje tu huko moshi anywe mbege arudi au aonge dau angalau dollar 15000 ili anjoy maisha ya mbele
 
Mkuu mbona sehemu zipo nyingi sanaa

Mwambie aende china akadhuru lile daraja la kioo

Au iceland kule kuna hotel za chini ya bahari ata enjoy

Au Atakama Namibia kwenye jangwa la atakama kuna adventures nyingi tu na ni cheap kwa kiasi chake

Au Italy akahudhurie matamasha ya miziki ya asili ya watu wa italy

Au Brazil...., huko ndo kuna alot of adventures

Au mwambie akatembelee hata mbuga ya serengeti
Ela yake ndogo sana dollar 2500 = tsh 5,000,000 so viela vidogo sana wala hafiki mahali
 
Ela yake ndogo sana hats nauli haitoshi
Mfano kama akienda turkey
Visa 400000
Flight go & return per kichwa USD 1400×2(mkewe) × watoto
Health insurance $ 600
Hotel per day 20$

Hivyo viela vyake aje tu huko moshi anywe mbege arudi au aonge dau angalau dollar 15000 ili anjoy maisha ya mbele
Wewe hata kusafiri hujawahi inaonyesha.

Acha uongo mkuu, ntakuwekea data hapa uumbuke
 
Mwambie aanze na utalii wa ndani kwanza. Kwa budget aliyonayo ataenda na familia yake Ngorongoro, Serengeti , Mikumi NK, na ataenjoy sana. Asisahau kwenda Zanzibar kuogela na dolphins.
 
Wewe hata kusafiri hujawahi inaonyesha.

Acha uongo mkuu, ntakuwekea data hapa uumbuke
Weka data zako mkuu hiyo pesa ni ndogo kwa nchi za ulaya na documents ndio zitakukataa hasa kwenye uombaji wa visa kama schengen visa na healthcare insurance
 
Back
Top Bottom