Hivi unam-consider huyo mtoto kama pax by himself??
I will tell you my experience. Malaysia is a beautiful country. Its cities are attractive. Air ticket from Dar to KL ni $610 kwa hiyo watu wawili itakuwa ni $1220 na mtoto analipiwa 10% ya ticket ya guardian wake so ni $61. Kwa hiyo tickets for all of them itawagharimu roughly $1300.
Fantastic room in Kuala Lumpur ni $50 per night on bead and breakfast kwa hiyo kwa dola 350 they can secure a very good accommodation for themselves for a week. Standard amount for meals ni $10 per person per meal kwa hiyo in a day watatumia $40 which means per week watatumia $300.
Let them visit Menara tower, Petronas towers, Big malls in KL ambazo zote zinapatikana pale CBD hiyo haitowagharimu hata $40. Let them visit Batu caves in another day ambapo kiingilio ni $5 per person, let them attend cinema show in one night ambapo kiingilio ni $10 per person ambayo itakuwa ni $20 let them do city tour on a olen roof buses ambapo fee ni $10 per person.
On another night let them visit China town in the afternoon ambapo ni kama kariakoo tu ambapo ni free, then at night let them visit Kuala night market ambapo they will just go for dinner, they wont spend more than $20 and mind you hela ya meals kwa siku zote hizo nshaigia hesabuni pale juu. Out of those 7 night they can opt to stay in their rooms and have s*x for two nights without going anywhere.
Kwahiyo bro usidhani hiyo pesa ni ndogo na tusiwakatishe travellers kama
Mother Confessor tamaa.
cc:
RRONDO