Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
Hivi ni dogo au shemeji ndio aliimba huu wimbo
nimempenda sana kwa tenzi zake.
NI muda watu wajue kuwa wenye hela sio kwamba wake zao hawamegwi wanamegwa nje vibaya mno.
Ila kinachomrudisha mwanamke nyumbani ni pesa sio mashine.
Ndio maana wazee wanatuambia kwenye mafundisho ya ndoa kuwa, " ukiwa na pesa, kumegewa ni siri ya ndani ya mwanaume"
Mwache akamegwe anavyotaka mwisho wa siku mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani, hata kama unammega vepe shemeji lazima atarudi kwa kaka kwenye pesa.
NI hayo tu kwa leo vijana, msijiulize kwanini wasichana hawachomoki kwa mabwana zao wenye pesa na tunawamega uswazi kila leo, hill ndio jibu.
Mkitaka kumkamatia msichana mkali kuweni na vyote, fanyeni kazi vijana la sivyo kila msichana mkali mtakuwa mnamwita shemeji tu! Shemeji salama?!Shemeji mambo! Shemeji kaka hajambo!
Usiku mwema
nimempenda sana kwa tenzi zake.
NI muda watu wajue kuwa wenye hela sio kwamba wake zao hawamegwi wanamegwa nje vibaya mno.
Ila kinachomrudisha mwanamke nyumbani ni pesa sio mashine.
Ndio maana wazee wanatuambia kwenye mafundisho ya ndoa kuwa, " ukiwa na pesa, kumegewa ni siri ya ndani ya mwanaume"
Mwache akamegwe anavyotaka mwisho wa siku mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani, hata kama unammega vepe shemeji lazima atarudi kwa kaka kwenye pesa.
NI hayo tu kwa leo vijana, msijiulize kwanini wasichana hawachomoki kwa mabwana zao wenye pesa na tunawamega uswazi kila leo, hill ndio jibu.
Mkitaka kumkamatia msichana mkali kuweni na vyote, fanyeni kazi vijana la sivyo kila msichana mkali mtakuwa mnamwita shemeji tu! Shemeji salama?!Shemeji mambo! Shemeji kaka hajambo!
Usiku mwema