Ushauri: Ukiwa na pesa, kumegewa ni siri ya ndani

Ushauri: Ukiwa na pesa, kumegewa ni siri ya ndani

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
18,204
Reaction score
17,561
Hivi ni dogo au shemeji ndio aliimba huu wimbo
nimempenda sana kwa tenzi zake.

NI muda watu wajue kuwa wenye hela sio kwamba wake zao hawamegwi wanamegwa nje vibaya mno.

Ila kinachomrudisha mwanamke nyumbani ni pesa sio mashine.

Ndio maana wazee wanatuambia kwenye mafundisho ya ndoa kuwa, " ukiwa na pesa, kumegewa ni siri ya ndani ya mwanaume"

Mwache akamegwe anavyotaka mwisho wa siku mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani, hata kama unammega vepe shemeji lazima atarudi kwa kaka kwenye pesa.

NI hayo tu kwa leo vijana, msijiulize kwanini wasichana hawachomoki kwa mabwana zao wenye pesa na tunawamega uswazi kila leo, hill ndio jibu.

Mkitaka kumkamatia msichana mkali kuweni na vyote, fanyeni kazi vijana la sivyo kila msichana mkali mtakuwa mnamwita shemeji tu! Shemeji salama?!Shemeji mambo! Shemeji kaka hajambo!

Usiku mwema

 
Maajabu kweli kweli ....yaaam nikuache umegweee weeee alafu baadae urudi tenaaaa??

Najua ng'ombe akivunjika mguu hurejea zizin ,ila mimi kwangu kuna haya :- Upitie huko huko au urudi zizin ufanywe kitoweo !! .

Nan anataka vinyonge?.... Daaaahhh izo akili nizawanaume wanaojijua wenyewe hahahaha ...... Ujinga km huo nikishaujua nikuachana tu .
 
Maajabu kweli kweli ....yaaam nikuache umegweee weeee alafu baadae urudi tenaaaa??

Najua ng'ombe akivunjika mguu hurejea zizin ,ila mimi kwangu kuna haya :- Upitie huko huko au urudi zizin ufanywe kitoweo !! .

Nan anataka vinyonge?.... Daaaahhh izo akili nizawanaume wanaojijua wenyewe hahahaha ...... Ujinga km huo nikishaujua nikuachana tu .
Unasema hivo adu huenda huna hela kama mm tu
 
Hivi ni dogo au shemeji ndio aliimba huu wimbo
nimempenda sana kwa tenzi zake.

NI muda watu wajue kuwa wenye hela sio kwamba wake zao hawamegwi wanamegwa nje vibaya mno.

Ila kinachomrudisha mwanamke nyumbani ni pesa sio mashine.

Ndio maana wazee wanatuambia kwenye mafundisho ya ndoa kuwa, " ukiwa na pesa, kumegewa ni siri ya ndani ya mwanaume"

Mwache akamegwe anavyotaka mwisho wa siku mwenda tezi na omo marejeo ni ngamani, hata kama unammega vepe shemeji lazima atarudi kwa kaka kwenye pesa.

NI hayo tu kwa leo vijana, msijiulize kwanini wasichana hawachomoki kwa mabwana zao wenye pesa na tunawamega uswazi kila leo, hill ndio jibu.

Mkitaka kumkamatia msichana mkali kuweni na vyote, fanyeni kazi vijana la sivyo kila msichana mkali mtakuwa mnamwita shemeji tu! Shemeji salama?!Shemeji mambo! Shemeji kaka hajambo!

Usiku mwema

mwanamke ana tofauti na unga wangano.hata ukiwa na yote bado kimoja utaambiwa huna
 
Back
Top Bottom