Kama mleta mada šIla wengine huwa wanajiendekeza tu, unakuta limtu linahangaika na michepuko ya kila aina wengine walozi wanamkoroga huko alafu mwisho wa siku anaanza kutafuta visingizio. Wanaharibu wenyewe kisha wanawatafutia wake zao sababu.
Kama mleta mada šIla wengine huwa wanajiendekeza tu, unakuta limtu linahangaika na michepuko ya kila aina wengine walozi wanamkoroga huko alafu mwisho wa siku anaanza kutafuta visingizio. Wanaharibu wenyewe kisha wanawatafutia wake zao sababu.
Ww ni bwege au falaWakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza
Nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoĆ ya kikristo
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Endeleeni kula ujana, msiwe na haraka.Mi kukaa na mpenzi miezi sita tu nashindwa, sijui ndoa kama ntaweza. Yani kweli kuna mda unafika unahisi unamchoka mtu
MIMI
Mtoto ulimpataje kama humpendi?? Au unafanya tu ili mradi umwage??shida ninapigaje chini...nampenda sana mwanangu
Acha kutetea vitu ambavyo hujui,siyo kila mwanamke yupo hivyo na wanaume wa hivyo mpo wengi sana sema wanawake tunatunza siri sana!!Wanaume wengi wakiingia ndani ya ndoa ndyo wanaojuta kuliko wanawake ila embu jaribu ww kwenda likizo au mbali naye mwenyewe ata nenda kwenu kasalimie ukae mbali naye wanawake wengi wakishazaa ata hamu ya kutombwa hawana ila mm manzi yangu aloo inapenda balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Exactly Ndg .. umenena ukweli na haki!! Sie Men tupo tupo tu... (Tunajaribu kuziba jua kea kiganja Cha mkono!! Aibu zetu hurushia wengine!!Acha kutetea vitu ambavyo hujui,siyo kila mwanamke yupo hivyo na wanaume wa hivyo mpo wengi sana sema wanawake tunatunza siri sana!!
Haujajua wanawake vizuri
Muache mkeo kaoe huo mchepuko
Wanaume mna maudhi sana ndani ya nyumba na huwa mnaona mpo sahihi
Wengi weny hamna mawasiliano mazuri na wake zenu,
Inafika mahali mke anachoka anakaa tu kama picha anapoteza hamu na wewe (hapo ndiyo unakosa sex)
Anaishi kwa mazoea, ukiulizwa last time umefanya pillow talk ama kutoka kwa matembezi na mkeo haukumbuki
Unamuweka kama kabati ndani ya nyumba
Kwa mchepuko unapiga simu babe twende tukapate lunch sehemu fulani...atakosaje nyege
Akiomba hela on spot inaingia...
Kwa mke unadai hali ngumu [emoji15] obvious mke anamute na anakuumiza pale anapoweza
Sent using Jamii Forums mobile app
Mleta mada ameshakiri kila kitu hampendi hajui kwanini alimuoa....so mleta mada ndo ana matatizo na siyo mkewe!!Hapa hekima ni kuto kuhukumu yoyote.. Maana hujasisikia kutoka pande zote mbili.
Ni ngumu kuamua nani wakuonewa huruma, nani mwenye makosa hapa ni kusoma tu.
Amen šPole sana mkuu, I can feel you. Kwa angle nyingine,
Naomba ujue kuwa historia zetu zinafuatilia maisha yetu na ya watoto wetu. Hali unayoipitia ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya kiroho baina yenu na familia zenu (wewe na mkeo).
Kwa kuwa wewe ni Mkristo, jua ya kuwa kuzaa nje ya ndoa, always Kuna consequence kiroho. Kuzini kabla ya ndoa always Kuna consequences kiroho n.k. Hebu fikiria, ulimpenda >>>ukamtongoza>>akakupiga danadana lkn uka insist>>>akakukubalia>>>mkafanya ngono >>>akapata ujauzito >>>ukakubali kuwa utamuoa hivyo hivyo >>>ukaenda kutoa mahali >>>mkakaaa kipindi cha uchumba >>hatimaye kweli ukamuoa >>ghafla ukaanza kumchukia.
Mrudie Mungu kwa moyo wote, oba toba, na muombe Mungu aiponye ndoa yako kwa staili yake, maana wewe umeshafeli. Mwombe afute historia, maana hata mwanao (wajukuu) watakutana na tatizo hilohilo pia, kwa namna moja au nyingine.
Ukimwacha huyo mwanamke does not mean utakuwa na furaha. Rudi tu mbele za Mungu umwambie haya yote uliyoyaandika hapa, and be committed to him. After that, you will find a smooth way out.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndani ya hizi siku mbili tatu za uzi wako huu umegundua nini kinakwamisha mapenzi kati yako na mkeo kutokana na michango ya wakuu wa JF?tulikutana kwenye daladala
mimi nilimuanza sikuwa na nia ya kuoa
mtoto mmoja
yeye form four mimi degrƩe 2
uchumi si mbaya...we get what we want...sema uwezo wake kuchangia mdogo
sijui kama anadaka mchepuko
ni RC ila Watoro
Wee usinambie?..Kuna mahali niliwahi kusoma kuwa kuna stage inafikia unamchoka kabisa mwenzako, na mkiivuka salama basi stage inayofuata ni kumpenda tena na kutotaka kuishi bila yeye.
Stage ya pili ya ndoa[emoji23][emoji23][emoji23]
Hilo suala la kiroho umegusa mule mule mpendwa.Pole sana mkuu, I can feel you. Kwa angle nyingine,
Naomba ujue kuwa historia zetu zinafuatilia maisha yetu na ya watoto wetu. Hali unayoipitia ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya kiroho baina yenu na familia zenu (wewe na mkeo).
Kwa kuwa wewe ni Mkristo, jua ya kuwa kuzaa nje ya ndoa, always Kuna consequence kiroho. Kuzini kabla ya ndoa always Kuna consequences kiroho n.k. Hebu fikiria, ulimpenda >>>ukamtongoza>>akakupiga danadana lkn uka insist>>>akakukubalia>>>mkafanya ngono >>>akapata ujauzito >>>ukakubali kuwa utamuoa hivyo hivyo >>>ukaenda kutoa mahali >>>mkakaaa kipindi cha uchumba >>hatimaye kweli ukamuoa >>ghafla ukaanza kumchukia.
Mrudie Mungu kwa moyo wote, oba toba, na muombe Mungu aiponye ndoa yako kwa staili yake, maana wewe umeshafeli. Mwombe afute historia, maana hata mwanao (wajukuu) watakutana na tatizo hilohilo pia, kwa namna moja au nyingine.
Ukimwacha huyo mwanamke does not mean utakuwa na furaha. Rudi tu mbele za Mungu umwambie haya yote uliyoyaandika hapa, and be committed to him. After that, you will find a smooth way out.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwiii ...kumbe huyo ndo kasema? Ngoja ni[emoji40][emoji40]Stage ya pili ya ndoa[emoji23][emoji23][emoji23]
Accorfing to dk mauki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijawahi muelewa sijui kwanini[emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kafanyaje jamani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mleta mada ameshakiri kila kitu hampendi hajui kwanini alimuoa....so mleta mada ndo ana matatizo na siyo mkewe!!
hahahaHalafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje