Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ila wengine huwa wanajiendekeza tu, unakuta limtu linahangaika na michepuko ya kila aina wengine walozi wanamkoroga huko alafu mwisho wa siku anaanza kutafuta visingizio. Wanaharibu wenyewe kisha wanawatafutia wake zao sababu.
Kama mleta mada 😁
 
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza

Nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...

Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui

Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoĆ  ya kikristo
Ww ni bwege au fala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Mi kukaa na mpenzi miezi sita tu nashindwa, sijui ndoa kama ntaweza. Yani kweli kuna mda unafika unahisi unamchoka mtu

MIMI
Endeleeni kula ujana, msiwe na haraka.

Kila jambo lina muda wake. Muda ukifika mambo yote yanakwenda sawa na madiliko yanakuja yenyewe tu automatic kidogo kidogo kwa wakati sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wengi wakiingia ndani ya ndoa ndyo wanaojuta kuliko wanawake ila embu jaribu ww kwenda likizo au mbali naye mwenyewe ata nenda kwenu kasalimie ukae mbali naye wanawake wengi wakishazaa ata hamu ya kutombwa hawana ila mm manzi yangu aloo inapenda balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutetea vitu ambavyo hujui,siyo kila mwanamke yupo hivyo na wanaume wa hivyo mpo wengi sana sema wanawake tunatunza siri sana!!
 
Acha kutetea vitu ambavyo hujui,siyo kila mwanamke yupo hivyo na wanaume wa hivyo mpo wengi sana sema wanawake tunatunza siri sana!!
Exactly Ndg .. umenena ukweli na haki!! Sie Men tupo tupo tu... (Tunajaribu kuziba jua kea kiganja Cha mkono!! Aibu zetu hurushia wengine!!
Alba sema ukweli
 
Haujajua wanawake vizuri
Muache mkeo kaoe huo mchepuko

Wanaume mna maudhi sana ndani ya nyumba na huwa mnaona mpo sahihi
Wengi weny hamna mawasiliano mazuri na wake zenu,
Inafika mahali mke anachoka anakaa tu kama picha anapoteza hamu na wewe (hapo ndiyo unakosa sex)
Anaishi kwa mazoea, ukiulizwa last time umefanya pillow talk ama kutoka kwa matembezi na mkeo haukumbuki
Unamuweka kama kabati ndani ya nyumba

Kwa mchepuko unapiga simu babe twende tukapate lunch sehemu fulani...atakosaje nyege
Akiomba hela on spot inaingia...
Kwa mke unadai hali ngumu [emoji15] obvious mke anamute na anakuumiza pale anapoweza


Sent using Jamii Forums mobile app

Nilitaka niseme hivyo....asante kwa kuona hilo na wewe..
 
Hapa hekima ni kuto kuhukumu yoyote.. Maana hujasisikia kutoka pande zote mbili.
Ni ngumu kuamua nani wakuonewa huruma, nani mwenye makosa hapa ni kusoma tu.
Mleta mada ameshakiri kila kitu hampendi hajui kwanini alimuoa....so mleta mada ndo ana matatizo na siyo mkewe!!
 
A
Pole sana mkuu, I can feel you. Kwa angle nyingine,
Naomba ujue kuwa historia zetu zinafuatilia maisha yetu na ya watoto wetu. Hali unayoipitia ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya kiroho baina yenu na familia zenu (wewe na mkeo).

Kwa kuwa wewe ni Mkristo, jua ya kuwa kuzaa nje ya ndoa, always Kuna consequence kiroho. Kuzini kabla ya ndoa always Kuna consequences kiroho n.k. Hebu fikiria, ulimpenda >>>ukamtongoza>>akakupiga danadana lkn uka insist>>>akakukubalia>>>mkafanya ngono >>>akapata ujauzito >>>ukakubali kuwa utamuoa hivyo hivyo >>>ukaenda kutoa mahali >>>mkakaaa kipindi cha uchumba >>hatimaye kweli ukamuoa >>ghafla ukaanza kumchukia.

Mrudie Mungu kwa moyo wote, oba toba, na muombe Mungu aiponye ndoa yako kwa staili yake, maana wewe umeshafeli. Mwombe afute historia, maana hata mwanao (wajukuu) watakutana na tatizo hilohilo pia, kwa namna moja au nyingine.

Ukimwacha huyo mwanamke does not mean utakuwa na furaha. Rudi tu mbele za Mungu umwambie haya yote uliyoyaandika hapa, and be committed to him. After that, you will find a smooth way out.


Sent using Jamii Forums mobile app
Amen šŸ™
 
tulikutana kwenye daladala
mimi nilimuanza sikuwa na nia ya kuoa
mtoto mmoja
yeye form four mimi degrƩe 2
uchumi si mbaya...we get what we want...sema uwezo wake kuchangia mdogo
sijui kama anadaka mchepuko
ni RC ila Watoro
Ndani ya hizi siku mbili tatu za uzi wako huu umegundua nini kinakwamisha mapenzi kati yako na mkeo kutokana na michango ya wakuu wa JF?
 
Pole sana mkuu, I can feel you. Kwa angle nyingine,
Naomba ujue kuwa historia zetu zinafuatilia maisha yetu na ya watoto wetu. Hali unayoipitia ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya kiroho baina yenu na familia zenu (wewe na mkeo).

Kwa kuwa wewe ni Mkristo, jua ya kuwa kuzaa nje ya ndoa, always Kuna consequence kiroho. Kuzini kabla ya ndoa always Kuna consequences kiroho n.k. Hebu fikiria, ulimpenda >>>ukamtongoza>>akakupiga danadana lkn uka insist>>>akakukubalia>>>mkafanya ngono >>>akapata ujauzito >>>ukakubali kuwa utamuoa hivyo hivyo >>>ukaenda kutoa mahali >>>mkakaaa kipindi cha uchumba >>hatimaye kweli ukamuoa >>ghafla ukaanza kumchukia.

Mrudie Mungu kwa moyo wote, oba toba, na muombe Mungu aiponye ndoa yako kwa staili yake, maana wewe umeshafeli. Mwombe afute historia, maana hata mwanao (wajukuu) watakutana na tatizo hilohilo pia, kwa namna moja au nyingine.

Ukimwacha huyo mwanamke does not mean utakuwa na furaha. Rudi tu mbele za Mungu umwambie haya yote uliyoyaandika hapa, and be committed to him. After that, you will find a smooth way out.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo suala la kiroho umegusa mule mule mpendwa.
Addict fuata ushauri huu.
 
Back
Top Bottom