Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Kuna kitu hakipo sawa
Hivi huwa mnaomba?

Hahahhaaaaaa mi sijawahi ombwa aisee
Yaani matukio tu hutupeleka mtini!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah ujue hornet we kama jina lako tu lilivyo unaonekana upo romantic sana.

Kimsingi unachosema nakielewa sana maana nilishawahi kuwa na manzi ni romantic in each and every way, yeye match nilikuwa siombi ila kuna namna akifanya tu naelewa anataka from the way she talks mnajikuta tu mshavunja nazi. Wote mkiwa romantic then love is full of fun hata mkiishi miaka.

Ila kuna kundi lingine la wanawake ambao wao sio romantic kabisa. Yani mkishazoeana hizo character kwao zinakuwa hazipo, anaeza akakupa match ila hamna vibe lolote na hapo mpaka uombe na awe kadengua dengua weee. Hawa mwanzoni mapenzi yakiwa kwenye high notes wanakuwa sio wakorofi, unapiga gemu unavyotaka ila akishakujua vizuri anakuwa comfortable ndio inakuwa bora liende.
 
Namuonea huruma sana huyo dada maskini ukute yeye anajitutumua kuonyesha mapenzi ya kweli kwa mme wake.
Ni bora kutooa kuliko kumtesa mtu hizi ingawa yeye hajui.
Hapa hekima ni kuto kuhukumu yoyote.. Maana hujasisikia kutoka pande zote mbili.
Ni ngumu kuamua nani wakuonewa huruma, nani mwenye makosa hapa ni kusoma tu.
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje

Na ukisha zoea kulala na mtu hutataka kulala peke yako.
 
Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sasa!

Ona na hii tena imeongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo LA kutafuta pesa ni viherehere vyenu hilo ni jukumu la mwanaume kaz yenu ni kulea familia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Mimi huwa napenda space, siwezi kulala na demu tukaangaliana kwanza, tukiwa tunapumuliana usingizi hauji.
 
vitu hakuna mkuu...coz mademu wa nje saivi sina...ila sitaki hata kukaa nae...sometimes nawaza nimwachie tu nyumba
Noo mzee baba piga moyo konde kumbuka mmetoana wapi
Wanawake n walewale tu utamtimua huyo utaleta mwingine tena atakuja kukuvuruga mpaka utajuta.
Tena umesema una degree 2 ukioa mweny degree2 kama wewe utajuta. Mkeo km unajua kabisa hana tatzo tafadhali usimwache! Rudisha moyo tu.
Mchukue mara mojamoja nendeni seven nzuri nzuri mkabadilishane mawazo nayo pia itasaidia kukurudisha kwny hali ya mwanzo ya penz lenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tulikutana kwenye daladala
mimi nilimuanza sikuwa na nia ya kuoa
mtoto mmoja
yeye form four mimi degrée 2
uchumi si mbaya...we get what we want...sema uwezo wake kuchangia mdogo
sijui kama anadaka mchepuko
ni RC ila Watoro
Umewezaje kukaa nae miaka mi5 wakati humpendi?
 
Dah wanawake sijui kwa nini wanapenda kunyima nyabe.
Kuna siku niliwaka kanipa round moja eti kachoka.Usiku ulikuwa mrefu ule zaidi ya saa la mwisho kazini.Asubuhi nilimtimua alafu eti analia nimsamehe.wanawake are selfish ndio maana men waenda nje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Guys I am facing the same tratgy, mi pia nina umri wa ndoa miaka 5 but tulianza kuishi kama wazazi kabla ya kuoana. Shida ilianza mwaka wa 3wa ndoa. Actually nlikuwa nishadate waschana si zaidi ya wa 3 ndo huyu akawa wa 3. Miaka mitatu ya kuishi wote nlianza kupangiwa mgegedo once per week na mm ndo nlikuwa nina dam bado changa 33yrrs, she was 26. Nlianza kuchepuka but nlikuwa naumia sana moyoni. Pia nlikuwa na mipango ya maendeleo so sikutaka nitumie hela kuhonga. Taratibu nikazoea hadinikaonani haki yangu. Ilianza kupita mwezi bila mgegedo na hatimae miezi3 na kuna kipindi tunakata 3moths kasoro. Sasa tu a 10yrs. Nimechepuka na wanawake wengi tu. Alishanikamata na sms marakadhaa, and huwa nakuwa mbogo,na kwavile ni mwanamke huwa ananywea, kinachoniuma ss nahitaji kupata mtu mwenye uchungu na maisha ili awemchepuko permanent and hata kamanawekeza kwake nijue kuna faida. Nimechoka kuwa cha wote aiseee, tofautini kuwa mi wife nampenda, na siko tayarikumwacha, japo huwa namwambia kama ameniona malaya basi tuachane
Tafuta wazee wawili watatu au yule mshenga wenu na uwaeleze hali halisi. Waeleze unayopitia na unachotaka kwa mkeo, asipoelewa hapo basi una haki ya kumuacha
 
Pole sana mkuu, I can feel you. Kwa angle nyingine,
Naomba ujue kuwa historia zetu zinafuatilia maisha yetu na ya watoto wetu. Hali unayoipitia ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya kiroho baina yenu na familia zenu (wewe na mkeo).

Kwa kuwa wewe ni Mkristo, jua ya kuwa kuzaa nje ya ndoa, always Kuna consequence kiroho. Kuzini kabla ya ndoa always Kuna consequences kiroho n.k. Hebu fikiria, ulimpenda >>>ukamtongoza>>akakupiga danadana lkn uka insist>>>akakukubalia>>>mkafanya ngono >>>akapata ujauzito >>>ukakubali kuwa utamuoa hivyo hivyo >>>ukaenda kutoa mahali >>>mkakaaa kipindi cha uchumba >>hatimaye kweli ukamuoa >>ghafla ukaanza kumchukia.

Mrudie Mungu kwa moyo wote, oba toba, na muombe Mungu aiponye ndoa yako kwa staili yake, maana wewe umeshafeli. Mwombe afute historia, maana hata mwanao (wajukuu) watakutana na tatizo hilohilo pia, kwa namna moja au nyingine.

Ukimwacha huyo mwanamke does not mean utakuwa na furaha. Rudi tu mbele za Mungu umwambie haya yote uliyoyaandika hapa, and be committed to him. After that, you will find a smooth way out.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnachagua sanaa mpaka mnapata makoroma
Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sasa!

Ona na hii tena imeongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uchawi ulitumika apo ili umpende uyo lady ..sasa nguvu imepungua ndo maana unaona hivyo.

Aliyekuroga hajahuisha (renew) uchawi huo na pindi atakapafanya hivyo utampenda mkeo kupitiliza.

Fanya maombi sana maana ndoa yenu huenda imefunganishwa na ushirikiana huo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom