LeBron TZ
Senior Member
- Sep 26, 2018
- 181
- 216
Daah hatariHujui wanaume wengi siku hizi wame evolve! Hawana sifa za uanaume.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena ckulala na mtu tu unatakiwa uclale na ile nguo pia ila ucjali utazoea tuHalafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Yaani wewe kama mimi, umenipatia kweli namie sipendagi kulala na mtu; mie ni wa sampuli yako, tukiisha fanya kila mtu anaenda kulala kivyake. Also ukichoka sanaa, kukaa home, unabadilisha mazingira una kaa Hotel hata miezi saba hapahapa mjini kwa ajili ya kazi kwenda na kurudi, siku ukitoka huko umeiva utamu yaani safiii nakupa mimba tu, naikuza taatibu, ebu tutafutane pm.Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Halafu eti unalala bila nanii, hivi kweli hapo rekebisha mwayaHalafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Mkuu,sina interests na wanawake wenzanguYaani wewe kama mimi, umenipatia kweli namie sipendagi kulala na mtu; mie ni wa sampuli yako, tukiisha fanya kila mtu anaenda kulala kivyake. Also ukichoka sanaa, kukaa home, unabadilisha mazingira una kaa Hotel hata miezi saba hapahapa mjini kwa ajili ya kazi kwenda na kurudi, siku ukitoka huko umeiva utamu yaani safiii nakupa mimba tu, naikuza taatibu, ebu tutafutane pm.
Bora amueleze ukweli waachane. Maisha gani hayo?Unajua umepata mume kumbe umejiokotea tu vitu vya ajabu.
Huko ndo mnaoana hata Kama hampendani?Karibu katika dini ya kweli islamu,ilo jambo dogo sana katika uislam
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko ndo mnaoana hata Kama hampendani?
Hata katika ukristo unaweza kuivunja ukiamua. Ni heri usiendelee kumuumiza mtu kuliko kuishi nae kwa kumuumiza na kujiumiza mwenyewe. Asiangalie watu wanasemaje amuweke wazi mke wake asepe...ila tu asimtelekeze mtoto.Huko ndoa inavunjwa within a fraction of second na kuoa au kuolewa tena au umesahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaan...lkn tutakomaa nao hivo hivo dadeki, hapa kugangamala nao tu hakuna kulegea!Ile adhabu tulopewa edeni kila siku inazidi kuwa chungu.
Bonge la mtihani.Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Alafu ndio unakutana na mafurushi kama haya ya humu[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sasa!
Ona na hii tena imeongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtihani kwa kweliBonge la mtihani.
Kuna mahali niliwahi kusoma kuwa kuna stage inafikia unamchoka kabisa mwenzako, na mkiivuka salama basi stage inayofuata ni kumpenda tena na kutotaka kuishi bila yeye.Mtihani kwa kweli
Kuna mahali niliwahi kusoma kuwa kuna stage inafikia unamchoka kabisa mwenzako, na mkiivuka salama basi stage inayofuata ni kumpenda tena na kutotaka kuishi bila yeye.
Ila wengine huwa wanajiendekeza tu, unakuta limtu linahangaika na michepuko ya kila aina wengine walozi wanamkoroga huko alafu mwisho wa siku anaanza kutafuta visingizio. Wanaharibu wenyewe kisha wanawatafutia wake zao sababu.Mungu asaidie ivukwe salama asee