ni ngumu
JF-Expert Member
- Sep 25, 2016
- 4,292
- 7,211
Kwanza nikufundishe kitu njia kuu ya mwanaume kuonyesha mapenzi kwa mwanamke ni kupitia sex..Nyinyi ndio Selfish mnaowaza ngono mda wote! Nyinyi ndio selfish mnaofikiri wanawake ni mali zenu mkiskia Nyeg* mda wwte hawana haki ya kukataa, mbinafsi usiemfikiria mwenzio!
Niamini mimi ondoa sex kwenye mahusiano mwanaume hataona thamani ya mwanamke kbs...sawa mnapenda kujaliwa outside bedroom lakini ili upendwe nje ya kitanda lazima ujifunze kutoa good sex na lazima ukichoka useme na ukiwa na mood useme.
Ukiona mwanaume hana mapenzi kwa mwanamke wake,haudumii,anatukana ovyo,anasaliti ujue mahusiano hayo mwanaume hapati great sex...Jiulize kwanini mwanaume anaoa leo anampa mkewe kila kitu hlf baada ya miaka 3 haachi ht hela ya matumizi pesa zote kwa malaya!
Sasa ni jukumu lako kuwa muwazi na kushirikian na mpenzi wako sex iwe nzuri...sasa wewe susa, pretend,fake fake uone itafika kipindi hata kumuona mumewe kadinda utasahau hapo sasa ndo hata 2000 ya kusuka twende kilioni unapewa huku anahuzunika ila malaya anapewa mapesa km yote.
Sent using Jamii Forums mobile app