Addict
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 702
- 485
Wakuu samahani kwa wale nitakaowakwaza
Nimekuwa kwenye ndoa miaka 5 sasa ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa.
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa, sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo.
update
wadau..kuna kitu nimejifunza...hakuna ndoa inafungiwa isiyo mpango wa Mungu....nimekaa chini. ..nimeenda retreat ya mwezi mzima nimejitafakari...I got a super beautiful wife,...amazing and intelligent one..mi kweli ndio nilikuwa mwenye shida....aisee ujinga mzigo....alafu wanaume tukioa tuulize ma choisi yetu....kwa niliyoyapitia sitamwacha mke wangu milele milele amina
Nimekuwa kwenye ndoa miaka 5 sasa ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa.
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa, sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo.
update
wadau..kuna kitu nimejifunza...hakuna ndoa inafungiwa isiyo mpango wa Mungu....nimekaa chini. ..nimeenda retreat ya mwezi mzima nimejitafakari...I got a super beautiful wife,...amazing and intelligent one..mi kweli ndio nilikuwa mwenye shida....aisee ujinga mzigo....alafu wanaume tukioa tuulize ma choisi yetu....kwa niliyoyapitia sitamwacha mke wangu milele milele amina