Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Sijajua kuna kani gani ya mvutano ila why does mchepuko knows how to behave and treat you perfectly compared to the wife at home?

Yani japo ni foul ila sio siri unapata amani na furaha sana ukiwa kwa mchepuko. Anakusikiliza na anaonesha upendo haswaa ila njoo kwa mke sasa. Mara kanuna, mara amekujibu kunya, mara hakupi ngenya mpaka akusimange wee, mara kachoka aargh! Ila mwanamke huyo huyo kuna mtu anampa papa nje na kumatikia mauno ya uhakika... Unaweza juta kuoa walahi!

Haujajua wanawake vizuri
Muache mkeo kaoe huo mchepuko

Wanaume mna maudhi sana ndani ya nyumba na huwa mnaona mpo sahihi
Wengi weny hamna mawasiliano mazuri na wake zenu,
Inafika mahali mke anachoka anakaa tu kama picha anapoteza hamu na wewe (hapo ndiyo unakosa sex)
Anaishi kwa mazoea, ukiulizwa last time umefanya pillow talk ama kutoka kwa matembezi na mkeo haukumbuki
Unamuweka kama kabati ndani ya nyumba

Kwa mchepuko unapiga simu babe twende tukapate lunch sehemu fulani...atakosaje nyege
Akiomba hela on spot inaingia...
Kwa mke unadai hali ngumu obvious mke anamute na anakuumiza pale anapoweza


Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think I just married kwa sababu ya mwanangu..we got a baby before marriage
Kwahio huna hata kimoja unachokipenda kwa huyo mwanamke? Sio tabia, sio sura wala shepu unayopenda?

Anyways, naona kabisa atakuwa ni wale wanamke wa ujanani huyo nahisi ulizaa nae bahati mbaya kwa ajili ya msukumo wa genye za balehe. But so far hukuwahi kumpenda.

Pole sana mkuu.
 
yaani uko kamimi kopi kabisa hakuna kitu sipendi kama kulala Na mtu asee nibora chumbani kwangu nikiwa namaisha
Mazuri niwe navitanda viwili ili sikutukihitaji ndo tunalala pamoja yaani sipendi kabisa ndo bahati mbaya nimguse usiku naweza fukuza mtu nahisi hii ndo
Tabia yangu mbaya zaidi nachukia sana tena sana kulala Na mtu kitanda kimoja

Sent using Jamii Forums mobile app

Kumbe tuko wengi 😅😅
Yani kulala na mtu ni usumbufu
 
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza

Nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...

Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui

Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo
Tatizo lipo kwako 100%

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahio huna hata kimoja unachokipenda kwa huyo mwanamke? Sio tabia, sio sura wala shepu unayopenda?

Anyways, naona kabisa atakuwa ni wale wanamke wa ujanani huyo nahisi ulizaa nae bahati mbaya kwa ajili ya msukumo wa genye za balehe. But so far hukuwahi kumpenda.

Pole sana mkuu.
I think so.dah..napata tabu sana
 
Mmmh hupendi kulala na mtu?

Ukimpenda kweli mtu utatamani kila muda na mahali uwe nae.

Mti wenye matunda.

Ni kweli iko hivyo unatamani uwe nae kila muda ila idea ya kulala kila siku maisha yote nahisi kama inachosha
 
Haujajua wanawake vizuri
Muache mkeo kaoe huo mchepuko

Wanaume mna maudhi sana ndani ya nyumba na huwa mnaona mpo sahihi
Wengi weny hamna mawasiliano mazuri na wake zenu,
Inafika mahali mke anachoka anakaa tu kama picha anapoteza hamu na wewe (hapo ndiyo unakosa sex)
Anaishi kwa mazoea, ukiulizwa last time umefanya pillow talk ama kutoka kwa matembezi na mkeo haukumbuki
Unamuweka kama kabati ndani ya nyumba

Kwa mchepuko unapiga simu babe twende tukapate lunch sehemu fulani...atakosaje nyege
Akiomba hela on spot inaingia...
Kwa mke unadai hali ngumu obvious mke anamute na anakuumiza pale anapoweza


Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kuna ambao wake zetu tunawajali sana tu Hornet sema tu huwa wanazingua. Sasa mke anapoamua kukunyima pusi anategemea nini? Yani unamtunza vizuri unamtimizia mahitaji yake kwa usahihi ila bado analeta nyodo sometimes adi unasema nini hiki!
 
Dah hatar sana mkuu unajua ukiwaza sana unaweza usioe kabisa mzee yani wanawake ni viumbe vya ajabu sana jaman ndio mana tumeambiwa tuishi nao kwa akili sana
Sijajua kuna kani gani ya mvutano ila why does mchepuko knows how to behave and treat you perfectly compared to the wife at home?

Yani japo ni foul ila sio siri unapata amani na furaha sana ukiwa kwa mchepuko. Anakusikiliza na anaonesha upendo haswaa ila njoo kwa mke sasa. Mara kanuna, mara amekujibu kunya, mara hakupi ngenya mpaka akusimange wee, mara kachoka aargh! Ila mwanamke huyo huyo kuna mtu anampa papa nje na kumatikia mauno ya uhakika... Unaweza juta kuoa walahi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tulikutana kwenye daladala
mimi nilimuanza sikuwa na nia ya kuoa
mtoto mmoja
yeye form four mimi degrée 2
uchumi si mbaya...we get what we want...sema uwezo wake kuchangia mdogo
sijui kama anadaka mchepuko
ni RC ila Watoro
Love is feelings...
Sometimes we don't get what we want but we get what we deserve.
You can choose and tune your mind whatever you want... everything starts in your mind, jipende mwenyewe Sana zaidi na zaidi kisha utaijua thamani ya kumpenda mwingine...kuna gharama kubwa Sana kumchukia mtu kuliko kuamua kumpenda ikiwa hakuna Jambo gumu analokuzuia kuonyesha upendo, la hata kama lipo, kumpenda ni kujiponya nafsi.
You can choose love instead of hatred.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni moja kati ya threads za mleta mada.

Mimi namshauri akasome alichokiandika humo!


- KANA -
Hahahaha -KANA- this is an overkill! Wana jf kwa kufokonyoa makaburi mpo juu
 
Wanawake yalitukuta humu duniani asee...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale!... jomoni tukimbilie wapi sasa!

Ona na hii tena imeongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni vema kutafuta sababu inayopelekea haya kutokea, tatizo hutatuliwa kutokea kwenye mizizi.
 
Back
Top Bottom