Uvelia
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 640
- 1,194
Unajua umepata mume kumbe umejiokotea tu vitu vya ajabu.Maskini dada wa watu
Unajua umepata mume kumbe umejiokotea tu vitu vya ajabu.Maskini dada wa watu
Ile adhabu tulopewa edeni kila siku inazidi kuwa chungu.Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sasa!
Ona na hii tena imeongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
We una michepuko wewe.vitu hakuna mkuu...coz mademu wa nje saivi sina...ila sitaki hata kukaa nae...sometimes nawaza nimwachie tu nyumba
Nimezoea kusikia wanawake ndo wanasema maneno haya nashangaa kumbe hata wanaume.
Almost forgot what i was doin! Nmeona ile imekaa mda sana nilijiskia kuibadili nakuja safety room
Haya ndio madhara ya kuolewa na waliokosa uanaume ndani yao.Guys I am facing the same tratgy, mi pia nina umri wa ndoa miaka 5 but tulianza kuishi kama wazazi kabla ya kuoana. Shida ilianza mwaka wa 3wa ndoa. Actually nlikuwa nishadate waschana si zaidi ya wa 3 ndo huyu akawa wa 3. Miaka mitatu ya kuishi wote nlianza kupangiwa mgegedo once per week na mm ndo nlikuwa nina dam bado changa 33yrrs, she was 26. Nlianza kuchepuka but nlikuwa naumia sana moyoni. Pia nlikuwa na mipango ya maendeleo so sikutaka nitumie hela kuhonga. Taratibu nikazoea hadinikaonani haki yangu. Ilianza kupita mwezi bila mgegedo na hatimae miezi3 na kuna kipindi tunakata 3moths kasoro. Sasa tu a 10yrs. Nimechepuka na wanawake wengi tu. Alishanikamata na sms marakadhaa, and huwa nakuwa mbogo,na kwavile ni mwanamke huwa ananywea, kinachoniuma ss nahitaji kupata mtu mwenye uchungu na maisha ili awemchepuko permanent and hata kamanawekeza kwake nijue kuna faida. Nimechoka kuwa cha wote aiseee, tofautini kuwa mi wife nampenda, na siko tayarikumwacha, japo huwa namwambia kama ameniona malaya basi tuachane
Kunywa ikibidi miliki kiwanda kabisa.hataki sitamani kukaa naye popote.in short saiv natamani pombe tuuuu
We cheka maana usipoangalia inaweza kukugharimu unyumba mwezi mzima[emoji23][emoji23]Hahahahah
Jamani mpenzi ngoja niitafute nifanye kuirudishaWe cheka maana usipoangalia inaweza kukugharimu unyumba mwezi mzima[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ufanye hivyo ASAPJamani mpenzi ngoja niitafute nifanye kuirudisha
Sawa usijali!
Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sasa!
Ona na hii tena imeongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhal ulimuoa mana tena angekuwa singles mother basi mvua za kejeli zingemlowesha mpka chupi....I think I just married kwa sababu ya mwanangu..we got a baby before marriage
Pole sana jembe kwa sasa uko ktk kipindi cha mpito,pombe si kitu ninachokipenda.bila kunywa kichwa kinapasuka kwa stess
Karibu katika dini ya kweli islamu,ilo jambo dogo sana katika uislamWakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza
Nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo