Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Wakuu samahani kwa wale nitakaowakwaza

Nimekuwa kwenye ndoa miaka 5 sasa ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa.

Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa, sasa sijui

Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo.
Weka picha yake tukushauri
 
Lile inye ulilompendea limepigwa na ukata limepotea nawe umeona kuwa ulikosea? Na ole wako umuache maana huyo ndo chaguo lako ukimuacha hutatulia na mke.
 
Back
Top Bottom