Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Iyoo avater ni yako mrs

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wengi wakiingia ndani ya ndoa ndyo wanaojuta kuliko wanawake ila embu jaribu ww kwenda likizo au mbali naye mwenyewe ata nenda kwenu kasalimie ukae mbali naye wanawake wengi wakishazaa ata hamu ya kutombwa hawana ila mm manzi yangu aloo inapenda balaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Dah we mdada umetisha sana!
 
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza
nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu.nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...aisee napata tabu sana.sasa hapa napata tabu sana.wadau.sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kokristo

USIFIKIE ATUA WANAYO FIKIA WAZUNGU

http://www.ksla.com/2019/04/05/man-admits-killing-his-wife-burning-her-body-shed-authorities-say/

https://www.nbcnews.com/news/us-new...2-daughters-wife-man-suspected-having-n993986
 
Mi kukaa na mpenzi miezi sita tu nashindwa, sijui ndoa kama ntaweza. Yani kweli kuna mda unafika unahisi unamchoka mtu

MIMI
me miezi mi 3 uwaga nafanya na party kabisa... yan sometimes naweza nkasema uyu ndo wangu mara baada ya muda najikuta tu simtaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza

Nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...

Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui

Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo
Ulioa ukiwa na umri gani jiulize kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tulikutana kwenye daladala
mimi nilimuanza sikuwa na nia ya kuoa
mtoto mmoja
yeye form four mimi degrée 2
uchumi si mbaya...we get what we want...sema uwezo wake kuchangia mdogo
sijui kama anadaka mchepuko
ni RC ila Watoro
Umeweka shortcut mno . Hayo mahusiano yamekaa mda gani mpaka ukachukua uamuz wa kufunga nae ndoa. Ulikuwa na umri gani wakati unafunga nae ndoa, uwezo wake wa kuchangia umesema ni mdogo kwani yeye ana shuguli inayomwingizia pesa kiasi gani na wewe kuna gap gani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh! 🙉

Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza

Nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...

Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui

Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo
 
Guys I am facing the same tratgy, mi pia nina umri wa ndoa miaka 5 but tulianza kuishi kama wazazi kabla ya kuoana. Shida ilianza mwaka wa 3wa ndoa. Actually nlikuwa nishadate waschana si zaidi ya wa 3 ndo huyu akawa wa 3. Miaka mitatu ya kuishi wote nlianza kupangiwa mgegedo once per week na mm ndo nlikuwa nina dam bado changa 33yrrs, she was 26. Nlianza kuchepuka but nlikuwa naumia sana moyoni. Pia nlikuwa na mipango ya maendeleo so sikutaka nitumie hela kuhonga. Taratibu nikazoea hadinikaonani haki yangu. Ilianza kupita mwezi bila mgegedo na hatimae miezi3 na kuna kipindi tunakata 3moths kasoro. Sasa tu a 10yrs. Nimechepuka na wanawake wengi tu. Alishanikamata na sms marakadhaa, and huwa nakuwa mbogo,na kwavile ni mwanamke huwa ananywea, kinachoniuma ss nahitaji kupata mtu mwenye uchungu na maisha ili awemchepuko permanent and hata kamanawekeza kwake nijue kuna faida. Nimechoka kuwa cha wote aiseee, tofautini kuwa mi wife nampenda, na siko tayarikumwacha, japo huwa namwambia kama ameniona malaya basi tuachane
Mwaka mmoja wa kunjimwa Papuchi nampiga chini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huenda huyo mkeo anakupenda saaana mpk unaona kero.... Unajua nasi wanaume hatusomeki sometimes, mwanamke akikupenda saaana twaona kero, kama vile anakugandaganda saana na kujiona wewe una thamani kubwa kuliko yeye kwavile anavyokupenda...
Ukitaka kujua hilo, mpe likizo ya mwezi mmoja kwao, utapata jibu,.... Tatizo hujatambua tatizo la kumchukia ndio maana hata hapa hujasema unamchukia kwa lipi,... Mke hana tatizo, tatizo ni wewe hujitambui....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hafu hii kitu sijui kama inanitokea mimi tu ama na wengine. Nikido na wife only one shot ya dk.chini ya 10 nachoka sana kazini ni kulala tuuu, mwili unauma wote, hata mda wa siku tatu hivi ndo narudia hali ya kawaida.zamani haikuwa hivo ilikuwa hata tukeshe majogoo ndo walikuwa wanatustua kuwa kumekucha mida ile ya saatisa usiku ndo tunalala. Cha ajabu kwa mchepuko full dozi yangu kuridhika huwa round 3. Zinakuwa achieved kama masaa 3 hivi au2. Ila huwa nakuwa fresh kabisa na mwili unakuwa mwepesi tu,akili pia inajipanga vizuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu. ...samahani kwa wale nitawakwaza
Nimekuwa kwa ndoa miaka 5 sasa.ila simpendi mke wangu. Nilioa hata sijui kwa sababu gani nilijikuta tu nafunga ndoa ...
Aisee napata tabu sana. Sasa hapa napata tabu sana. Wadau sielewi inakuwaje hapa....sasa sijui
Naomba ushauri au ndio nimepata, ndoà ya kikristo
Pumbavu
 
Back
Top Bottom