Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Wanawake ndo wanakuwa na mwanaume hata miaka kumi na hawajawahi kuwapenda sasa wewe mwanaume mwenzetu mbona unatutia aibu.

Na wewe ulioa mbibi kufuata hela?ulioa yeyote ukiwa na miaka 28 kuogopa ukifika miaka 30 utakosa mke???

Embu drop hizo expectations kaa kwa kutulia.

Mpende mkeo....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah yaani una umri kama wangu, unapitia mapito kama yangu tofauti me kwenye ndoa nina miaka 6.Yaani nilivyosoma nilihisi kama mimi ndo nimeandika.
Nampenda sana mke wangu hadi najisikia vibaya kuchepuka lkn sina namna maana home furaha imepotea kabisa
Guys I am facing the same tratgy, mi pia nina umri wa ndoa miaka 5 but tulianza kuishi kama wazazi kabla ya kuoana. Shida ilianza mwaka wa 3wa ndoa. Actually nlikuwa nishadate waschana si zaidi ya wa 3 ndo huyu akawa wa 3. Miaka mitatu ya kuishi wote nlianza kupangiwa mgegedo once per week na mm ndo nlikuwa nina dam bado changa 33yrrs, she was 26. Nlianza kuchepuka but nlikuwa naumia sana moyoni. Pia nlikuwa na mipango ya maendeleo so sikutaka nitumie hela kuhonga. Taratibu nikazoea hadinikaonani haki yangu. Ilianza kupita mwezi bila mgegedo na hatimae miezi3 na kuna kipindi tunakata 3moths kasoro. Sasa tu a 10yrs. Nimechepuka na wanawake wengi tu. Alishanikamata na sms marakadhaa, and huwa nakuwa mbogo,na kwavile ni mwanamke huwa ananywea, kinachoniuma ss nahitaji kupata mtu mwenye uchungu na maisha ili awemchepuko permanent and hata kamanawekeza kwake nijue kuna faida. Nimechoka kuwa cha wote aiseee, tofautini kuwa mi wife nampenda, na siko tayarikumwacha, japo huwa namwambia kama ameniona malaya basi tuachane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake ndo wanakuwa na mwanaume hata miaka kumi na hawajawahi kuwapenda sasa wewe mwanaume mwenzetu mbona unatutia aibu.

Na wewe ulioa mbibi kufuata hela?ulioa yeyote ukiwa na miaka 28 kuogopa ukifika miaka 30 utakosa mke???

Embu drop hizo expectations kaa kwa kutulia.

Mpende mkeo....

Sent using Jamii Forums mobile app
bro...hii kitu nishindwa hata kuigiza
 
Dah yaani una umri kama wangu, unapitia mapito kama yangu tofauti me kwenye ndoa nina miaka 6.Yaani nilivyosoma nilihisi kama mimi ndo nimeandika.
Nampenda sana mke wangu hadi najisikia vibaya kuchepuka lkn sina namna maana home furaha imepotea kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
mimi nina 5 years in marriage.,,,am 31 years old,,,I hate the dayear I tied the knot
 
Mazingira gani jamani, mimi mwenyewe ni muanga mke wangu unaweza ukakaa hata mwezi usipo force kula mzigo ndio imetoka sometimes nakumbuka michepuko yangu nikitaka mzigo kwa michepuko napewa tena show ya kibabe
Mmmmh! msomage na mazingira jamani jaribu kuangalia anatatizo gani muongee.
Na sio kuchukua tu maamuzi ya kuchepuka mbona na nyie mnamadhaifu mengi ila tunawachukulia Jinsi mlivyo.....

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Haupendi kulala na MTU ee kua uyaone
 
We acha tu unawaza ngoja nimpumnzishe miezi 2 ukidhani atakuwa na ham, siku ukimgusa mwenziokatulia tuliiiiii kama sex dol. Unajipandia unashusha kamoja dk. 5 unalala, na mgegedo kwamume mwenye afya huwa 3 round
Dah yaani una umri kama wangu, unapitia mapito kama yangu tofauti me kwenye ndoa nina miaka 6.Yaani nilivyosoma nilihisi kama mimi ndo nimeandika.
Nampenda sana mke wangu hadi najisikia vibaya kuchepuka lkn sina namna maana home furaha imepotea kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni moja kati ya threads za mleta mada.

Mimi namshauri akasome alichokiandika humo!


- KANA -
 
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?

Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu

Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Daa kumbe hujaolewa. Naomba unikaribishe pm tuyajenge mana MIE kazi zangu sio za kukaa eneo moja jamani.ivyo hutaboreka ama kupata shida ya kulala na mwanaume kila siku.

Naomba unikaribishe!!!
 
Mi huwa najikata kitaa nasugua ngozi nahakikisha saa 11 jioni siku hiyo nipo home, tena mdamwingine huwaananikuta nisharudi home kabla yake. Maana wote tumeajiliwa
Mazingira gani jamani, mimi mwenyewe ni muanga mke wangu unaweza ukakaa hata mwezi usipo force kula mzigo ndio imetoka sometimes nakumbuka michepuko yangu nikitaka mzigo kwa michepuko napewa tena show ya kibabe

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom