hataki sitamani kukaa naye popote.in short saiv natamani pombe tuuuu
shida ninapigaje chini...nampenda sana mwanangu
Hii sentensi yako imenisikitisha bebiVipi mpenzi, mbona mikono kichwani?
thankPole sana mkuu, I can feel you. Kwa angle nyingine,
Naomba ujue kuwa historia zetu zinafuatilia maisha yetu na ya watoto wetu. Hali unayoipitia ina uhusiano mkubwa sana na maisha ya kiroho baina yenu na familia zenu (wewe na mkeo).
Kwa kuwa wewe ni Mkristo, jua ya kuwa kuzaa nje ya ndoa, always Kuna consequence kiroho. Kuzini kabla ya ndoa always Kuna consequences kiroho n.k. Hebu fikiria, ulimpenda >>>ukamtongoza>>akakupiga danadana lkn uka insist>>>akakukubalia>>>mkafanya ngono >>>akapata ujauzito >>>ukakubali kuwa utamuoa hivyo hivyo >>>ukaenda kutoa mahali >>>mkakaaa kipindi cha uchumba >>hatimaye kweli ukamuoa >>ghafla ukaanza kumchukia.
Mrudie Mungu kwa moyo wote, oba toba, na muombe Mungu aiponye ndoa yako kwa staili yake, maana wewe umeshafeli. Mwombe afute historia, maana hata mwanao (wajukuu) watakutana na tatizo hilohilo pia, kwa namna moja au nyingine.
Ukimwacha huyo mwanamke does not mean utakuwa na furaha. Rudi tu mbele za Mungu umwambie haya yote uliyoyaandika hapa, and be committed to him. After that, you will find a smooth way out.
Sent using Jamii Forums mobile app



pombe si kitu ninachokipenda.bila kunywa kichwa kinapasuka kwa stessYan huu mda upo unakunywa? Jamaa we unaongozwa na akili ya pombe, usichukue maamuzi yoyote ukiwa umelewa au una hasira,
Utajutia maamuzi yako! Huenda hata hayo mafanikio yako kuna mchango mkubwa mno wa huyo mwanamke ambae Leo unamchukia.
Sent using Jamii Forums mobile app
So sad. Ukute mwenyewe anampenda mume wake
Machungu atayomuachia jamaa sio ya nchi hiiSo sad. Ukute mwenyewe anampenda mume wake
Hii mby sana, ni km Mimi nilikuwa na demu nampenda balaa akanizengua nkaanza kudate na mwingine, akanasa mimba, na kujisokomeza maxima. Moyo haumpendi km yule wa kwanza japo hatujafunga ndoa, akizengua tu kwaheri , ila sifungi ndoaI think I just married kwa sababu ya mwanangu..we got a baby before marriage
Noma kweliNimezoea kusikia wanawake ndo wanasema maneno haya nashangaa kumbe hata wanaume.
Sana
Usinicheke
Nawazaga kweli yani halafu nikimwambia mama ananiambia utoto unanisumbua 😅😅
Hahaaa...umenikumbusha Euro Track game...yaani unakuta unataka kwenda kukabidhi mzigo Dereva anaanza dozing njiani aisee..Hahah mke yupo dozing mode. Hana machachari kabisa