MeruA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 1,390
- 2,153
Kila ushauri unaopewa hutaki,umeleta mjadala wa nini sasa,unekuja kutusimulia au kuomba ushauri.??hataki sitamani kukaa naye popote.in short saiv natamani pombe tuuuu
Never say never
Kila ushauri unaopewa hutaki,umeleta mjadala wa nini sasa,unekuja kutusimulia au kuomba ushauri.??hataki sitamani kukaa naye popote.in short saiv natamani pombe tuuuu
Mbona kuna ambao wake zetu tunawajali sana tu Hornet sema tu huwa wanazingua. Sasa mke anapoamua kukunyima pusi anategemea nini? Yani unamtunza vizuri unamtimizia mahitaji yake kwa usahihi ila bado analeta nyodo sometimes adi unasema nini hiki!
Unakuwa hujampendayaani uko kamimi kopi kabisa hakuna kitu sipendi kama kulala Na mtu asee nibora chumbani kwangu nikiwa namaisha
Mazuri niwe navitanda viwili ili sikutukihitaji ndo tunalala pamoja yaani sipendi kabisa ndo bahati mbaya nimguse usiku naweza fukuza mtu nahisi hii ndo
Tabia yangu mbaya zaidi nachukia sana tena sana kulala Na mtu kitanda kimoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana mtu wa databaseHuu ni moja kati ya threads za mleta mada.
![]()
Ni marufuku Mwanaume kulialia humu
Hii inatia hasira na inaudhi sana Unakuta mtu analialia eti kuachwa eti kutendwa. Mwanaume mzima unalialia humu kwa sababu ya Mapenzi Wanaume kuanzia leo ni marufuku kulialia kwa sababu ya hivyo vidude Waachieni mabinti watu wa emotions.Mwanaume unapaswa kuface reality.Sio mtu unakuja hapa...www.jamiiforums.com
Mimi namshauri akasome alichokiandika humo!
- KANA -
Huu ndio uwezo wa mtu mwenye dehree mbili kujieleza...hatari sanatulikutana kwenye daladala
mimi nilimuanza sikuwa na nia ya kuoa
mtoto mmoja
yeye form four mimi degrée 2
uchumi si mbaya...we get what we want...sema uwezo wake kuchangia mdogo
sijui kama anadaka mchepuko
ni RC ila Watoro
Naanzaje kuchoka darling, ila tu usiniletee mambo ya kijingaMie hutochoka kulala nami mpenzi?
Pole mzae, i can feel your pain. Mwenyewe mwanamke niliepiga nae match enzi nabalehe siwezi kuwa nae kwa sasa hata Magu akisema ananipa billion 1 sasahivi. 😂😂😂😂😂I think so.dah..napata tabu sana
Bado naendelea kuwa mbali na mbingu![]()


yaani unaukimbilia moto kwa kasi sana we binti hebu shika breki kidogoHehe ndo hvyo au sabbu umemzalisha basi unaona uishe nae ndo yaliyomkuta mdauHahah sindo ndoa za kushinikizwa na umri hizo. Ukifika 27 ushapiga sarakasi zote yeyote anaekuja twendeee!!! Baada ya mwaka yanaanza majuto, excitement ya kuvaa shela, kucheza kwaito na hongera zimeshaisha unabaki na mawazo but this guy is not the one i wanted to spend my life with ila nimeshaolewa. Vituko vinaanza mara huna hamu ya sex mara ugomvi yani kukerana tu..
Mambo ya kijinga kama yapi sasa mpenzi, au kwenye kulala kuna ujinga unafanyika?
Pole mzae, i can feel your pain. Mwenyewe mwanamke niliepiga nae match enzi nabalehe siwezi kuwa nae kwa sasa hata Magu akisema ananipa billion 1 sasahivi.![]()





Hebu nikatubu kesho nianze upyaaa😅😅yaani unaukimbilia moto kwa kasi sana we binti hebu shika breki kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Naamini uzazi sio mapenzi, unaeza zaa na mtu hukuwa na mahesabu nae ukashinikizwa uoe ila dah! Huwezi mpendaHehe ndo hvyo au sabbu umemzalisha basi unaona uishe nae ndo yaliyomkuta mdau
Ya kuchepukaMambo ya kijinga kama yapi sasa mpenzi, au kwenye kulala kuna ujinga unafanyika?
Washenzi tu kwa sababu anajua fika utaenda kuchepuka ila still anakufanyia huo uhuni. Wengine inakuwa ni visasi tu. Labda kuna kitu ulimuahidi ila bado hujatimiza anaamua kukukomoa. Ila kiufupi ni tabia ya kisheitwani kabisa maana kasisi aliposema sie ni mwili mmoja hakuwa anafanya komedi, maanake ni tuwe huru kuingiliana kimwili kadri tuwezavyo!Mkuu mimi mke wangu sasa hivi ndio hata simwambii yani sometimes nina hamu kweli ninapotaka huduma ya ndoa dah ni shida kwakweli hivi kwa nn wanakuwa hivi wanawake zetu hawa yani katabia haka ni tatizo kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuchepuka siwezi mama, unanipa mavitu adimu naanzaje kuchepuka