Meljons
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 3,105
- 1,410
Ndio utabaki ivo ivo huolewi...Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Mengine mmejitakia...Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sasa!
Ona na hii tena imeongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Namuonea huruma sana huyo dada maskini ukute yeye anajitutumua kuonyesha mapenzi ya kweli kwa mme wake.Maskini dada wa watu
Mwanamke hata awe mzuri kama malaika akishaninyima kyuma hanifai hata sekunde tatuGuys I am facing the same tratgy, mi pia nina umri wa ndoa miaka 5 but tulianza kuishi kama wazazi kabla ya kuoana. Shida ilianza mwaka wa 3wa ndoa. Actually nlikuwa nishadate waschana si zaidi ya wa 3 ndo huyu akawa wa 3. Miaka mitatu ya kuishi wote nlianza kupangiwa mgegedo once per week na mm ndo nlikuwa nina dam bado changa 33yrrs, she was 26. Nlianza kuchepuka but nlikuwa naumia sana moyoni. Pia nlikuwa na mipango ya maendeleo so sikutaka nitumie hela kuhonga. Taratibu nikazoea hadinikaonani haki yangu. Ilianza kupita mwezi bila mgegedo na hatimae miezi3 na kuna kipindi tunakata 3moths kasoro. Sasa tu a 10yrs. Nimechepuka na wanawake wengi tu. Alishanikamata na sms marakadhaa, and huwa nakuwa mbogo,na kwavile ni mwanamke huwa ananywea, kinachoniuma ss nahitaji kupata mtu mwenye uchungu na maisha ili awemchepuko permanent and hata kamanawekeza kwake nijue kuna faida. Nimechoka kuwa cha wote aiseee, tofautini kuwa mi wife nampenda, na siko tayarikumwacha, japo huwa namwambia kama ameniona malaya basi tuachane
Na fainali yake ipo uzeeni
😀😀😀 itakuwa ile ya kamanda MurotoTabu gani mkuu mbona haujaweka wazi tabu zipo za aina nyingi
Kwa hilo zigo mamaa witty mie nisingeruhusu hata uende dukani tu. We misele yako ingeishia ndani ya fensi yetu tu kutoka mpaka tukiwa wote. Ungezaa kwa uchungu tu itifaki zote zingezingatiwa😂😂😂😂😂Wanawake yalitukuta humu duniani asee[emoji134]...MP sisi, kuzaa kwa uchungu sisi, kutafuta pesa kama wanaume sisi, kutukanwa sisi, ukewenza sisi tena na wanaume wenzetu yaan ni hakuna unafuu, kote kote mishale![emoji849]... jomoni tukimbilie wapi sasa!
Ona na hii tena imeongezeka
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Kwa hali hii itabidi usiolewe tu maana utapata tabu sana. Zaa na mtu ulee mtoto tuHalafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Ndo kinachofata hapo, atasomeshwa namba kiuhakika.Wewe unataka umpate unayempenda alafu yeye hakupendi.. Nakuhakikishia utapata tabu sana, huyo ni wa kwako nadhani ukiulizwa sababu za msingi za kutompenda sidhani kama unaweza ukawa nazo!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah as simple as clear!Hivi mtu una kuwaje na mke then umpendi..me as long as ana nipa nyapu sina tatizo... upendo wangu nina maeneo mengine ya kuupeleka
Sent using Jamii Forums mobile app
Usioe mkuu, usije mtesa mwana wa watu bila hatia.Mi kukaa na mpenzi miezi sita tu nashindwa, sijui ndoa kama ntaweza. Yani kweli kuna mda unafika unahisi unamchoka mtu
MIMI
Halafu kuna vitu huwa nakifikiria sana...ikitokea nikaolewa halafu nikaanza kumchoka/kutompenda mume itakuaje?
Ama vile kulala na mume kila siku nitaweza kweli?na vile nisivyopenda kulala na mtu
Pole sana mkuu...kiasi chake nimeelewa unafeel aje
Hahah sasa hapo selfish ni nani? Mbona kama kuna contradiction?
NakaziaMkuu embu tafuta wazee wa kanisa.
Biblia ni tiba tosha mkuu pia embu anzeni ibada kama mliacha.
Mti wenye matunda.
Sijajua kuna kani gani ya mvutano ila why does mchepuko knows how to behave and treat you perfectly compared to the wife at home?Dah noma sana ila sijajua kwa nn wake zetu tukiwaoa wanatupangia kuwagegeda lakini michepuko ukitaka kula mzigo wala haina shida
Sent using Jamii Forums mobile app