Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Ushauri: Simpendi, sijui ilikuwaje nikafunga naye ndoa

Love is feelings...
Sometimes we don't get what we want but we get what we deserve.
You can choose and tune your mind whatever you want... everything starts in your mind, jipende mwenyewe Sana zaidi na zaidi kisha utaijua thamani ya kumpenda mwingine...kuna gharama kubwa Sana kumchukia mtu kuliko kuamua kumpenda ikiwa hakuna Jambo gumu analokuzuia kuonyesha upendo, la hata kama lipo, kumpenda ni kujiponya nafsi.
You can choose love instead of hatred.


Sent using Jamii Forums mobile app
There is a thin line between the two, ila ni rahisi sana kupenda! Ndio maana wapenzi ni wengi kuliko maadui!
 
Mkuu mimi mke wangu sasa hivi ndio hata simwambii yani sometimes nina hamu kweli ninapotaka huduma ya ndoa dah ni shida kwakweli hivi kwa nn wanakuwa hivi wanawake zetu hawa yani katabia haka ni tatizo kubwa
Mbona kuna ambao wake zetu tunawajali sana tu Hornet sema tu huwa wanazingua. Sasa mke anapoamua kukunyima pusi anategemea nini? Yani unamtunza vizuri unamtimizia mahitaji yake kwa usahihi ila bado analeta nyodo sometimes adi unasema nini hiki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, peaneni nafasi kwa muda flani, ukirudi utakuta amekuwa mpya.
Punguza maisha ya wewe kutoa amri yeye atekeleze, hii inameondolea uhuru na kujiamini hapo hawezi kuwa mbunifu.
Sahau kuhusu tofauti ya elimu zenu, mamlaka au kipato. Ndani ya nyumba ni equal partiners. Mfanye kuwa rafiki yako wa pekee. Utani michezo, kila siku hamtakosa kitu kipya.
Pata wakati mtoe out, nendeni mahali mbali mtafakari ndoa yenu, mtarudi ikiwa mpya.
Jali usafi wake na kupendeza, atavutia kila siku.
Hastahili adhabu kama hiyo
ZAIDI YA HAYO HILO NI PEPO, KEMEA.
 
tulikutana kwenye daladala
mimi nilimuanza sikuwa na nia ya kuoa
mtoto mmoja
yeye form four mimi degrée 2
uchumi si mbaya...we get what we want...sema uwezo wake kuchangia mdogo
sijui kama anadaka mchepuko
ni RC ila Watoro
Hilo la mwisho ndio tatizo lako/lenu, Nendeni kanisani mtapata hekima, hasa wewe.
Je unatumia vilevi ?
 
Guys I am facing the same tratgy, mi pia nina umri wa ndoa miaka 5 but tulianza kuishi kama wazazi kabla ya kuoana. Shida ilianza mwaka wa 3wa ndoa. Actually nlikuwa nishadate waschana si zaidi ya wa 3 ndo huyu akawa wa 3. Miaka mitatu ya kuishi wote nlianza kupangiwa mgegedo once per week na mm ndo nlikuwa nina dam bado changa 33yrrs, she was 26. Nlianza kuchepuka but nlikuwa naumia sana moyoni. Pia nlikuwa na mipango ya maendeleo so sikutaka nitumie hela kuhonga. Taratibu nikazoea hadinikaonani haki yangu. Ilianza kupita mwezi bila mgegedo na hatimae miezi3 na kuna kipindi tunakata 3moths kasoro. Sasa tu a 10yrs. Nimechepuka na wanawake wengi tu. Alishanikamata na sms marakadhaa, and huwa nakuwa mbogo,na kwavile ni mwanamke huwa ananywea, kinachoniuma ss nahitaji kupata mtu mwenye uchungu na maisha ili awemchepuko permanent and hata kamanawekeza kwake nijue kuna faida. Nimechoka kuwa cha wote aiseee, tofautini kuwa mi wife nampenda, na siko tayarikumwacha, japo huwa namwambia kama ameniona malaya basi tuachane
Unahitaji mchepuko permanent!!?? Duuuh bado nawaza kwa hiyo huo mchepuko wenyewe kazi yake ni kujikusanyia dhambi ya uzinifu tu??? Wanaume hebu kuweni na huruma yaani mchepuko milele ndoa aolewe mwingine yeye akuburudishe hahahahahahaahahah dah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yaani uko kamimi kopi kabisa hakuna kitu sipendi kama kulala Na mtu asee nibora chumbani kwangu nikiwa namaisha
Mazuri niwe navitanda viwili ili sikutukihitaji ndo tunalala pamoja yaani sipendi kabisa ndo bahati mbaya nimguse usiku naweza fukuza mtu nahisi hii ndo
Tabia yangu mbaya zaidi nachukia sana tena sana kulala Na mtu kitanda kimoja

Sent using Jamii Forums mobile app
Una matatizo walah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri pendekezo la kuishi pamoja mpaka kifo kiwatenganishe kililenga tulee watoto wetu kwa pamoja mpaka wawe watu wazima na wao wajitegemee,ila kama walilenga mapenzi,sidhani kama walikuwa serous haiwezekani ukutane na mtu ukubwani then uwe na hisia naye mpaka uzeeni.Kuna wakati mnalazimika kuishi kama ndugu tu,yaani mwanafamilia mwenzako.

Never say never
 
Asilimia 80 ya ndoa nyingi wameoana tu hakuna upendo ni kutokana na sbbu mbalimbali

Anyway pole mdau..ndoa sio kifungo
Hahah sindo ndoa za kushinikizwa na umri hizo. Ukifika 27 ushapiga sarakasi zote yeyote anaekuja twendeee!!! Baada ya mwaka yanaanza majuto, excitement ya kuvaa shela, kucheza kwaito na hongera zimeshaisha unabaki na mawazo but this guy is not the one i wanted to spend my life with ila nimeshaolewa. Vituko vinaanza mara huna hamu ya sex mara ugomvi yani kukerana tu..
 
Mbona kuna ambao wake zetu tunawajali sana tu Hornet sema tu huwa wanazingua. Sasa mke anapoamua kukunyima pusi anategemea nini? Yani unamtunza vizuri unamtimizia mahitaji yake kwa usahihi ila bado analeta nyodo sometimes adi unasema nini hiki!

Kuna kitu hakipo sawa
Hivi huwa mnaomba?

Hahahhaaaaaa mi sijawahi ombwa aisee
Yaani matukio tu hutupeleka mtini!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona kuna ambao wake zetu tunawajali sana tu Hornet sema tu huwa wanazingua. Sasa mke anapoamua kukunyima pusi anategemea nini? Yani unamtunza vizuri unamtimizia mahitaji yake kwa usahihi ila bado analeta nyodo sometimes adi unasema nini hiki!

Kuna kitu hakipo sawa
Hivi huwa mnaomba?

Hahahhaaaaaa mi sijawahi ombwa aisee
Yaani matukio tu hutupeleka mtini!!!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom