Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Hama hapo, acha kukaa kwa shem wako. Sasa usiku unalalaje wakati dada ako anapulizwa next door?
 
hahahaha mleta uzi unachekesha kweli, kwaio hutaki able mchuzi wa pweza wala ale karanga? Unataka wewe ndio umfyonze dada ako nn? Sikuelewi
 
Hahahaha jf bwana,sasa mkuu ulivyomuozesha Dada hukujua anaenda kufanywa nini,kituko kifuatacho atakuonyesha ub.oo kbs ili ukadirie mwenyewe kinachomkutaga Dada yako
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Mkuu wewe si jana tu ulisema uko pentagon unapiga kazi ya electrical engineer ukadai ndio mtanzania wa kwanza kufanya kazi pentagon? Au lilikuwa fiksi? Au ni shemeji yako yuko huko Washington pia?
MTANZANIA WA KWANZA KUFANYA KAZI PENTAGON.


Habari

Vijana someni sana muwakilishe Tanzania nje ya nchi maana nimegundua huku pentagon ninapofanya kazi sasa hivi kama Electrical engineer kuna mtanzania mmoja tu ambaye ni Mimi.

Jitahidini sana kusoma masomo ya sayansi na mfaulu kwa alama za juu kisha muapply scholarships, Mimi nilipata scholarship nikajiunga na chuo cha Harvard miaka kadhaa hapo nyuma.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Afrika.
 
Yaan watu wengine bana...kwa shemej unafanya nn na ww uondoke ukaanze maisha yako kwingine
 
ujuwe dada yako anataka mechi za kibabe, cha kufanya mtel dadako apunguze kupenda sana mechi za kininja
 
Acha uzembe na ukozmen jiongeze ujifungie chumbani tu vinginevyo tafuta pa kukaa mıaka mıwılı unabebwa tu huonı haya? Ipo sıku atajısahau na mkono utahamıa kwako. Mfyuuuuu
Hebu subiri kwanza,
Huyu aliendika hapa Mfyuuuuu ni ke/me?
 
Back
Top Bottom