Hama tu mkuu,mbona solution iko open tu haihitaji akili nyingi[emoji4] [emoji1]Habari wana JF
Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.
Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.
Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.
Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.
Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.
Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Huyu bwana hana akili kabisaa. Badala ya kuchangamsha akili atoke hapo alipo anakuja kuumia sababu dada kashikwa matako. Pumbav kabisaMuombe shemeji akugonge na wewe.
Mshenzi sana wewe!!!
Hama...
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hatar sana, raha ya jf kila unachopost huwezi kukifuta inabaki kama kumbu kumbu. Ukiwa muongo lazima siku moja uumbukeSawa mkuu endelea kutulisha matango pori tu hii ndo jei efuu bwanaa[emoji23][emoji23]View attachment 873012
Adeki kabisa na kumuoshea gari kabla hajaondokaUsisahau kuosha vyombo shemeji akimaliza kula
Wewe unamatatizo ya akiri,sasa asipomchezea mkewe,akuchezee wewe?,huyo ni mke wake,ana haki zote,Habari wana JF
Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.
Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.
Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.
Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.
Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.
Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.
Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Asa si yupo kwenye himaya yake[emoji1] , angekua kwako sawaNdo mbele ya macho yangu
Mpishe awe huruSasa ndo mbele yangu