Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Ushauri: Shemeji anamshika makalio dada mbele yangu

Huyu jamaa ni mkuu kweli! Kinakuuma nini ww? Au unamkulaga dada ako? Kwanza,jamaa anakuchelewesha sana,maana jamaa anakulisha,anakulaza,si ajabu hata matumizi anakupa..kifupi naww umeolewa pamoja na dada ako.ingekuwa mm ningesha kukula 0712 ka dada ako..HUNA AKILI.
 
Yaani nilijua unaumia kumbe unaongea kama unamuonea wivu dada ako

Akufukuzae hakuambii toka hawakutaki dada ako na shemeji yako

Na usikute hii ni chai shule zifunguliwe tu jumatatu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwel wanaume tumeisha duniani

yani mzee baba uoni ata noma. kushuka essay yote iyo sa uli expect waache kuishi maisha yao kisa wewe upo tafta kwako acha uzwa zwa
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu


Jiandae, zamu yako yaja...
 
nilisikia wewe jamaa ndo mtanzania wa kwanza kufanya kazi pentagon na ukatushauri vijana tuache uvivu tupige shule maana chance zipo mingi sana hapo Washington DC

Sasa huyo shemeji yako ni Trump nini, ndo unaishi hapo kwake !?

Pole sana lakin
[emoji16] [emoji3] [emoji3] Huyu jamaa ni muongo muongo sana

smart boy
 
Nadhani wewe ni mmoja wapo wa wanaowakejeligi wanaume wa Dar,sasa wewe pambana tu na mwanaume huyo wa dar.
 
Hebu unapojaribu kusoma comments pitia na hii, Leo asubuhi ulikuwa unatafuta mke wa kuishi nae kwa Trump sasa hivi tu uko kwa shemeji yako!!!
Screenshot_2018-09-21-13-53-23.jpg
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Umesharudi pentagon.....?hivi uongo utaacha lini au wewe mwenzetu ni wakiume?
 
Habari wana JF

Mimi ni mmoja wa vijana wanaoishi kwa shemeji(mume wa Dada) baada ya kutoka nyumbani kwetu babati.

Nimekuwa nikiishi mahala hapa kwa takribani mwaka wa pili sasa kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu.

Tatizo kubwa ni huyu shemeji yangu ananiumiza roho kwa kufanya vitu ambayo kwa namba moja ama nyengine Mimi sipendezwi navyo.

Shemeji amekuwa na tabia ya kunioshea akiwa na dada yangu wa tumbo moja, amekuwa akimchezea dada makalio wakati Mimi naona kwa macho yangu mawili.

Hili swala linaniuma sana ukizingatia jamaa alitoa mahari kidogo tu isiyozidi laki nne katika harakati za kumuoa dada.

Hivi juzi wakati naenda jogging mida ya saa mbili usiku nimemkuta anakunywa mchuzi wa pweza sio siri niliumia sana, bado nilivyorudi hapo nyumbani nilimkuta anakula karanga mbichi.

Naombeni ushauri wanajamvi kabla sijachukua maamuzi magumu dhidi ya huyu shemeji yangu
Sasa itakuumaje mkuu, we si upo kwa shemeji, amsha uondoke, au shem akiingia ndani ya nyumba we nenda room katulie au kavute fegi kwa mangi
 
Back
Top Bottom