TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau!
Jana nilipata nafasi ya kwenda wilaya ya Temeke kupiga misele baada ya jamaa yangu kuniomba nimtembelee nikapafahamu anapoishi kule Mtoni Kijichi Temeke.
Binafsi kutokana na taaluma yangu ya uhandisi ni mpenzi sana wa ubunifu wa kihandisi ,hivyo jamaa yangu aliniomba anitembeze maeneo yote ya Kijichi ambyo serikali imejenga miundombinu ya barabara na soko.
Kiukweli Kijichi inavutia sana kuliko sehemu yeyote ya wilaya ya Temeke yaani kama Masaki ndogo.
Ila kuna kitu ambacho niliona serikali ilibugi sana, ni lile soko na stand iliyopo pale Kijichi ambayo haitumiki badala yake imekuwa sehemu ya vijana kwenda kukutana usiku na watu wao na kama sehemu ya mazoezi.
Mradi hule wa soko umegharimu pesa nyingi sana lakini unaonyesha, ubunifu hule haukuendana na mahitaji ya wananchi na kufanya kugharimu pesa nyingi sana pasipo kuwa na impact yeyote kwa jamii na serikali.
USHAURI:
Nashauri serikali wajenge Mall kubwa kupitia muwekezaji kwenye eneo lililobaki itasaidia kuchangamsha eneo husika na kuongeza mapato.
Jana nilipata nafasi ya kwenda wilaya ya Temeke kupiga misele baada ya jamaa yangu kuniomba nimtembelee nikapafahamu anapoishi kule Mtoni Kijichi Temeke.
Binafsi kutokana na taaluma yangu ya uhandisi ni mpenzi sana wa ubunifu wa kihandisi ,hivyo jamaa yangu aliniomba anitembeze maeneo yote ya Kijichi ambyo serikali imejenga miundombinu ya barabara na soko.
Kiukweli Kijichi inavutia sana kuliko sehemu yeyote ya wilaya ya Temeke yaani kama Masaki ndogo.
Ila kuna kitu ambacho niliona serikali ilibugi sana, ni lile soko na stand iliyopo pale Kijichi ambayo haitumiki badala yake imekuwa sehemu ya vijana kwenda kukutana usiku na watu wao na kama sehemu ya mazoezi.
Mradi hule wa soko umegharimu pesa nyingi sana lakini unaonyesha, ubunifu hule haukuendana na mahitaji ya wananchi na kufanya kugharimu pesa nyingi sana pasipo kuwa na impact yeyote kwa jamii na serikali.
USHAURI:
Nashauri serikali wajenge Mall kubwa kupitia muwekezaji kwenye eneo lililobaki itasaidia kuchangamsha eneo husika na kuongeza mapato.