Members natumaini hamjambo.
Kuhusu ushauri wangu taasisi hii kwa siku za karibuni ni kweli wanajitahidi kuboresha huduma zao, kama vile kuhamishia huduma zote mtandaoni na kadhalika.
Lakini kutokana na mapungufu yaliokuwepo, na mahitaji halisi ya wadau/wateja/wananchi kwa sasa bado sana pengo ni kubwa sana na mbaya mtandao umekuwa ndio kinga au kisingizio chao kikuu.
Hawapo karibu kabisa na wananchi hivyo kusababisha vishoka kuingilia kati na kusababisha uharibifu na hasara za kila aina.
Kuhusu ushauri wangu taasisi hii kwa siku za karibuni ni kweli wanajitahidi kuboresha huduma zao, kama vile kuhamishia huduma zote mtandaoni na kadhalika.
Lakini kutokana na mapungufu yaliokuwepo, na mahitaji halisi ya wadau/wateja/wananchi kwa sasa bado sana pengo ni kubwa sana na mbaya mtandao umekuwa ndio kinga au kisingizio chao kikuu.
Hawapo karibu kabisa na wananchi hivyo kusababisha vishoka kuingilia kati na kusababisha uharibifu na hasara za kila aina.