Reachpoint
Member
- Oct 7, 2023
- 15
- 17
Habali nduguzo.
Naombeni ushauri namna ya kuomba kibali cha kuonana na mkurugenzi au HR wa Taasisi tofauti tofauti.
Nia na dhumuni, nina biashara yangu nataka ianzisha mda si mrefu ntakuwa nimesha sajiliwa kama kampuni na brela.
Nahitaji kujua taratibu za kuomba kibali cha kuonana na Mkurugenzi wa Taasisi husika ili niweze kupewa kibali na nafasi ya kuonana na wafanyakazi na kutangaza huduma zangu wakiwapo maofisini.
Naombeni ushauri namna ya kuomba kibali cha kuonana na mkurugenzi au HR wa Taasisi tofauti tofauti.
Nia na dhumuni, nina biashara yangu nataka ianzisha mda si mrefu ntakuwa nimesha sajiliwa kama kampuni na brela.
Nahitaji kujua taratibu za kuomba kibali cha kuonana na Mkurugenzi wa Taasisi husika ili niweze kupewa kibali na nafasi ya kuonana na wafanyakazi na kutangaza huduma zangu wakiwapo maofisini.