yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.
Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.
Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.
jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.
ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo
pole ayanda your story abt cheatng iko kama yako.
tena mie am 26 ila na kimada ananitukana mpaka imefikia hatua naham kwel nitafute wana wa nje ila awe mtu mzima ila siwez kabsa naogopa na spend kabsa ila nachanganykiwa,nambie wewe ulimpataje huyo coz mie sikupata chance ya kuwa na ex.
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.
Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.
Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.
jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.
ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo
ha haaaa, wewe umesema ni chizi.....mimi mmbea....inaonekana una personality ya kutojiamini hivi!
why unapendaga kuita watu waje kukupa support?
anyway, wacha waje.
42yrs ni umri mzuri wa mwanaume anayejitambua
inamaana ww unataka kwenda kuvunja ndoa ya watu wengine kutokana na matatizo yako.mie sitaki aache na infact nimeshamwambia asimuache maana sasa k kwangu hapati.
kuwa nyumba ndogo kwa yule jamaa wa 42 yrs ni better kuliko huyu ninaemuita eti mume lol
simfeel tena hubby na ni wazi na yeye hanifeel. Cheatings zake zilinivuruga sana mwaka jana na juzi nilikua kama kichaa hivi ungeniona.
ila sasa nilishatadhimini, nikagundua kwamba hanipendi maana huwezi cheat live kiasi kile. Na mie nilikua sina mapenzi sanaaaa kwake tangu enzi za uboy/ugal friend ila nilijua nitampenda sana tu kama atanitreat vema, kumbe maybe na yeye alikua anataka sex tu, maana tuliona baada ya kuzaa mtoto.
anyway, mi nafikiria divorce ili niwe kwenye real marriage bana.
we ndoa gani mwanaume nalala nae kama mwanangu au bro wangu na hata akinivuta sijisikii kabisa na sometimes namwambia wazi amtafute hawara ampe kidogo maana mi simfeel.Yana anajua simfeel, mi huwa ni muwazi sana sinaga uongo.
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.
Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.
Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.
jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.
ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo
simfeel tena hubby na ni wazi na yeye hanifeel. Cheatings zake zilinivuruga sana mwaka jana na juzi nilikua kama kichaa hivi ungeniona.
ila sasa nilishatadhimini, nikagundua kwamba hanipendi maana huwezi cheat live kiasi kile. Na mie nilikua sina mapenzi sanaaaa kwake tangu enzi za uboy/ugal friend ila nilijua nitampenda sana tu kama atanitreat vema, kumbe maybe na yeye alikua anataka sex tu, maana tuliona baada ya kuzaa mtoto.
anyway, mi nafikiria divorce ili niwe kwenye real marriage bana.
we ndoa gani mwanaume nalala nae kama mwanangu au bro wangu na hata akinivuta sijisikii kabisa na sometimes namwambia wazi amtafute hawara ampe kidogo maana mi simfeel.Yana anajua simfeel, mi huwa ni muwazi sana sinaga uongo.
my dear nina akiri kuliko maelezo. Niliolewa sababu ya mtoto tu na wala si kingine maana sikutaka kuzaa watoto tofauti, nilikua mdogo ila sasa watoto tofauti sioni ishu ni maelewano tu ya wazazi.
Huyo jamaa wa 42 yrs, hajazungumzia kuvunja ndoa yake na wala sijali avunje au asivunje.
Yaani hii ndoa na kuwa nyumba ndogo ya jamaa ni bora kuwa nymba ndogo kwa real man kuliko wife wa mwanaume ---- tu anayepelekeshwa na hawara.
Ndoa za waafrica ni presha tupu yaani
Mwendelezo wa upumbavu, sasa umepewa mawazo na umekiri yale ndio uliyokuwa unayataka.....sasa unaanza tena kuhoji kama ni mawazo yake au la.....muombe Mungu kwanza ausafishe ubongo wako!
nimeshindwa kukuelewa kabisaaa,maelezo yako ni very simple kwa inshu kubwa kama hiyo,BILA SHAKA UTAKUWA MJAMZITO BILA KUJIELEWA,HAPO ULIPO UNAENDESHWA NA MAUDHI YA MIMBA CHANGA,samahani kama nimekujibu kirahisi maana hata post yako iko kirahisi sana
Yakikushinda tena huko njoo uombe ushauri,
Nini tofauti ya wanaume weusi na weupe?. Amesema mume wake ni mweupe na yeye anapenda mwanaume mweusi.