tatizo hakuna is just that, nimebugi mennnnnnn
tangu zamani nilikua navutika na wanaume wakali na wacheshi pia, yaani nataka nimuogope ndo nitamheshimu yaani kama watz tulivyomuogopa nyerere na tukampenda sana basi na mie ndo hivyo hivyo.
sasa mi simheshimu maana anaburuzwa nje, sasa why mie nimheshimu na siwezi ishi na dume nisililiheshimu
mhm kumbe mlioana becoz ya kuwa mmezaa....pole. what happened to ile principle ya kwamba utakuwa wagegedwa nje tuu na wala huna presha yoyote?
my dear, nachohitaji ni mwanaume atakenipa advise kwenye mambo mengi si lazima eti niwe nae kwanza sitaki ndoa ya pili hata kama nitapata mwingine tutaishi tu na sio mambo ya kudondoka signatures kwenye cheti cha ndoa.
nitafikiria ishu ya watoto, ila in the mean time kudate nje hakuepukiki
Embu nisaidie hapo bold, una maana wana 0713 au wanampiga kama mwanao.
mhm...this sounds very tempting ebu nitafute mwaya nikupe upendacho
mi nataka mwanaume anayepiga nje na huko nje demu aogope hata kunijua ili asimuudhi hubby.
lo mwanaume gani hana ukali kwa kimada wake bana, linaburuzwaaaaaaa sasa mie la nini?
mi hadi nikupe k ni lazima nikuone ni mkali wa kutosha then nitakupa heshima yako na k juu kama huyo jamaa wa 42 yrs
Mungu wangu..Kwel hii ni balaa...Huwezi kumpenda au kumwonea wivu mumeo coz tayari una mtu ambaye anakutosheleza kwa yale yote aliyostahil mumeo kukufanyia..Ok..Try this..Wew achana na huyo mpenz wako wa pembeni then uishi kama mumeo ndo kila kitu kwako hususan swala la mapenz na caring nyingine..Hapo lazma utampenda na kumwonea wivu..tuna watoto wawili.
yaani tunalala pamoja ila ni kwamba tupo mbali mbali tayari.
mnielewe kwamba hatugombani infact tunaongea fresh tu stori, yaani tukitoka job tunaketi sebuleni na kupiga stori tu ama siasa au mengine ya kijamii tu. Inshort we dont feel each other, na mi napenda wanaume weusi sana and yeye ni mweupe na pia na yeye atakua anazimikia size fulani ya mwanamke maana huyo hawara yake ni umbo tofauti na mimi.
yaani i dont understand this kabisaaaaaaa. i dont love him wala sitaki nizeeke nae, nataka kuwa kwenye ndoa ambayo nitamuonea wivu mume wangu maana huyu hata wivu nae sina.
mhm...this sounds very tempting ebu nitafute mwaya nikupe upendacho
follow your heart,ila ukidevorce si ndo utakuwa nyumba ndogo ya huyo mme wa mtu,sasa na mkewe atagundua na hapo matatizo yatakapoanza,fo me ningekuomba achana na huyo mme wa mtu ili ustick na mmeo,hakika mmeo nae ataacha kule kwa mke wa mtu
my dear nina akiri kuliko maelezo. Niliolewa sababu ya mtoto tu na wala si kingine maana sikutaka kuzaa watoto tofauti, nilikua mdogo ila sasa watoto tofauti sioni ishu ni maelewano tu ya wazazi.
Huyo jamaa wa 42 yrs, hajazungumzia kuvunja ndoa yake na wala sijali avunje au asivunje.
Yaani hii ndoa na kuwa nyumba ndogo ya jamaa ni bora kuwa nymba ndogo kwa real man kuliko wife wa mwanaume ---- tu anayepelekeshwa na hawara.
mi hadi nikupe k ni lazima nikuone ni mkali wa kutosha then nitakupa heshima yako na k juu kama huyo jamaa wa 42 yrs
upo dunia ipi wewe?
talaka ipo hata kwa wakiristo na watu wanaachana na kufunga ndoa upya kama kawa.
Upo mzee wa migegedo? Mic uuuuuu
nimeshajichokea sweetie, maana sasa hata mambo ya maendeleo pamoja na yeye sitaki tena. Yaani nashindwa kufanya certain decisions maana naona kama napita tu kwenye hii ndoa.
am just tired, yaani nimeshajichokea. Kugegedwa nje has nothing to do with my thinking of divorce
kwani ndoa iwe ya kikisto, kiislamu ama kiserikali zote si ni ndoa za the same status ama?
anyaway, yetu tulifunga st. joseph 2009