ushauri pliz: Nafikiria divorce

ushauri pliz: Nafikiria divorce

hivi wewe, huu uzi nimerusha tangu saa nne asubuhi unadhani mpaka saa hizi sijapata jibu nililokua nalitaka?

mi nshapata ushauri. Kuanzia saa nane watu wengi wanakua wamejichokea either na kazi or mengineyo so najua wanaishia kunitukana na siku zote mi huwa ukinitukana nakutukana tu.

hebu fungua uzi mwingine we vipi, bwabwa tu.

tukanaa we hadi uchoke wabongo si ndo mlivyo hata bungeni ni matusi.

calm down ayanda. usitegemee response inayofanana kutoka kwa kila member.
 
Last edited by a moderator:
hivi wewe, huu uzi nimerusha tangu saa nne asubuhi unadhani mpaka saa hizi sijapata jibu nililokua nalitaka?

mi nshapata ushauri. Kuanzia saa nane watu wengi wanakua wamejichokea either na kazi or mengineyo so najua wanaishia kunitukana na siku zote mi huwa ukinitukana nakutukana tu.

hebu fungua uzi mwingine we vipi, bwabwa tu.

tukanaa we hadi uchoke wabongo si ndo mlivyo hata bungeni ni matusi.

calm down ayanda. usitegemee response inayofanana kutoka kwa kila member.
 
Last edited by a moderator:
Pole. Usione wapenzi wameshikana mikono njiani ukadhani wanapendana sana. Wengi wana pretend. Toa kasoro zilizopo kwenye ndoa yako na ikiwezekana jitathmini na kujikagua muone mlikosea wapi.
ushauri tosha,ni ushauri uliojaa ukweli mtupu, mwenye mada zingatia ushauri huu,
 
Dah, nimeshindwa kucomment, pole sana inaonekana umechooooooooka mbaya hasa kwa sentensi yako ya mwisho, dah!!

unajua watu wa hapa JF na wabongo kwa ujumla wamekua watu wa kupondaaaaaa na kutukuna kila kukicha.

sasa inabidi uwape uhuru wa tukane hadi wachoke then unaconcetrate na yale mawazo ya waungwana maana kuna watu waungwana sana. Kwahiyo ndo maana unaona na mi ninatoa matusi kwa kila anayetoa matusi.

nacincetrate kwa watu wazima tu, hawa watoto waliotoka chuo zamani na waliomaliza Form 4 2012 ndo wanatukanwa kama watanitukana ofkoz.
 
Hata shetani ana watu wake.........YESU ALISEMA MKISHINDWA MUWAACHE WAWE KAMA WATU WA MATAIFA......GO OOOOOOONNNNNN................TAKE YO DIVORCE SWEETHEART!!!!:bange:
 
Haya jamani nimeshapata ushauri nilioutaka and thanx to all good men and women kwa kunipa ushauri wenu chamber.

Mnaojiskia kuendelea kusoma uzi wangu endeleeni, pia mnaojisikia kutukana tafadhali tukaneni hadi mshipa iwatoke, mtafanyaje na uchumi wenyewe mgumu, toeni stress zote kwa ayanda.

Jioni njema, nina mengine ya kufanya
 
Tatizo mnadharauliana sana, wewe unamuona mwanaume suruali sijui yeye anakuonaje? Kama Housegirl?

Kaeni chini mmalize matatizo yenu,mmechaguana wenyewe huku mikjua kuwa kuwa KUNA mambo ya kushughulika nayo!!
Na kwa kuwa mmeshakuwa na watoto, malezi mazuri ni kuwalea katika ndoa, hata kama imeungwa na supagluu, Na Msisahau kwa Yesu yote yanawezekana.
 
hiyo comment yako sina uhakika kama umeipaste from somewhere or umeiandika from your head.

nina doubt tu maana mh

Mwendelezo wa upumbavu, sasa umepewa mawazo na umekiri yale ndio uliyokuwa unayataka.....sasa unaanza tena kuhoji kama ni mawazo yake au la.....muombe Mungu kwanza ausafishe ubongo wako!
 
[COLOR=#333333 said:
ayanda[/COLOR];6407468]

huu ndio upumbuvu wa wenye akiri nyingi.

kwani hapo si nimeuliza swali? watu wananipa ushauri inform of answers we bwabwa hebu nipishe bana

Wewe bana sema tu unataka kuvunja ndoa ili uanze kuwa changudoa; sababu kibao, huna lolote.....nenda mama, hata ukitaka kuuza kwa sh. 50 si yako? usisingizie jamaa sio mkali, mara simzimii, mara ooh watoto.....!
 
kwakweli sieleweki.

mi kucheatiwa sio ishu, ishu ni kwamba alicheat kijinga sasa nikagundua then nikamdharau na kunuona less of a man ( mwanaume wa ukwee hafumaniwi hata kwenye cmu).

ishu ni kwamba, simfeel sababu ninashindwa kumuogopa wala kumpa respect as a man and head of a family.

hiyo ndo hasa sababu.
Kumbe angecheat kisomi/ kitaalam usingejali. Maisha ya ndoa hayajengwi kwa misingi ya kuogopana , hiyo kutompa respect dada siku ukiamua utampa. Sasa unataka huyo wa 42 kisa yuko matured kwani uliolewa na wa 22 au. Anyway follow your intuitive.
 
Kutoa mzigo kwa huyo jamaa ndo kutatatua tatizo la ndoa yako au ???????? Mnataka kuwaumiza watoto?????? Au ndo kutamrudisha mumeo nyumbani????

Ushauri ya BURE... Jiulize mumeo anafata nini kwa huyo dada? mpe mashine asage akitoka hana hamu... Wanawake wengi hujisahau baada ya miaka flani ya kuolewa na mwanaume hutoka nje baada ya kukosa kitu nje na anapoonja nnje hunogewa.

UKIMWI JAMANI NA WATOTO MTAWAACHA NA NANI.????
 
simfeel tena hubby na ni wazi na yeye hanifeel. Cheatings zake zilinivuruga sana mwaka jana na juzi nilikua kama kichaa hivi ungeniona.

ila sasa nilishatadhimini, nikagundua kwamba hanipendi maana huwezi cheat live kiasi kile. Na mie nilikua sina mapenzi sanaaaa kwake tangu enzi za uboy/ugal friend ila nilijua nitampenda sana tu kama atanitreat vema, kumbe maybe na yeye alikua anataka sex tu, maana tuliona baada ya kuzaa mtoto.


Hii ndio huwa inamaliza mzuka wa mapenzi katika ndoa as well as katika mahusiano ya kawaida NOW I KNOW WHAT U MEAN Girl

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Bado niponipo xana,wakuolewa atakuwa nikiwe?najilia zangu maisha nikichoka starehe nitazaa ka baby boy kamoja ka kurithi mali zangu
bado wewe,unaolewa lini?usinisahau kadi mie,pia jamaa akikucheat uje nikupe ushauri shost
 
HAPANA dear mi siwezi tukanana na wife ya mutu bana, mi nakula changu kwa muda wangu. Matusi ya nini bana!

sina uwezo wa kuvuruga ndoa ya mtu, the fact huyo jamaa ananingangania then definately hiyo ndoa imeshavurugika ila hawajui tu.

sina muda wa kutukanana na pia mi sio teenager
leo umekuwa mpole best! Mambo vp? Ni aje? Unakumbuka tulishawahi kuchat kipind fulan kuhusu ishu kama hii lkn hatukuelewana, ukasema unachoangalia ni watt, na gud relations na wanajamii.

Unatakiwa uwe ucrudi nyuma kama kweli ulimaanisha ulicho ongeaga. Angalia watt best, wanawake walio wengi wanataman divorce bt cha kwanza kufikiri na watt. Mfano mama yangu alipata shida ktk ndoa yk kwa 28 yrs, akawa ananiambia naangalia wanangu, wasome, wavae vzr na furaha yao ndio yangu.

Ongea suala hili na mumeo, uone atalichukuliaje. Pia angalia wanao wanavyokuwa happy akiona baba na mama amekaa pamoja n.k.
Kingine tunachogombanaga ni hiikiiiii, acha kucheat best yaan utajickia aman nakwambia.

Ni mawazo yangu tu mpendwa.
 
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.

Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.


Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.

jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.

ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo

Ayanda(wa isdingo?) pole sana dada yangu.
Sijui umri wako labda nigekuwa more specific katika ushauri wangu lakini nawezahata hivyo kukusahuri machache nikianza na hili kuwa "divorce is very rarely the solution".
Sina uhakika kama unapenda kusoma vitabu- sasa hivi nasoma kitabu kimoja kinaitwa " Tough Times Never Last But Tough People Do!
By Dr Schuller. Ni kitabu kizuri kinazungumzia mambo mengi ambayo yangekufaa ukiwa hapa ulipofikia. Anasema "When you think you have tried all alternatives remember one thing you have not"
Katika kitabu hiki anazungumzia anachokiita 'Possibility thinking' try it huenda kikakusaidi katika wakati huu mgumu
 
Bado niponipo xana,wakuolewa atakuwa nikiwe?najilia zangu maisha nikichoka starehe nitazaa ka baby boy kamoja ka kurithi mali zangu

mh! Cjui ndio mfumo dume...
Kwan ukizaa baby girl hatarithi mali zako?
 
Haya jamani nimeshapata ushauri nilioutaka and thanx to all good men and women kwa kunipa ushauri wenu chamber.

Mnaojiskia kuendelea kusoma uzi wangu endeleeni, pia mnaojisikia kutukana tafadhali tukaneni hadi mshipa iwatoke, mtafanyaje na uchumi wenyewe mgumu, toeni stress zote kwa ayanda.

Jioni njema, nina mengine ya kufanya

ayanda banaaa,mi ndo nimeingia sa hz humu jamvini asa ukisema husomi tena, asa huu ushauri wangu ataupata nani?

Achana na hao wanaokutukana ila na ww una matusi ujue...ckuzile ukaninyambaje best!
Poa, jion njema.
 
Back
Top Bottom