ushauri pliz: Nafikiria divorce

ushauri pliz: Nafikiria divorce

ukianalise sana kuhusu maisha hautafanya kitu, go for what you want hakuna anayejua vizuri unavyojisikia zaidi yako mwenyewe, na mambo ya kusingizia watoto watapata shida tuache, kwa hivyo watoto wanadeserve wazazi wanaoishi kama hawa?

kwani tunaishije?

yani tunaishi vizuri sana kama wazazi na marafiki ila si kama wapendanao.

wengine vichwa vyenu vigumu kuelewa.

Nimegundua wote wenye ushauri wa maana either wamepitia haya ama ni waungwana by nature, watoto wadogo ndo mmejaa hapa JF
 
wewe una akiri nyingi sanaaaaaaaaaaaaaa naomba nikuulize eti ulikuwa unakuwaga wa kwanza darasani maana una akiri balaaaaa.

ila sielewi why unapoteza muda kuandika comment ndefu wakati ayanda mwenyewe mwendawazimu?

naomba wenye akiri nyingi kama za huyu, wasiandike kitu tafadhali.
Si bure
unaweza kuwa Na tatizo la akili au mapepo. KAOMBEWE..! Najutia muda niliotumia kuccoment Na Mtu huyu..
 
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.

Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.


Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.

jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.

ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo

Pole sana dada, naona uliolewa kwa kufuata mkumbo ati flani kaolewa na wewe ulazimishe ndoa madhara yake ndo haya, kaa chini uimalishe ndoa yako hivyo hivyo
 
mmmh! mie huyu sitaki hata kuseme neno manake keshanchafua sasa nikifungua hili bakuli langu, hali ya hewa na uzi wake utafungiwa bureee............

We fungua tu hilo bakuli, kwani uzi wangu ukifungiwa nitapoteza nini cha maana hapa.

ideas nilizokua nataka nimeshazipata toka kwa waungwana 5 tangu asubuhi, sasa hivi najirusha tu hapa for funny.

dont take life too serious wewe
 
Pole sana dada, naona uliolewa kwa kufuata mkumbo ati flani kaolewa na wewe ulazimishe ndoa madhara yake ndo haya, kaa chini uimalishe ndoa yako hivyo hivyo

haya nimekusikia, basi wenyewe ambao hamjaolewa mnafarijika maskini.

mnafurahi wenyewe kusikia majanga ya ndoa

ha ha ha ha ha
 
Si bure
unaweza kuwa Na tatizo la akili au mapepo. KAOMBEWE..! Najutia muda niliotumia kuccoment Na Mtu huyu..

ha ha ha ha ha lazima ujute ila ndo hivyo, utake usitake uzi unaonzishwa na Ayanda lazima utaufungua hata kama hutacomment.

usiku mwema
 
mwache tu aendelee kufikiria twin wangu maana kufikiri ndio kazi ya ubongo

kwahiyo na wewe umeingia king.

ha ha ha mi nishapata nilishataka just muda mfupi baada ya kurusha huu uzi, sasa endeleeni kunizoga hadi mchoke.
 
basi kama nyie wote hamtaki kumshauri huyu, twen zetu Mtwara

mwenzangu hao hawawezi kwenda popote watabaki hapa hapa kupoteza muda kwenye uzi wa Ayanda.

this can real fun
 
Mungu tu atusaidie maana ukiangukia mikononi mwa kurumbembe kama hiki halafu ukafunga nalo ndoa kabisa umekwisha!Kwa lilivyo na lugha chafu halitakaa litulie na mtu, Mungu atuepushe nalo tu kwa kweli. Namwonea huruma aliyelioa!I lost my time kusoma lithred lake nikidhani ni mtu kweli anataka ushauri kumbe yaleyale!! ¤*¥!
 
Ndoa ina miaka minne haum-feel mwenzio mpaka unataka divorce. Ukibadilisha mume kila baada ya miaka minne mpaka unastaafu utakuwa umeolewa na wanaume si chini ya 10!!! Mwanzo mlipendania nini mpaka mkaoana? Tatizo lingekuwa kwa mmoja wenu ningekushauri tafuta kilichopungua kwenye mahusiano yenu mjaribu kukihuisha. Kwa sababu ni kwa wote hiyo siyo rahisi, na ninaamini mking'ang'aniana sana mtakuja fanyana kitu kibaya. Achaneni tu. Tatizo wewe unamtamani mume wa mtu na mwenzio anatembea na mke wa mtu! Sijui hata mfanyeje? Hao mnaodhani mnawapenda wangekuwa single ningekushauri umrudie wako na mwezio aendelee na huyo anayekucheat nae. Sidhani kama ni vizuri kuishi na mtu ambaye mmeshaboana kwa maisha yenu yote yaliyobaki, life is short!!!
 
Kweli kama ulivyosema, ndoa yako imekuwa kama hali halisi ya nchi yako....yaani "kuna amani ila hamna furaha" amani enyewe iko hivi, ukipanda taxi/boda unajiuliza "hivi kweli leo nitafika home au ndo jamaa ananipeleka kunisulubisha"

Nakumbuka mimi na wewe tulilumbana sana kuhusu hili jambo, nashukuru tu kuwa nawe limekukera na huna furaha ya kweli moyoni, na ndio maana unataka ushauri toka kwa wadau.

Mmechokana saana, hampendani tena, hata hamu ya kupigana mibusu hamna? Ila mnaweza kuanza upya, in fact unaweza kuanza kubadilisha hiyo halithen mume wako atafuata tu....i promise you. Kwani unadhani yeye hatochoka maisha ya namna hiyo? Go somewhere on sabbatical, moja kati ya haya yatajitokeza, 1. Utamkumbuka sana, utataka umuone, muongee na kuyamaliza manake utam-"miss", ukiona hivyo, basi he still holds a place in your heart. 2. Hutamkumbuka, hutajali yuko na hali gani, hata ukisikia anaumwa hutajali sana ( basi ujue he's no place in your heart).

Huu ndio ukubwa dadangu

thanx alot. Huu ni ushauri wa 6 wa maana.

kungekua na watu wenye akiri kama zako naona bongo ingekua New york.

Tatizo mibongo mingi inapenda bifu na matusi hata na watu wasiowaona.
 
Ndoa ina miaka minne haum-feel mwenzio mpaka unataka divorce. Ukibadilisha mume kila baada ya miaka minne mpaka unastaafu utakuwa umeolewa na wanaume si chini ya 10!!! Mwanzo mlipendania nini mpaka mkaoana? Tatizo lingekuwa kwa mmoja wenu ningekushauri tafuta kilichopungua kwenye mahusiano yenu mjaribu kukihuisha. Kwa sababu ni kwa wote hiyo siyo rahisi, na ninaamini mking'ang'aniana sana mtakuja fanyana kitu kibaya. Achaneni tu. Tatizo wewe unamtamani mume wa mtu na mwenzio anatembea na mke wa mtu! Sijui hata mfanyeje? Hao mnaodhani mnawapenda wangekuwa single ningekushauri umrudie wako na mwezio aendelee na huyo anayekucheat nae. Sidhani kama ni vizuri kuishi na mtu ambaye mmeshaboana kwa maisha yenu yote yaliyobaki, life is short!!!

nimekuelewa kiana, thanx
 
Mungu tu atusaidie maana ukiangukia mikononi mwa kurumbembe kama hiki halafu ukafunga nalo ndoa kabisa umekwisha!Kwa lilivyo na lugha chafu halitakaa litulie na mtu, Mungu atuepushe nalo tu kwa kweli. Namwonea huruma aliyelioa!I lost my time kusoma lithred lake nikidhani ni mtu kweli anataka ushauri kumbe yaleyale!! ¤*¥!

hivi wewe, huu uzi nimerusha tangu saa nne asubuhi unadhani mpaka saa hizi sijapata jibu nililokua nalitaka?

mi nshapata ushauri. Kuanzia saa nane watu wengi wanakua wamejichokea either na kazi or mengineyo so najua wanaishia kunitukana na siku zote mi huwa ukinitukana nakutukana tu.

hebu fungua uzi mwingine we vipi, bwabwa tu.

tukanaa we hadi uchoke wabongo si ndo mlivyo hata bungeni ni matusi.
 
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.

Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.


Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.

jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.

ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo

Dah, nimeshindwa kucomment, pole sana inaonekana umechooooooooka mbaya hasa kwa sentensi yako ya mwisho, dah!!
 
nisifanye cheatings ili iweje?unadhani mie nyege nazitolea wapi? ila cha ajabu sasa si na huyu wa 42 yrs. Huyu wa 42 yrs amekua kinganganizi tangu nipo form 4 (2000) tena kama ningekua na akiri ningemkubali maana hata yeye kipindi kile alikua hajoa na alikuwa mdogo pia.cheatings nafanya bana, no problem kila mtu anakula kivyake nje na ndio maana naona ni usenge tu huu.kuhusu kuishi kwa ajili ya watoto ni wazo zuri nitarifikiria, BIG THANX. Ila watoto wakifika secondary wataenda boarding na hivyo watakua wakubwa so there will be no need of this ndoa maana watoto watatumbelea watakavyo.
kwa hya uliyo yaandika naamini una hitaji ushauri mwingine zaidi ya huu unao pewa hapa
 
kwa hya uliyo yaandika naamini una hitaji ushauri mwingine zaidi ya huu unao pewa hapa

ofkoz, ninapata kule chamber hapa napita kuangalia matusi ya wananchi maana wabongo kwa kutukana na kuponda tupo juu.
 
Back
Top Bottom