ushauri pliz: Nafikiria divorce

ushauri pliz: Nafikiria divorce

haya bwana hongera. kama haukumpenda toka mwanzo na ukaamua kumuoa. na ikatokea hujampenda tena, mlioana kwa ajili ya mtoto. si uendelee kukaa nae kwa ajili ya mtoto? na wewe haufanyi cheatings za wazi kama yye?

nisifanye cheatings ili iweje?

unadhani mie nyege nazitolea wapi? ila cha ajabu sasa si na huyu wa 42 yrs. Huyu wa 42 yrs amekua kinganganizi tangu nipo form 4 (2000) tena kama ningekua na akiri ningemkubali maana hata yeye kipindi kile alikua hajoa na alikuwa mdogo pia.

cheatings nafanya bana, no problem kila mtu anakula kivyake nje na ndio maana naona ni usenge tu huu.

kuhusu kuishi kwa ajili ya watoto ni wazo zuri nitarifikiria, BIG THANX. Ila watoto wakifika secondary wataenda boarding na hivyo watakua wakubwa so there will be no need of this ndoa maana watoto watatumbelea watakavyo.
 
Pole sana dadangu. ila kwa maisha ya sasa watoto bila familia iliyo imara mtawatesa sana! mimi nadhani mliongee hilo kwa faida ya watoto wenu, wekeni ubinafsi pembeni jadilini future!

BIG THANX

Nimeanza kufikiria juu ya watoto
 
ndo maana sijielewi nitaishi hivi kwa muda gani? am jus 30, i need to make my life wakati bado mapema


Hujui utaishi miaka mingapi! unaweza ukadhani una umri mrefu ila kumbe umebakiwa na siku chache (mungu aliepushe hilo) so jadilini muondoe tatizo mlee familia.

Maisha yanabadilika, so unatakiwa uishi kwa furaha na ila watoto nao waishi kwa furaha pia! bado nadhani ni muhimu ukasafiri na watoto wako atleast a month, uone tofauti mkiwa pamoja na mkiwa mbali inakuwaje!

still pole sana.
 
Maisha ni kuchagua..!
Uamuzi wowote utakaochukua una madhara yake.Maana huyo unayemfikiria ni mume wa mtu huna mdhamana nae. Katika maamuzi unayoyafanya sijui imani yako inasemaje!!
 
Me nahisi its beter to go into separate ways.......
cos hata ndoa mlifunga cos of pressure of the kid na sie yale mapenzi yenyewe
lakin what about the kids........,kulelewa na single parent is the hardest thing to
do umejiaandaaje na hilo afer divorce.
 
ila nimejisikia vibaya about that man alivyokucheat na how desparate u were during
that time...huwa inaumiza saaaaana.
ila huyo mwanaume wa 42 achana nae he has a wife tayari...,he will never be available
for you everytime you need him and to him you will be just as an optional may you look
forwad into other opportunities
 
nisifanye cheatings ili iweje?

unadhani mie nyege nazitolea wapi? ila cha ajabu sasa si na huyu wa 42 yrs. Huyu wa 42 yrs amekua kinganganizi tangu nipo form 4 (2000) tena kama ningekua na akiri ningemkubali maana hata yeye kipindi kile alikua hajoa na alikuwa mdogo pia.

cheatings nafanya bana, no problem kila mtu anakula kivyake nje na ndio maana naona ni usenge tu huu.

kuhusu kuishi kwa ajili ya watoto ni wazo zuri nitarifikiria, BIG THANX. Ila watoto wakifika secondary wataenda boarding na hivyo watakua wakubwa so there will be no need of this ndoa maana watoto watatumbelea watakavyo.


Dadangu unaonekana mbinafsi sana (kwenye ndoa usijiangallie wewe peke yako) hii inaweza kuwa coz ya upendo kati yenu kupungua, hebu jithaminishe vzr. tatizo ni nini?
 
Poor gal. Maybe you need a break from each other. Kama holiday. Unajua sisi Waafrika hatuna desturi ya kupeana breaks. Unapokuwa mbali na mwenzio unakuwa una miss kitu ndio maana hata walisema 'ABSENCE MAKES THE HEART FONDER'. I believe you do not have enough grounds to file for divorce. Mlani shetani mpenzi wangu.


Ah mi nimechoka bana.

mtu ananionyesha live na mwanaume gani anaacga wife atukanwe na hawara?

yaani nimedharau sana kiasi kwamba hata sioni faida yake.

mi nataka mwanaume anayepiga nje na huko nje demu aogope hata kunijua ili asimuudhi hubby.

lo mwanaume gani hana ukali kwa kimada wake bana, linaburuzwaaaaaaa sasa mie la nini?

mi hadi nikupe k ni lazima nikuone ni mkali wa kutosha then nitakupa heshima yako na k juu kama huyo jamaa wa 42 yrs
 
Dadangu unaonekana mbinafsi sana (kwenye ndoa usijiangallie wewe peke yako) hii inaweza kuwa coz ya upendo kati yenu kupungua, hebu jithaminishe vzr. tatizo ni nini?

tatizo hakuna is just that, nimebugi mennnnnnn

tangu zamani nilikua navutika na wanaume wakali na wacheshi pia, yaani nataka nimuogope ndo nitamheshimu yaani kama watz tulivyomuogopa nyerere na tukampenda sana basi na mie ndo hivyo hivyo.

sasa mi simheshimu maana anaburuzwa nje, sasa why mie nimheshimu na siwezi ishi na dume nisililiheshimu
 
kuna shetani anamendea hapo zidisha maombi


Ndio hapo mimi mnaponichosha kabisa....yaani kila kitu mnamsingizia shetani....huyu ni mpumbavu asiyejua nini anataka kwenye maisha, sasa shetani kachangia nini hapo.
 
Ah mi nimechoka bana.

mtu ananionyesha live na mwanaume gani anaacga wife atukanwe na hawara?

yaani nimedharau sana kiasi kwamba hata sioni faida yake.

mi nataka mwanaume anayepiga nje na huko nje demu aogope hata kunijua ili asimuudhi hubby.

lo mwanaume gani hana ukali kwa kimada wake bana, linaburuzwaaaaaaa sasa mie la nini?

mi hadi nikupe k ni lazima nikuone ni mkali wa kutosha then nitakupa heshima yako na k juu kama huyo jamaa wa 42 yrs


Mayb upendo umepungua kwa sababu hakufiil tena, tafuta likizo itasaidia sana familia! Nijuavo taliko kwa Wakristo hakuna kwa Waislamu ipo lakini Mungu amesema ndio halali amabyo haipendi zaidi,

So kwa dini yoyote uliyopo jifikirie tena. sawa ehhhhh
 
ila nimejisikia vibaya about that man alivyokucheat na how desparate u were during
that time...huwa inaumiza saaaaana.
ila huyo mwanaume wa 42 achana nae he has a wife tayari...,he will never be available
for you everytime you need him and to him you will be just as an optional may you look
forwad into other opportunities

my dear, nachohitaji ni mwanaume atakenipa advise kwenye mambo mengi si lazima eti niwe nae kwanza sitaki ndoa ya pili hata kama nitapata mwingine tutaishi tu na sio mambo ya kudondoka signatures kwenye cheti cha ndoa.

nitafikiria ishu ya watoto, ila in the mean time kudate nje hakuepukiki
 
Mayb upendo umepungua kwa sababu hakufiil tena, tafuta likizo itasaidia sana familia! Nijuavo taliko kwa Wakristo hakuna kwa Waislamu ipo lakini Mungu amesema ndio halali amabyo haipendi zaidi,

So kwa dini yoyote uliyopo jifikirie tena. sawa ehhhhh

upo dunia ipi wewe?

talaka ipo hata kwa wakiristo na watu wanaachana na kufunga ndoa upya kama kawa.
 
siwezi ishi na dume nisililiheshimu[/QUOTE]



Sasa huu ndio upumbavu ninao sema, kumbe majibu tayari unayo sasa unaomba ushauri gani tena? wewe huwezi kuishi nae kwanini umng'ang'anie?
 
tuna watoto wawili.

yaani tunalala pamoja ila ni kwamba tupo mbali mbali tayari.

mnielewe kwamba hatugombani infact tunaongea fresh tu stori, yaani tukitoka job tunaketi sebuleni na kupiga stori tu ama siasa au mengine ya kijamii tu. Inshort we dont feel each other, na mi napenda wanaume weusi sana and yeye ni mweupe na pia na yeye atakua anazimikia size fulani ya mwanamke maana huyo hawara yake ni umbo tofauti na mimi.

yaani i dont understand this kabisaaaaaaa. i dont love him wala sitaki nizeeke nae, nataka kuwa kwenye ndoa ambayo nitamuonea wivu mume wangu maana huyu hata wivu nae sina.
Yaani hizo bold zimeimaliza akili yangu yote kwani hata nilichoandika kushauri nimekifuta hakina mshiko tena. Kuna uwezekano mko kwenye wrong marriage kutokana na wrong couples ila sasa tayari una ndoa tutashauri nini? Ila embu niongeze mawazo ndoa yenu ni ya mrengo gani ie serikali, kristo au Uislam
 
Ndio hapo mimi mnaponichosha kabisa....yaani kila kitu mnamsingizia shetani....huyu ni mpumbavu asiyejua nini anataka kwenye maisha, sasa shetani kachangia nini hapo.

mwanaume anayekurupukia kutoa matusi kama wewe ndo kabisaaaaaa michosho, mwanaume wa ukwee hukaa kimya kabla hajazungumza kitu.

try to be a man jamani
 
yaani tangu mwezi huu uanze nimekuwa nawaza sana divorce. Naona ndoa yangu ipo ipo tu, yaani hakuna maudhi wala furaha. Natambua wazi ana mtu wake ampendae tatizo huyo dada ni wife ya mtu pia ila na yeye huyo dada ni wazi keshamchoka mumewe kutokana na kusex na mume wangu kitandani kwa mumewe.

Na mi pia, nimshadate wengi tu tangu nina 19 yrs hadi sasa nikitafakari ndoa yangu na mi mwenyewe natamani ningeolewa na jamaa mmoja ambae ana 42 yrs maana hadi leo sijaona mwanaume wa ukwee kama huyu. Ana kauli, mkali kiasi, mcheshi na akipiga nje anapiga kimahesabu yani wife wake kumstukia aoteshwe.


Sasa jamaa ananitaka sana hadi leo, ana watoto 3. Mi nafikiria sijui ndoa yangu ife tu maana sioni faida wala hasara ya hii ndoa wala siwezi sema nampenda na wala simchukii hubby, simfeel chochote yani hata akinigusa ni kama nimeguswa na mwanangu wa kiume tu.

jamani naombeni ushauri ndoa yangu ina 4 yrs only.

ukijisikia kutukana we tukana tu, haina shobo
hapa lipo tatizo kubwa sana, kwanza wakati mnaoana ilikuwaje, alikupenda na ulimpenda au mlioana ili kila mtu ajulikane ana ndoa! kwanini nasema hivyo, coz ukisoma kny blue umesema unatambua wazi ana mtu, na wewe unamkumbuka x wako, hii inatoa picha kwamba, ninyi nyote mlioana bila kuwa na upendo wa dhati! huo ndio ukweli. Na wewe umesema humfeel na akikugusa ni sawa kama umeguswa na mtoto wako wa kiume! inasikitisha sana. So mkikutana kila mtu anawaza mwingine! swali, je, wakati mnaoana hali ilikuwaje?

Ushauri wangu kwako, acha kudivorce, haitakusaidia badala yake utaongeza matatizo, kwa kuwa ulishakosea sijui wewe ni dini gani, ila, muombe Mungu kwa kulia na kuomboleza, funga na kuomba, mueleze Mungu unachokitaka kutoka kwa mume wako lakini na wewe ubadilike kutoka moyoni, mpende mume wako kwa dhati, mnyenyekee, pata muda wa kuongea naye, na kama mlishawahi kuwa na good times, mkumbushe na muulizane ni nini kimetokea kati yenu, na mwisho umuambie huyo ni adui shetani anataka kusambaratisha ndoa yenu nanyi mmemgundua, muanze upya maisha ya upendo.

Mithali 15:17 "Chakula cha mboga penye mapendano; Ni bora kuliko ng'ombe aliyenona pamoja na kuchukiana".

na Mithali 14.1"Kila mwanamke aliye na hekima hujenga nyumba yake; Bali aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe"
 
hivi hujanielewa niliposema sioni kasoro yeyote ya hii ndoa?

nimeshajitadhimini na nimegundua tuliwahi sana kufunga ndoa and maybe kulikua na alot of pressure maana tulikua tumeshazaa mtoto mmoja kabla.

mhm kumbe mlioana becoz ya kuwa mmezaa....pole. what happened to ile principle ya kwamba utakuwa wagegedwa nje tuu na wala huna presha yoyote?
 
Yaani hizo bold zimeimaliza akili yangu yote kwani hata nilichoandika kushauri nimekifuta hakina mshiko tena. Kuna uwezekano mko kwenye wrong marriage kutokana na wrong couples ila sasa tayari una ndoa tutashauri nini? Ila embu niongeze mawazo ndoa yenu ni ya mrengo gani ie serikali, kristo au Uislam

kwani ndoa iwe ya kikisto, kiislamu ama kiserikali zote si ni ndoa za the same status ama?

anyaway, yetu tulifunga st. joseph 2009
 
Back
Top Bottom