- Thread starter
- #21
haya bwana hongera. kama haukumpenda toka mwanzo na ukaamua kumuoa. na ikatokea hujampenda tena, mlioana kwa ajili ya mtoto. si uendelee kukaa nae kwa ajili ya mtoto? na wewe haufanyi cheatings za wazi kama yye?
nisifanye cheatings ili iweje?
unadhani mie nyege nazitolea wapi? ila cha ajabu sasa si na huyu wa 42 yrs. Huyu wa 42 yrs amekua kinganganizi tangu nipo form 4 (2000) tena kama ningekua na akiri ningemkubali maana hata yeye kipindi kile alikua hajoa na alikuwa mdogo pia.
cheatings nafanya bana, no problem kila mtu anakula kivyake nje na ndio maana naona ni usenge tu huu.
kuhusu kuishi kwa ajili ya watoto ni wazo zuri nitarifikiria, BIG THANX. Ila watoto wakifika secondary wataenda boarding na hivyo watakua wakubwa so there will be no need of this ndoa maana watoto watatumbelea watakavyo.