natumai watakaa sawa ni hatua tu ila zitapita...jitaidi kuwaeka sawa kisha kuwa mvumilivu...Habari za weekend wapendwa,
Natumai mambo yanaenda sawa na mnapata mda wa kupumzika na familia zenu mwisho wa wiki kama huu.
Nina watoto wawili wa kiume. Wa kwanza miaka 4 na wa pili miaka 2. Ni watundu sanaaaa na silalamiki kuhusu utundu wao because I saw it coming.
Tatizo ni kwamba wanadundana aisee. Huwa najitahidi kuweka balance kati yao katika kila kitu lakini wapi. Kitu kidogo tu hao. Sipendi kabisa hali hii na sometime huwa nawakung'uta lakini I just end up feeling guilty.
Najitahidi kuwanunulia same toys lakini huyu mdogo haipitagi siku mbili unamkuta na screwdriver keshalibomoa la kwake. Halafu anachukua la kaka yake anataka alifumue na la kwake. Baada ya hapo sijui anataka alifanyie panel beating?
Wa kwanza ni mpole flani. Ana huruma sana na anajua namna ya kumtuliza mwenzie by turning it all into a new game. Lakini akiwa fed up ama akihisi kuonewa ngumi zinaanza. Baba yao wala haimuumizi. Anajibu, 'Yes! Vidume hivyo acha vidundane' and it makes me feels like eating him alive.😱
I love my sons very very much and I hate to see them fight. I want them to love each other deeply. To be friends as well as brothers. To always take care of each other and have each others back.
What shall I do? What I'm I doing wrong?
Naam, wanajenga mapenzi na kila mmoja hapo anajuwa yupo safe kwa mwenzake.
Wacha wapigane.
Duuh! HatareeNi yupi mwenye baba mkorofi kati yao??
Mfyuùuuu kwa kunachimbika?Kweli inawezekana ukawa mrefu kwangu kwasababu siku hizi mnatumika sana...kina cha bahari ntakiweza wapi.Hongera kwa kuwa mrefu ' kuleee'[emoji23][emoji23]
Hapana mkuu, napenda hii hali.Dah. Hupati presha?
Kunakuwa bwawani [emoji23][emoji23]Mfyuùuuu kwa kunachimbika?
Ha ha ha ha ogoleaKunakuwa bwawani [emoji23][emoji23]
Huyo mdogo ni Electrical Engineer, huyo mkubwa ni Lawyer. Hapo lazima ngumi zipigwe. Go with them to the shop.....ask engineer anataka nini mnunulie vya kwake, ask lawyer anataka nini naye mnunulie vya kwake.
Hapo engineer hatakuja kuchukua visivyo vyake maana hakuvichagua. Na mara kwa mara mwambie engineer atunze vitu vyake... Na kila siku jioni Waite wote engineer na lawyers...ukitoka job.... Waambie walete toys zao.
Yule ambaye toys zake hazijahatibika kwa pamoja mnampigia makofi. Engineer atajisikia vibaya next time hataharibu.
Sometimes njoo home na kitu kimoja either pipi, biscuits, juicy wape wagawane wenyewe wewe kazi yako ni kuhakikisha wanapeana equal parts.
Buni michezo yeyote mfano kuvuta kamba wao wakae wawili wewe peke yako na makes sure wao wanashinda. Hii itawajengea bonding na Upendo.
Anyway mambo mengine ukihitaji nitafute
Ninataka kukimbia na sina brakeWewe gilesi wewe nikikufungulia code utakimbia jf. Tulia.
Kawaida sana hy0 kwa watoto waliofuatana.Mimi mwnyewe nimempiga sana mdogo wangu.Habari za weekend wapendwa,
Natumai mambo yanaenda sawa na mnapata mda wa kupumzika na familia zenu mwisho wa wiki kama huu.
Nina watoto wawili wa kiume. Wa kwanza miaka 4 na wa pili miaka 2. Ni watundu sanaaaa na silalamiki kuhusu utundu wao because I saw it coming.
Tatizo ni kwamba wanadundana aisee. Huwa najitahidi kuweka balance kati yao katika kila kitu lakini wapi. Kitu kidogo tu hao. Sipendi kabisa hali hii na sometime huwa nawakung'uta lakini I just end up feeling guilty.
Najitahidi kuwanunulia same toys lakini huyu mdogo haipitagi siku mbili unamkuta na screwdriver keshalibomoa la kwake. Halafu anachukua la kaka yake anataka alifumue na la kwake. Baada ya hapo sijui anataka alifanyie panel beating?
Wa kwanza ni mpole flani. Ana huruma sana na anajua namna ya kumtuliza mwenzie by turning it all into a new game. Lakini akiwa fed up ama akihisi kuonewa ngumi zinaanza. Baba yao wala haimuumizi. Anajibu, 'Yes! Vidume hivyo acha vidundane' and it makes me feels like eating him alive.😱
I love my sons very very much and I hate to see them fight. I want them to love each other deeply. To be friends as well as brothers. To always take care of each other and have each others back.
What shall I do? What I'm I doing wrong?
I know mkuu. Kuna zile set za toolbox za watoto ndo huwa anachezea.Weka mbali hizo screw drivers asije huyo mdogo akamchomelea nayo jichoni kaka yake. Screw drivers na vitu vyote vyenye ncha kali ni hatari kwa watoto.