Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,429
- Thread starter
- #161
Mdogo wangu alikuwa ananionea sana sababu I always walked away.Hehe polee.. lkn ni hivyo uwa kipindi kinafika na ngumi zinaisha. Kwani wewe umezaliwa pekeako? Maana kama una dada au kaka kupigana lazima
Mpaka na mimi nilipoanza kumdunda hasa. Mpaka ukubwani. Na hiki ndo kinanipa wasiwasi.