Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,179
- 34,435
- Thread starter
- #61
Thanks so much mkuu.
Hiyo ni kawaida nafikiri, shukuru Mungu wako hivyo kuliko wanguzubaa na kutojitambua! I think huyo mdogo hayupo shule, anza mpeleka day care, huko atakutana na wababe wenzio na walimu wakumwanagalia vyema, akija atakuwa amechoka, nakwambia atalala mapema tu, and when they meet kwa mda mrefu na kaka yake weekend, they will have a lot to catch, ugomvi hautakuwa mwingi.
Huyo mtoto has a lot of energy, na inabidi mapema hii uzi direct vizuri kwenye masomo, he/she has the energy and ndo hivyo anazipelekwa kwenye utundu.
I LOVE YOUR CHILDREN, just direct their energy kwenye vitu vya maana is all!
