Ushauri please: Vidume vyangu vinadundana balaa

Ushauri please: Vidume vyangu vinadundana balaa

Kawaida sana, nakumbuka mimi na mdogo wangu mpaka naingia sekondari zilikuwa zinapigwa balaa, halafu mshua alikuwa anampenda dogo kuliko mm, iliniumiza sana hyo hali nikawa hasira nazihamishia kwa dogo lkn sasa hivi ni rafiki yangu mkubwa tunapenda sana,usioneshe kupendelea mtoto mmoja ni hatari sana,mimi iliniumiza sana ila hamna namna inabidi umheshimu kama mzazi ila nikikumbuka huwa sipati jibu,mpaka nilijihisi labda mimi sio mwanae.
 
Habari za weekend wapendwa,

Natumai mambo yanaenda sawa na mnapata mda wa kupumzika na familia zenu mwisho wa wiki kama huu.

Nina watoto wawili wa kiume. Wa kwanza miaka 4 na wa pili miaka 2. Ni watundu sanaaaa na silalamiki kuhusu utundu wao because I saw it coming.

Tatizo ni kwamba wanadundana aisee. Huwa najitahidi kuweka balance kati yao katika kila kitu lakini wapi. Kitu kidogo tu hao. Sipendi kabisa hali hii na sometime huwa nawakung'uta lakini I just end up feeling guilty.

Najitahidi kuwanunulia same toys lakini huyu mdogo haipitagi siku mbili unamkuta na screwdriver keshalibomoa la kwake. Halafu anachukua la kaka yake anataka alifumue na la kwake. Baada ya hapo sijui anataka alifanyie panel beating?

Wa kwanza ni mpole flani. Ana huruma sana na anajua namna ya kumtuliza mwenzie by turning it all into a new game. Lakini akiwa fed up ama akihisi kuonewa ngumi zinaanza. Baba yao wala haimuumizi. Anajibu, 'Yes! Vidume hivyo acha vidundane' and it makes me feels like eating him alive.😱

I love my sons very very much and I hate to see them fight. I want them to love each other deeply. To be friends as well as brothers. To always take care of each other and have each others back.

What shall I do? What I'm I doing wrong?

huyo dogo atakua kama FARU j.anataka kutawala mchunguze kwa makini
 
Mie nimedundana sana Dada yangu na mdogo wangu kwenye umri huo lakini sasa hivi dogo heshima shikamoo anatoa na mie vilevile Kwa sister nae full maupendo
 
Daaa hiyo issue ilisababisha nikamuumiza kaka angu na muanzi kichwani! Mama alisimamia show nikachapika kweli!
mambo yakaisha ila mpaka leo kaka ana alama flani kichwani kidogo!
Ila tunaelewana sana
ahsante mama kwa kunirekebisha kwani nilikuwa na karoho flani ka kwanini kananinyemelea.......
 
me dada angu ana watoto wa4 wote wa kiume na wamepishana miaka miwil jaman humo ndan kwanza seble haina makochi maana ni uwanja wa miereka

hakuna ambacho hakijaaribiwa kuanzia tv remote, kwanza iyo tv ya ukutan ilivyowekwa juu inakaribia kufika darini mpaka kuangalia shingo inauma yote kuweka mbali na watoto

yan me nikienda siwezag kushida mpaka jion mana kichwa kitauma tu sio kwa fujo za pale
 
Bsadae watakua friends sana so usijar
 
Mi na kaka yangu tulidundana sanaaa ila tukitoka nje ni marafiki balaa na tunateteana hatari, ila tukirudi nyumbani full kudundana.

Mama alikuwa haingilii ugomvi anasubiri tu atakaekwenda kushitaki basi anashika fimbo na kutandika wote,msiposhitaki walaa hana habari.

Ulikuwa utoto tu tulipokuwa tukawa marafiki wakubwa, basi tukikaa tunakumbushana tunacheka.
 
wana uwaleavyo ndivyo wakuavyo, endelea kufuga ugomvi ukiamini kuwa ipo Siku wataacha huku wakijenga hali ya uchuki ndani yao
 
Wakikua lazima wapendane tu. Hiyo ni kawaida kwa watoto wanaofuatana. Mfano ni Mimi na ndugu yangu tunaefuatana tulipigana sana utotoni lakini sasa tupo sawa kabisa
 
Habari za weekend wapendwa,

Natumai mambo yanaenda sawa na mnapata mda wa kupumzika na familia zenu mwisho wa wiki kama huu.

Nina watoto wawili wa kiume. Wa kwanza miaka 4 na wa pili miaka 2. Ni watundu sanaaaa na silalamiki kuhusu utundu wao because I saw it coming.

Tatizo ni kwamba wanadundana aisee. Huwa najitahidi kuweka balance kati yao katika kila kitu lakini wapi. Kitu kidogo tu hao. Sipendi kabisa hali hii na sometime huwa nawakung'uta lakini I just end up feeling guilty.

Najitahidi kuwanunulia same toys lakini huyu mdogo haipitagi siku mbili unamkuta na screwdriver keshalibomoa la kwake. Halafu anachukua la kaka yake anataka alifumue na la kwake. Baada ya hapo sijui anataka alifanyie panel beating?

Wa kwanza ni mpole flani. Ana huruma sana na anajua namna ya kumtuliza mwenzie by turning it all into a new game. Lakini akiwa fed up ama akihisi kuonewa ngumi zinaanza. Baba yao wala haimuumizi. Anajibu, 'Yes! Vidume hivyo acha vidundane' and it makes me feels like eating him alive.😱

I love my sons very very much and I hate to see them fight. I want them to love each other deeply. To be friends as well as brothers. To always take care of each other and have each others back.

What shall I do? What I'm I doing wrong?
Ni tatizo ingawa sio kubwa!
Uadui baina ya ndugu wanaofuatana na kukaribiana ni very common!
extent ya kugombana au kuchukiana though lazima ipimwe! zipo story za wivu/uhasama hadi wa kutaka kuuana, au kutotaka kukaa pamoja!
mzazi unapaswa kuingilia kati na kulirekebisha hili sababu kuna wakati accidentally mnaweza kupata hasara kubwa!
what if wakati wa ugomvi wao mmoja akaanguka na kuumia, kuvunjika vibaya, au akaporomoka ktk ngazi etc!
Ushauri:
  1. unapaswa kuwatendea haki wanao na si kuweka usawa baina yao
    • Mdogo lazima atendewe kwa nafasi yake na mkubwa apewe haki yake pia.
    • usiwaingilie ktk maisha yao muda wote.
    • mpe kazi kaka ya kumuhudumia mdogo wake kwa nafasi alizonazo, then mjenge mdogo aone uhitaji wa kaka yake ktk kutimiza malengo yake ktk mambo mengi.
    • mfano kama atahitaji viatu na yeye hawezi kufikia ila kwa kimo cha kaka yake anaweza kufanya hivyo, instead ya wewe kwenda, mtume kaka/mwambie amuombe kaka yake amsaidie!
  2. upendo sio kitu automatic, hujengwa
    • wajenge waone umuhimu wa kupendana kwa kutumia neon upendo kila wakati. yaani sema kabisa nyinyi ni ndugu na mnapaswa kupendana.
    • sema dan mpende john (majina ya kusadikia) na vice versa! sema kabisa mkipendana nasi tutawapenda.
    • wakionesha kupendana, take note na encourage hiyo tabia kwa kufurahia, sisitiza kupendezwa kwako na tabia hiyo, ikiwa kusaidiana kazi, kutendeana lolote
    • chukizwa na kila tabia ya ukorofi na elezea kukasirishwa kwako na tabia ya ukorofi na mtu mkorofi (usilaumu au kulalamika - elezea bila ya ukali wala kuweka hisia za kuchukizwa, kumbuka u-act, unafundisha)
  3. wape kazi /shughuli za pamoja zenye kuhitaji kushirikiana
    • michezo kama football ambapo lazima watatakiwa kupasiana ni mizuri Zaidi kuliko toys za gari kila mtu na yake (sina maana wacheze soka tu au usinunue toys, ila opportunity za kushirikiana na wewe kutumia nafasi ni ktk michezo ya aina hii)
    • kuimba nyimbo kwa pamoja etc
    • watume pamoja au wasindikizane na kasha wazawadie wakifanikisha kufanya hilo!
  4. usimpendelee mdogo kwa umri wake hasa anapokuwa kakosea
  5. wasaidie pale inapobidi
  6. kwa Imani ya dini yako tumia mafundisho yale yanayohusu kupendwa na wazazi, Mungu na jamii. zikiwemo hadithi za watoto
Note: sio lazima haya ninayosema yawe applicable ktk situation yako, ni ushauri tu, so assess lipi linaweza kuwa na msaada kwako, lkn pia tazama michango ya wengine!
 
I will try this. Kaka ni mpole flani amazing. Very loving.
Watafutie mchezo wa kushindana
kuogelea hivi....
wawe wanashindana.....itawasaidia sana..

Na usisahau pia mdogo amheshimu mkubwa

First born apewe heshima yake toka mapema
itawasaidia wakikua wakubwa
mdogo hata afanyeje ajue kaka yake ni kaka yake
 
Ni tatizo ingawa sio kubwa!
Uadui baina ya ndugu wanaofuatana na kukaribiana ni very common!
extent ya kugombana au kuchukiana though lazima ipimwe! zipo story za wivu/uhasama hadi wa kutaka kuuana, au kutotaka kukaa pamoja!
mzazi unapaswa kuingilia kati na kulirekebisha hili sababu kuna wakati accidentally mnaweza kupata hasara kubwa!
what if wakati wa ugomvi wao mmoja akaanguka na kuumia, kuvunjika vibaya, au akaporomoka ktk ngazi etc!
Ushauri:
  1. unapaswa kuwatendea haki wanao na si kuweka usawa baina yao
    • Mdogo lazima atendewe kwa nafasi yake na mkubwa apewe haki yake pia.
    • usiwaingilie ktk maisha yao muda wote.
    • mpe kazi kaka ya kumuhudumia mdogo wake kwa nafasi alizonazo, then mjenge mdogo aone uhitaji wa kaka yake ktk kutimiza malengo yake ktk mambo mengi.
    • mfano kama atahitaji viatu na yeye hawezi kufikia ila kwa kimo cha kaka yake anaweza kufanya hivyo, instead ya wewe kwenda, mtume kaka/mwambie amuombe kaka yake amsaidie!
  2. upendo sio kitu automatic, hujengwa
    • wajenge waone umuhimu wa kupendana kwa kutumia neon upendo kila wakati. yaani sema kabisa nyinyi ni ndugu na mnapaswa kupendana.
    • sema dan mpende john (majina ya kusadikia) na vice versa! sema kabisa mkipendana nasi tutawapenda.
    • wakionesha kupendana, take note na encourage hiyo tabia kwa kufurahia, sisitiza kupendezwa kwako na tabia hiyo, ikiwa kusaidiana kazi, kutendeana lolote
    • chukizwa na kila tabia ya ukorofi na elezea kukasirishwa kwako na tabia ya ukorofi na mtu mkorofi (usilaumu au kulalamika - elezea bila ya ukali wala kuweka hisia za kuchukizwa, kumbuka u-act, unafundisha)
  3. wape kazi /shughuli za pamoja zenye kuhitaji kushirikiana
    • michezo kama football ambapo lazima watatakiwa kupasiana ni mizuri Zaidi kuliko toys za gari kila mtu na yake (sina maana wacheze soka tu au usinunue toys, ila opportunity za kushirikiana na wewe kutumia nafasi ni ktk michezo ya aina hii)
    • kuimba nyimbo kwa pamoja etc
    • watume pamoja au wasindikizane na kasha wazawadie wakifanikisha kufanya hilo!
  4. usimpendelee mdogo kwa umri wake hasa anapokuwa kakosea
  5. wasaidie pale inapobidi
  6. kwa Imani ya dini yako tumia mafundisho yale yanayohusu kupendwa na wazazi, Mungu na jamii. zikiwemo hadithi za watoto
Note: sio lazima haya ninayosema yawe applicable ktk situation yako, ni ushauri tu, so assess lipi linaweza kuwa na msaada kwako, lkn pia tazama michango ya wengine!
Asante sana mkuu. Umenifafanulia vizuri sana.
 
Hiyo ni kawaida nafikiri, shukuru Mungu wako hivyo kuliko wanguzubaa na kutojitambua! I think huyo mdogo hayupo shule, anza mpeleka day care, huko atakutana na wababe wenzio na walimu wakumwanagalia vyema, akija atakuwa amechoka, nakwambia atalala mapema tu, and when they meet kwa mda mrefu na kaka yake weekend, they will have a lot to catch, ugomvi hautakuwa mwingi.

Huyo mtoto has a lot of energy, na inabidi mapema hii uzi direct vizuri kwenye masomo, he/she has the energy and ndo hivyo anazipelekwa kwenye utundu.

I LOVE YOUR CHILDREN, just direct their energy kwenye vitu vya maana is all!

Habari za weekend wapendwa,

Natumai mambo yanaenda sawa na mnapata mda wa kupumzika na familia zenu mwisho wa wiki kama huu.

Nina watoto wawili wa kiume. Wa kwanza miaka 4 na wa pili miaka 2. Ni watundu sanaaaa na silalamiki kuhusu utundu wao because I saw it coming.

Tatizo ni kwamba wanadundana aisee. Huwa najitahidi kuweka balance kati yao katika kila kitu lakini wapi. Kitu kidogo tu hao. Sipendi kabisa hali hii na sometime huwa nawakung'uta lakini I just end up feeling guilty.

Najitahidi kuwanunulia same toys lakini huyu mdogo haipitagi siku mbili unamkuta na screwdriver keshalibomoa la kwake. Halafu anachukua la kaka yake anataka alifumue na la kwake. Baada ya hapo sijui anataka alifanyie panel beating?

Wa kwanza ni mpole flani. Ana huruma sana na anajua namna ya kumtuliza mwenzie by turning it all into a new game. Lakini akiwa fed up ama akihisi kuonewa ngumi zinaanza. Baba yao wala haimuumizi. Anajibu, 'Yes! Vidume hivyo acha vidundane' and it makes me feels like eating him alive.😱

I love my sons very very much and I hate to see them fight. I want them to love each other deeply. To be friends as well as brothers. To always take care of each other and have each others back.

What shall I do? What I'm I doing wrong?
 
me dada angu ana watoto wa4 wote wa kiume na wamepishana miaka miwil jaman humo ndan kwanza seble haina makochi maana ni uwanja wa miereka

hakuna ambacho hakijaaribiwa kuanzia tv remote, kwanza iyo tv ya ukutan ilivyowekwa juu inakaribia kufika darini mpaka kuangalia shingo inauma yote kuweka mbali na watoto

yan me nikienda siwezag kushida mpaka jion mana kichwa kitauma tu sio kwa fujo za pale
Teh teh teh teh teh...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom