Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu

Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu


Hahaaaa !!!nini !? uchiz wa kujitambua unahitajika hapo ,tena ni vizuri ukiwa unarap pekeyako freestyle pamoja na kuropoka kunaongeza uchangamfu ..Mim nilikuwa hivyo nilisoma vitabu na kuelekezwa kufanya uchiz kwa faida mpaka SAA hii nikichangamka nakuwa kama chiz chiz !!! katika furaha kwa sababu kila kitu nakichukulia simple na kukifanyia chiz komedy
 
Then I got it right ni kipindi kitapita ila kumbuka ndio unajishape hivyo hivyo kuwa makini na maamuzi yako mengi ya sasa hasa anza kujifunza kutopaniki au kuwa na majibu ya haraka
Kuna nyakati utajikuta unataka kulia au unakasirika tu bila sababu au unakata tamaa huku ukiwa na options nyingi sana na ndoto nyingi
Just come down everything will be alright
Nimejifunza kitu pia asante kaka.
 
Tafuta hela. Ukizipata utachangamka tu tena sana. Mademu watakutafuta kwa wingi na utaongea tu.Marafiki nao hawatakaa mbali nawe. Kama sio ukata basi jifunze kufanya meditation.Una stress
 
Brother mshana umeongea na nafsi yangu kabisa mm nko hvyo kabisa ni mtu wa mambo mengi kukata tamaa kujidharau kujishusha na pia nakuwa ni mtu niseye na furaha muda mwingi
Mkuu shida uliyokuwa nayo ww na mimi nipo humo humo wala haupo peke yako but kwa ushauri hu napata pakuanzia...
 
Hivi kumbe ni hatua za makuzi, nlikuaga sijui, enzi hizo namie nlikua hivo siongei na watu siwasalimii hata wakinisalimia sometimes sijibu, afu nikiwa mwenyewe nawaza kwanini ipo hivo ila siku hizi sipo hivo tena,
Nasubiri hatua za uzeeni sasa teh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] subiri kuna kitu takuambia
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] subiri kuna kitu takuambia
Kaka mimi naona nina shida kama ya kiongozi hapo lkn tunatofautiana kidogo mimi nina panic sana na kucomplicate vitu hata kama ni vidogo nakuwa na hasira na kuona nadharaurika mda wote kitu kingine mbele za watu nina confidence sana lakini shida ni ndani ya Nafsi yangu sina confidence yoyote naweza nikafanya kitu lkn sijiamini mara nyingi najikuta mtu wa kulijaumu tuu ku complicate mambo kwa mfano naweza kutaka kila jambo ninalopanga nilifanye ndani ya muda niliopanga nikishindwa kufanya hivyo.ni majuto tu pia najikuta na uvivu usio wa maana wa kufanya mipango yangu bila sababu zozote . ushauri mkuuu. Nipo below 25 pia.
 
Kaka mimi naona nina shida kama ya kiongozi hapo lkn tunatofautiana kidogo mimi nina panic sana na kucomplicate vitu hata kama ni vidogo nakuwa na hasira na kuona nadharaurika mda wote kitu kingine mbele za watu nina confidence sana lakini shida ni ndani ya Nafsi yangu sina confidence yoyote naweza nikafanya kitu lkn sijiamini mara nyingi najikuta mtu wa kulijaumu tuu ku complicate mambo kwa mfano naweza kutaka kila jambo ninalopanga nilifanye ndani ya muda niliopanga nikishindwa kufanya hivyo.ni majuto tu pia najikuta na uvivu usio wa maana wa kufanya mipango yangu bila sababu zozote . ushauri mkuuu. Nipo below 25 pia.
Nipe muda takujibu
 
kama wewe sio mpole
basi una matatizo ya saikolojia
jifunze kusema na moyo wako
tambua nini kinakupa furaha...
jifunze kufurahi... jifunze kutabasamu hata kama una matatizo lakini bado una sababu billion za kufurahi....
pia jifunze kuachilia mambo,usijaze maudhi nafsini
pia bwaga moyo wako....
Rita Ora hiyo avatar yako inanivuitia kufanya selfie.
 
Mungu baba tazama watoto wako wenye tatizo hili uwasaidie na kuwaondolea kabisa madhira haya kwa jina la Yesu nimeomba amen!
 
Mkuu wa kaya kabana nyanja zote,utachangamka vipi sasa?
 
Nami nmejifunza hapa, yaani kuna siku nmetoka safari zangu nmefika home nje kuna watu nmewapita bila salamu nkaingia ndani, ile nafunga mlango mmoja akanisalimia mzima wewe nilijibu lakin niliona aibu hatari. Inatokea sijisikii kusalimiana na watu na siko huru kabisa mbele za watu
hii ni kali.
 
Wakuu habari zenu,

Nimekuwa na tatizo moja la kutokuwa mchangamfu mbele ya marafiki zangu pindi ninapisalimiana nao pia mimi ni mtu nisiyejali kwa vitu vingi sana mara nyingi uchukulia kawaida tu na sio mpenzi wa kuwasiliana na watu kwenye social media msaada kwa hilo wakuu ni tatizo gani hili.
[emoji12] [emoji12] [emoji12] jf ni zaid ya noma
 
Sawa kaka nakusubiri najua ushauri wako utatusaidia wengi pia kazi njema.
Iko hivi
Hapo kuna mambo mengi kwa pamoja
1. Makuzi ni ufahamu unaji tune kukutengeneza wewe ujaye...ni katika kipindi hiki ndio mambo mengi huibuka kwa pamoja kama kutaka mafanikio au matokeo ya haraka, kukata tamaa hasira kujiona unakosea kujistukia kuwa hufai na unadhauliwa nk ....kikubwa hapa ni kujitahidi kufocus kwenye mazuri na kuyapiga chini yale mabaya...sio kazi rahisi lakini kwa kufanya hivyo unajitengenezea uwezo wa kuja kuwa na maamuzi binafsi yenye tija
2. Matatizo ya kisaikoloji...inferiority complex na superiority complex...hizi hali mbili hujitengeneza katika umri wa 17- 25 (crucial period ya maamuzi magumu)
Hapa ukikosea tu kidogo aidha utakuwa na tatizo la inferiority complex...kujidharau na kujikataa na kuona wengine ndio wanaweza. Hapa utakuwa ni mtu ambaye hujiamini na kujistukia...Ama la utapata tatizo la superiority complex, kwamba wewe ni bora sana kuliko wengine...hii itakutesa pia kwakuwa utataka kuwa juu ya wengine na watu wakikushanga utajikuta unaumia kihisia na kupata shida sana. ..jijenge kuwa mtu wa kutafakari kabla ya kutenda lolote

Watu wengi wanaojiamini sana mbele ya hadhira, ni watu wenye maumivu mengi moyoni kwakuwa wana mapungufu ya woga kujikataa na kujidharau, hivyo huficha hizo hali kwa kujijiengea ukuta mnene wa kujiamini ukorofi ubabe ujuaji nk...lakini nikwambie kitu huwa wakitoka hapo huumia sana..na hupenda kuwapa wengine maumivu ili wao wapate nafuu
Jaribu kufanya hili unapokumbana na hizo hali vuta pumzi ndefu tatu kisha tulia na kama una maji kunywa utaona maajabu
 
Back
Top Bottom