Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu

Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu

tafuta rafiki wa karibu au nenda kwa wanasaikolojia au ingia mtandaoni utapata mawaidha juu ya hilo mkuu
 
Mleta mada umegusa sana life stlye yangu kwa % kubwa yaani tabia yangu ni kama yako kabisa afu kubwa Zaidi mimi kuongea mbele za watu huwa nashindwa nilikuwa napata shida sana wakati wa presentation mdomo unakuwa mzito kabisaa
Nimejaribu kujimix na watu nimeshindwa cz mimi siyo mtu wa story sina marafik chuo mtaani mda wote nipo kivyangu yaani ni vingi napitia
Ndugu mshana nashukuru kwa ushauri wako atleast nimepata kitu
Tunaomba wadau wengine mtupe ushauri nini tufanye Zaidi kuepuka hii hali
1465271822089.jpg
 
Una umri gani ndugu yangu,
Uchangamfu wa mtu huletwa na mambo mengi. Mosi Hujiamini.

Kujiamini ni tiba pekee ya tatizo linalokukabili. Ikiwa utafanikiwa kuongeza hali ya kujiamini itakuwa mchangamfu sana.

Kwanini nasema hivi!!
Unapokuwa mbele za watu Mara nyingi huwa unakuwa muoga wa kuchangia aidha made inayozungumzwa kutokana na hofu na kutokujiamini kwako kulikopitiliza kiasi kwamba unahisi utakachokisema au kukitenda hakitapokewa au kukubaliwa na wengine.

Unataka nikusaidie!! Nitafute PM
1465271866326.jpg
 
Jambo la kwanza na muhimu, je? upo tayari kubadilika. ( tunasubili jibu)
 
Nami nmejifunza hapa, yaani kuna siku nmetoka safari zangu nmefika home nje kuna watu nmewapita bila salamu nkaingia ndani, ile nafunga mlango mmoja akanisalimia mzima wewe nilijibu lakin niliona aibu hatari. Inatokea sijisikii kusalimiana na watu na siko huru kabisa mbele za watu
 
...aisee!, yani nikikusoma wewe, halafu nikimkumbuka yule aliyemwambia afanye mapenzi mara kwa mara!, mbingu na ardhi.
Ndo ujue kuna watoto na watu wazima humu. 😀
 
Mkuu gonga papuchi kila cku utachangamka then PGA redbull
 
Then I got it right ni kipindi kitapita ila kumbuka ndio unajishape hivyo hivyo kuwa makini na maamuzi yako mengi ya sasa hasa anza kujifunza kutopaniki au kuwa na majibu ya haraka
Kuna nyakati utajikuta unataka kulia au unakasirika tu bila sababu au unakata tamaa huku ukiwa na options nyingi sana na ndoto nyingi
Just come down everything will be alright
Hii kitu inanisumbua sana aisee yani umeeniogea mm 100% na maamuzi ya gafla hata kwenye jambo la muhimu siogopi kupata hasara hata kama kuna ishu ambayo nimeitolea hela mtu akinikwaza tu kidogo naitelekeza bila kufikiria mara mbili mbili! Napenda sana kudharau watu hata kama wamenizidi kipato sijali, Sipendi kukaa na marafiki kiufupi sina marafiki najitenga nao sanaa hata nikikaa nao siogei chochote nawaskiliza tu wanacho ongea!! Na kama nimekaa na mpenzi wangu hata kama sijamkosea na yeye hajanikosea tunacheka na weza kuchukua maamuzi ya gafla na kumtimua bila sababu asipo ondoka nasepa mim!!
 
Hii kitu inanisumbua sana aisee yani umeeniogea mm 100% na maamuzi ya gafla hata kwenye jambo la muhimu siogopi kupata hasara hata kama kuna ishu ambayo nimeitolea hela mtu akinikwaza tu kidogo naitelekeza bila kufikiria mara mbili mbili! Napenda sana kudharau watu hata kama wamenizidi kipato sijali, Sipendi kukaa na marafiki kiufupi sina marafiki najitenga nao sanaa hata nikikaa nao siogei chochote nawaskiliza tu wanacho ongea!! Na kama nimekaa na mpenzi wangu hata kama sijamkosea na yeye hajanikosea tunacheka na weza kuchukua maamuzi ya gafla na kumtimua bila sababu asipo ondoka nasepa mim!!
Jitahidi ubadilike kwasasa it's alright lakini in future itakusumbua sana
 
Check hili jitu! Yaani unawaza tu ngono! Watu wanaoitwa cesilia ni mijitu nyeusi tii na ina roho mbaya balaaa!
chuo umefukuzwa kilaza umeitwa unadhani mimi nitakusaidia nini pole
uwakika wa kula tu huna unaniletea hasira mie kwendraaaaaaaaaa
 
punguza muda wa kushika masmartphone wewe tatizo lako limesababishwa na addiction ya electronic devices kamq kompyuta na ma playstation
 
Back
Top Bottom