Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu

Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu

...aisee!, yani nikikusoma wewe, halafu nikimkumbuka yule aliyemwambia afanye mapenzi mara kwa mara!, mbingu na ardhi.
[emoji1] [emoji1] Huyo demu si umeiona avatar yake halafu anataka mweziwe achepuke mara kwa mara
 
kama wewe sio mpole
basi una matatizo ya saikolojia
jifunze kusema na moyo wako
tambua nini kinakupa furaha...
jifunze kufurahi... jifunze kutabasamu hata kama una matatizo lakini bado una sababu billion za kufurahi....
pia jifunze kuachilia mambo,usijaze maudhi nafsini
pia bwaga moyo wako....
 
Hayo maisha safi sana. Kumbe tupo wengi! Binafsi naenjoy sana maisha yangu hivyo. Sinaga muda na mtu mie
 
Tafuta mpenzi uwe nae karibu
Si mpenzi as such kwakuwa kutakuwa na intimidation itakayozaa lust na wivu hivyo kuleta stress na kuongeza tatizo
Nashauri apate mtu mwema rafiki mwenye kuaminika ambaye atamfanya kama rafiki anayeweza kumwambia mambo yake ya ndani kwa uhuru
 
Una low self esteem,yaani unajishusha unakosa confidence!ila kikubwa cha kukushauri siku zote usifikirie watu wanakufikiriaje au wanakuonaje!sababu hujui ndani ya vichwa vyao wanawaza nn!au jaribu kutazama LOW OF ATTRACTION itakufundisha mengu
 
Anti-socialism,Jitahidi kujimix na watu kwny matukio mbalimbali mf church,birthdays,vikao mbalimbali, mikutano movies, lunches, dinners nk nk
 
kama wewe sio mpole
basi una matatizo ya saikolojia
jifunze kusema na moyo wako
tambua nini kinakupa furaha...
jifunze kufurahi... jifunze kutabasamu hata kama una matatizo lakini bado una sababu billion za kufurahi....
pia jifunze kuachilia mambo,usijaze maudhi nafsini
pia bwaga moyo wako....

Nikweli mm sio mpole kiivyo na nimuongeaji sana ila kwa watu wachache niliwazoea
 
Anti-socialism,Jitahidi kujimix na watu kwny matukio mbalimbali mf church,birthdays,vikao mbalimbali, mikutano movies, lunches, dinners nk nk

Kweli kabisa siko social sana hata nikiwepo najitenga sana na kujidharau
 
There are six major types of anxiety disorders, each with their own distinct symptom profile: generalized anxiety disorder, anxiety attacks (panic disorder), obsessive-compulsive disorder, phobia, social anxiety disorder, andpost-traumatic stress disorder.

Wewe waweza kuwa hapaa!
social anxiety disorder

Google huu ugonjwa uweze kuufahamu kwa kina then upate ushauri wa daktari wa saikolojia au maswala ya ubongo... Pole sana mkuu. Kwa maelezo zaidi utaweza kuni inbox...
 
Then I got it right ni kipindi kitapita ila kumbuka ndio unajishape hivyo hivyo kuwa makini na maamuzi yako mengi ya sasa hasa anza kujifunza kutopaniki au kuwa na majibu ya haraka
Kuna nyakati utajikuta unataka kulia au unakasirika tu bila sababu au unakata tamaa huku ukiwa na options nyingi sana na ndoto nyingi
Just come down everything will be alright

Brother mshana umeongea na nafsi yangu kabisa mm nko hvyo kabisa ni mtu wa mambo mengi kukata tamaa kujidharau kujishusha na pia nakuwa ni mtu niseye na furaha muda mwingi
 
Una low self esteem,yaani unajishusha unakosa confidence!ila kikubwa cha kukushauri siku zote usifikirie watu wanakufikiriaje au wanakuonaje!sababu hujui ndani ya vichwa vyao wanawaza nn!au jaribu kutazama LOW OF ATTRACTION itakufundisha mengu

Nitajuaje hiyo LOW OF ATTRACTION
 
Then I got it right ni kipindi kitapita ila kumbuka ndio unajishape hivyo hivyo kuwa makini na maamuzi yako mengi ya sasa hasa anza kujifunza kutopaniki au kuwa na majibu ya haraka
Kuna nyakati utajikuta unataka kulia au unakasirika tu bila sababu au unakata tamaa huku ukiwa na options nyingi sana na ndoto nyingi
Just come down everything will be alright
Aisee huu ushauri kama unanihusu hivi maana hizo dalili ninazo
 
...pata picha angekuwa mdogo wako,ndio kakufuata dada kwa ushauri!
We hujui kuwa kunaniliu kunaondoa stress? sasa wewe unafikiri ni uongo?,maana lile tendo husafisha nafsi na kujenga kujiamini au vipi?
 
Brother mshana umeongea na nafsi yangu kabisa mm nko hvyo kabisa ni mtu wa mambo mengi kukata tamaa kujidharau kujishusha na pia nakuwa ni mtu niseye na furaha muda mwingi
Kwanza nakuomba futa neno kujidharau kwenye akili yako wewe ni wa kipekee mno wewe ni maalum (unique & special)imagine ni mamilioni mangapi ya vijana kama wewe wanatamani wawe kama wewe una bundle una simu hapo ulipo umeoga umevaa nguo nzuri (si lazima ziwe za gharama)una huu muda mzuri tunabadilishana mawazo kama hivi...USIJIDHARAU
wakumbuke walioko mitaani saa hii hawajui watalala wapi
Wakumbuke waliokosa mahospitalini sasa hivi wanaugua magonjwa ya ajabu wakumbuke ambao muda huu wanaenda mitaani kutafuta pesa kwa njia zozote zile
Wakumbuke walioko vitani
Wakumbuke walio maskini na fukara wasioweza kumiliki hata simu ya bei poa
USIJIDHARAU itakujengea inferiority complex
 
Nikweli mm sio mpole kiivyo na nimuongeaji sana ila kwa watu wachache niliwazoea
bwaga moyo kijana
matatizo yapo tu
haya maisha hujui tarehe yako
acha kujibana bana
ongea na watu vizuri,cheka kula vizuri ishi vzuri
utaona mabadiliko...
jione wa thamani hapo ulipo kuna watu wanatamani kufika ...pimisha Rehema za Mwenyezi Mungu kwa uliowazidi utaziona!
na utashukuru & utajawa na furaha...
 
Back
Top Bottom