Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu

Ushauri: Nina shida ya kutokuwa mchangamfu

chuo umefukuzwa kilaza umeitwa unadhani mimi nitakusaidia nini pole
uwakika wa kula tu huna unaniletea hasira mie kwendraaaaaaaaaa
Hata chuo sikufika nashangaa unanipa cheo kisicho changu na nimeajiri wasomi kama wewe!
 
tafuta rafiki wa karibu au nenda kwa wanasaikolojia au ingia mtandaoni utapata mawaidha juu ya hilo mkuu[/QUOTE

Rafiki ninaye sema ubaya ni kwamba Kuna vitu uwa nahitaji anifanyie sema yeye afanyi hivyo na Nina amua niwe mimi kama mimi
 
kuna kitabu cha Dale Carnigie How to Win Friends and Influence People kitakufaa na vingine vingi tu vinavyohusiana na kujitambua na novels
 
hii ni tabia ya kisayansi inayoitwa introversion, watu wa aina hii wana personality traits zao na naweza kuzifananisha na zako. kila kitu kina faida na hasara zake, unaweza kuendelea kuwa hivyo ulivyo ikawa ni nzuri katika maisha yako
 
Mi sijui nkushauri nn, ila naona wew ni jipu kwa stail hyo
 
Hili tatizo sio kubwa,ingawa kama mtu umekaa katika hali hii basi unadhani ni kubwa.

Pia kuna majibu hapo awali yanayozungumzia psychological disorder lakini niwaambie tu mpka mtu uwe a psychic problems siyo rahisi kihivyo labda kama umepitia tabu na matatizo mengi sana.

Naturally kuna vitu kama "midlife crisis, lost of identity, autism etc" ambavyo watu wengi wanakumbana navyo na kila siku tunapitia.

Unaweza kupata msaada kutoka kwa psychiatrist au wataalamu wa masuala ya akili na tabia.

Pia kabla ya yote fahamu kwa kiasi flan elimu ya akili mpaka sasa imejikita sana kwenye "negative side"- causes of mental and behavior illness lakini "positive side"- overcoming mental and behavior illness bado ni changa sana.

Ushauri wa kwanza jaribu kusoma vitabu especially hiki "how to stop worrying and start living" ameandika Dale Carnegie pia tafuta google "recommended self improving books"

Kama uko more curious kujua chanzo cha hali uliyopo basi unaweza anza kusoma psychology books kuelewa kwa mapana zaidi
 
Hili tatizo sio kubwa,ingawa kama mtu umekaa katika hali hii basi unadhani ni kubwa.

Pia kuna majibu hapo awali yanayozungumzia psychological disorder lakini niwaambie tu mpka mtu uwe a psychic problems siyo rahisi kihivyo labda kama umepitia tabu na matatizo mengi sana.

Naturally kuna vitu kama "midlife crisis, lost of identity, autism etc" ambavyo watu wengi wanakumbana navyo na kila siku tunapitia.

Unaweza kupata msaada kutoka kwa psychiatrist au wataalamu wa masuala ya akili na tabia.

Pia kabla ya yote fahamu kwa kiasi flan elimu ya akili mpaka sasa imejikita sana kwenye "negative side"- causes of mental and behavior illness lakini "positive side"- overcoming mental and behavior illness bado ni changa sana.

Ushauri wa kwanza jaribu kusoma vitabu especially hiki "how to stop worrying and start living" ameandika Dale Carnegie pia tafuta google "recommended self improving books"

Kama uko more curious kujua chanzo cha hali uliyopo basi unaweza anza kusoma psychology books kuelewa kwa mapana zaidi


Nimekupata mkuu hapa
 
Nami nmejifunza hapa, yaani kuna siku nmetoka safari zangu nmefika home nje kuna watu nmewapita bila salamu nkaingia ndani, ile nafunga mlango mmoja akanisalimia mzima wewe nilijibu lakin niliona aibu hatari. Inatokea sijisikii
kusalimiana na watu na siko huru kabisa mbele za watu
Pole,sana mkuu.
Tatizo pekee ni kutojiamini,Hujiamini kiasi hata ukisema uongee kitu mbele za watu unahisi utakosea.

Ni tatizo kubwa sana ingawa inaweza usione madhara take kwa sasa.Unapongea na watu. mara kwa mara unaongeza hali ya kujiamini.

Asilimia kubwa ya watu wanaojiua huwa kama wewe kwasababu wewe sio rahisi kueleza hisia zako kwa wengine. In case una tatizo kubwa linakusumbua sana,mwisho wa siku unakuwa na msongo wa mawazo.

Watu dizaini yako ni rahisi sana kukwazika.
 
Sidhani kama kutokuwa mchangamfu ni tatizo. Labda kama una depression.
 
Wakuu habari zenu,

Nimekuwa na tatizo moja la kutokuwa mchangamfu mbele ya marafiki zangu pindi ninapisalimiana nao pia mimi ni mtu nisiyejali kwa vitu vingi sana mara nyingi uchukulia kawaida tu na sio mpenzi wa kuwasiliana na watu kwenye social media msaada kwa hilo wakuu ni tatizo gani hili.



Ahahhh! do not force to live like someone but live according to your spirit you will earn happy ness.Kuwa mchangamfu(kama ni conditioned) kunahitaji full personal mindset kwa kufanya crazy things kwa kujitambua bila kuharibu kitu then utazoea kuchangamka.
 
Una umri gani? Kama ni below 25 hizo ni hatua za makuzi zilizochelewa kidogo...fuata moyo wako utakacho usilazimishe usichokiweza utaishi kwa maumivu
Kama huna social activities jichunguze ni kitu gani kinakupa furaha kisha kifuate hicho lakini angalia kisiwe na makwazo kwa wengine
Furaha yako no muhimu kuliko chochote kile kwakuwa furaha huleta matumaini furaha ni afya ya akili na mafanikio
Hivi kumbe ni hatua za makuzi, nlikuaga sijui, enzi hizo namie nlikua hivo siongei na watu siwasalimii hata wakinisalimia sometimes sijibu, afu nikiwa mwenyewe nawaza kwanini ipo hivo ila siku hizi sipo hivo tena,
Nasubiri hatua za uzeeni sasa teh
 
Usitafute sana kuwa perfect. ...be free make mistakes. ..be a little crazy. ..ukijifanya socrates utasikia watu wako happy alafu usijue how they possibly become happy.

Arachuga wangekwambia usiwaze Chalii angu
 

Hahaaaa !!!nini !? uchiz wa kujitambua unahitajika hapo ,tena ni vizuri ukiwa unarap pekeyako freestyle pamoja na kuropoka kunaongeza uchangamfu ..Mim nilikuwa hivyo nilisoma vitabu na kuelekezwa kufanya uchiz kwa faida mpaka SAA hii nikichangamka nakuwa kama chiz chiz !!! katika furaha kwa sababu kila kitu nakichukulia simple na kukifanyia chiz komedy
 
Back
Top Bottom