- Thread starter
- #121
Kweli mkuu. nina ujasiri wa kuwa mwaminifu kwake.Kua muaminifu kama yy alivyo kwako,mpende ili ajisikie fahari kua Na mume km ww.
Kweli mkuu. nina ujasiri wa kuwa mwaminifu kwake.Kua muaminifu kama yy alivyo kwako,mpende ili ajisikie fahari kua Na mume km ww.
Sasa bibie unaanza kutafuta buzi au?Mpendwa acha hizo....
Hebu saidia kuuliza kwenye huo ukoo kama hata kuna masalia ya mjomba ambae yupo singo
Kaboom msaada tutani
Cha bure salamu tu.....
Mmh haya bana, za saizi
Mpe upendo wa dhatHeshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?
Na mimi nakomaa hakuna kuchepuka wala nini. Mkuu ingekuwa kuna jedwali lenye vigezo/viashiria vya mwanamke kuchepuka halafu niambiwe niweke alama... Ungeshangaa, mtoto wa kike katulia balaa. Kwa mda huu wote nimeishi naye mpaka naandika hii sms nina uhakika mia kwa mia.Mpe upendo wa dhat
Usichepuke....... Izo ndo zawad
My take :umejiridhsh kuw hachepuk mkuu?? Maana ucje ukagundua anachepuk afu ukapata presha gafla coz unamuamin sn inaonekana
kwanini unasema hajwahi kuchepuka?!Sijui kwa nini baadhi ya wachangiaji hawaamini nikisema 'hajawahi kuchepuka'. Mkuu nasema kweli, kweli tupu. sina haja ya kudanganya.
Kwa sababu hajawahi kunisaliti kwa kuchepuka nje ya ndoa.kwanini unasema hajwahi kuchepuka?!
Buy her a treeNashukuru mkuu ila nataka ki2 tangible..
Moro mji kasoro bahari. [emoji4] [emoji4]hongera umemshukuru! ila daaah mkeo kabisa unatuuliza sisi zawado yakumpa wakati wewe ndo unamjua na anavyovipenda wavijua wewe. sijui ni wa mkoa gani huyu
kiswahili hiki ebu weka sawa alafu sema namna hii...hujawahi kumfuma akikusaliti na kuchepuka nje ya ndoaKwa sababu hajawahi kunisaliti kwa kuchepuka nje ya ndoa.
Toa neno 'kumfuma' hilo halipo kabisa mkuu.kiswahili hiki ebu weka sawa alafu sema namna hii...hujawahi kumfuma akikusaliti na kuchepuka nje ya ndoa
halipo kwa sababu ujamfuma mkuu...ila litatumika hivi karibuni kwako ndio maana nimeliweka hapoToa neno 'kumfuma' hilo halipo kabisa mkuu.
Sawa, sina uhakika wa 100% wa Wakati ujao. Ila mpaka waleo hilo neno 'kumfuma' halipo. Kwa kutazama uaminifu wake tangu nimuoe, napata ujasiri wa kumuita mke mwema.halipo kwa sababu ujamfuma mkuu...ila litatumika hivi karibuni kwako ndio maana nimeliweka hapo
Mpe no yangu mkuuHeshima kwenu wanajamvi. Mimi nimeoa na tumejaliwa kupata watoto 2. Mke wangu nimwaminifu, sijawahi kuona dalili zozote za kunisaliti; kwa kifupi hajawahi kuchepuka. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2. TAKRIBAN mwezi sasa nafikiria nimpe zawadi gani? Ila bado sijapata jibu kwa sababu siwezi kumudu kitu kikubwa kama gari. NAOMBENI ushauri mwanamke wa aina hii anastahili zawadi gani?