Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,656
Mpendwa acha hizo....
Hebu saidia kuuliza kwenye huo ukoo kama hata kuna masalia ya mjomba ambae yupo singo
Kaboom msaada tutani
Hahaha. Last of a dying breed, sio?
Mpendwa acha hizo....
Hebu saidia kuuliza kwenye huo ukoo kama hata kuna masalia ya mjomba ambae yupo singo
Kaboom msaada tutani
Nashukuru mkuu. Pete na mkufu nitazimudu.Chifu
Zawadi kubwa sana kwake ya kwanza ni uaminifu kwake kama yeye alivyofanya. Pia tafuta kitu kama vile pete, mkufu mzuri wa thamani kama kumbukumbu ya appriciation kwake.
Huo ni ushauri mkuu.
Mpaka hapa nimejifunza kuwa mkeo ni mama wa nyumbani. Ningekuwa mimi ningemfungulia kamradi akasimamie kimuingizie kipato na kipato hicho kiwe ndo Zawadi kwake. Mfano,kwa Kuwa kipato chako sio kikubwa cha kumudu kumnunulia gari, basi mnunulie bodaboda mbili, tafuta operator waaminifu uingie nao mkataba. Every week wakuletee wife kiasi flani cha pesa, maybe after 2 years bodaboda inakuwa Mali ya operator. Ukisimamia vizuri zitazaa sana na hicho kipato ni cha wife kama Zawadi kwake. Inakuwa Zawadi endelevu.. Pia ana bidii sana katika kulea watoto wetu na ananitia moyo pale tunapopita ktk changamoto za kimapato au kijamii. huwa namshukuru kwa kuwa mke mwema na mama mzuri kwangu mimi na kwa watoto we2.
Ni kweli usiusemee moyo. Ila mimi sitaki kufikiria yajayo. Nataka nimzawadie kwa hapa alipofika na mpaka naandika hii sms bado hajabadilika.Zawadi kubwa kwa mwanamke kumpenda, kumjali kwa kila kitu na kumtimizia matakwa yake, BUT mind you usiusemee moyo.
Mkuu, kwa upendo anaonipa huwa nataka nimfanyie ki2 kikubwa ila kipato ndo tatizo nimeishia kumnunulia simu na nguo za kawaida na mwakajana nilimtoa out mara moja.
Leo umetoa ushauri mzuri sanaBora hata wewe una shukrani, na umeshare upande mzuri wa ndoa... Humu kila siku ni malalamiko tu.
Zawadi, mpende tu na ajue unapenda, kitu cha kumpa angalia na interest zake
HONGERA
Mnunulie perfume na pochi nzuriiiiii,kwa hiyo amount inatosha.....sasaa mkeo hana kaka,labda nae atakua faithful [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuwa nikitenga pesa kidogo kidogo mpaka sasa nina laki 1 na elfu 70. Ndo nimezitenga kwa ajili ya zawadi
Kaka anao ila mmoja ndo bado kuoa. [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mnunulie perfume na pochi nzuriiiiii,kwa hiyo amount inatosha.....sasaa mkeo hana kaka,labda nae atakua faithful [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimekuwa nikitenga pesa kidogo kidogo mpaka sasa nina laki 1 na elfu 70. Ndo nimezitenga kwa ajili ya zawadi
Nawe siku nyingine uje ushee mazuri ya ndoa yako sio kila siku unagegeda marafiki wa mkeo na mastaili yako sijui BRN mara ekotikeLeo umetoa ushauri mzuri sana
Hayo mahaba hatari kabisa shetani mwenyewe hapo anavua shati...Hahaha. Last of a dying breed, sio?
Cha bure salamu tu.....Teh teh..Toa mpunga nikufanyie mpango..Mjini hakuna cha bure
Ha ha ha ha ha haaaaaaaaa. .....kumbe staili huwa unazikubali eenhNawe siku nyingine uje ushee mazuri ya ndoa yako sio kila siku unagegeda marafiki wa mkeo na mastaili yako sijui BRN mara ekotike