sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Hakuna maumivu yasiyoisha.....ni bora ukamwacha huyo mwanaume ambaye hakuheshimu wala kujali hisia zako......
Anza upya bidada ingawa mwanzo mgumu lakini mwisho wa siku yataisha maumivu yote...
Kwasasa kuwa mtu wa ibada....penda kusali mara kwa mara.....na mwombe Mungu hitaji lako.....
Anza upya bidada ingawa mwanzo mgumu lakini mwisho wa siku yataisha maumivu yote...
Kwasasa kuwa mtu wa ibada....penda kusali mara kwa mara.....na mwombe Mungu hitaji lako.....