Ushauri: Nimemfumania na mwanamke ndani kwake

Ushauri: Nimemfumania na mwanamke ndani kwake

Fanya yako bibiwe, acha kupoteza muda wako,
kwa sasa fanya kazi kwa bidiii, Mwamini Mungu ipo siku utanyamaza tu kwani kila kitu kilichochini ya jua ni mali yake
Wakati wako bado ukifika hakuna atae zuia
 
sasa tukushauri nini???Hapo hakuna uchumba wala ndoa tena Shukuru Mola wako kakuonyesha mapemaaaaa his true colour pole sana inauma ila funga moyo wako utamsahau tu
 
Hawala hafumaniwi,mwite majina yote much as sio mumeo hujamfumania bado!!!!!

Ushukuru umemkuta kwake sababu ungemkuta kwa mwanamke mwingine ungepigwa kwa kuingilia mapenzi ya watu na kesi ya kubambikiwa wizi ingekuhusu!!!!!!

Kaa chini chagua lililo jema kwako!!!!
 
Habari za asubuhi wana JF, natumani mu wazima. Naombeni msaada na ushauri wenu katika hili:
Mimi ni msichana umri 26 yrs, nina mchumba tuliodumu miaka 2 sasa kuanzia 2011 tulipomaliza chuo pamoja.
Nafanya kazi bank na yeye anasoma masters huku akifundika shule moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi sikuwa kuwa na mpenz ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kuwa pamoja na tufunge ndoa mwakani 2014' na utambulisho tayari umefanyika.

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny sim yake kutoka kwa wapenz wake wa zaman ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Hajawahi hata kunitoa out, hata nguo hajawahi kuninunulia na kwa sabab nina kazi nalipwa 3 times more ya mshahara wake sikuona shida sana.

Kinachoniumza ni hiki, miezi 2 iliyopita amenibadilikia sana mawasiliano hafifu just gmorning and g9t, nliumia sn ckujua nn kinaendelea. Nikapeleleza kumbe mpenz wake wa zamani anall kwake cku ambayo mm cjaenda. Juz nkapigiwa cm na majiran zake kuwa huyo kuna mdada kaja kwa bf wako. Nikampigia sim nataman kuwa nawe leo akaniambia nmechka kwel naona tuonane kesh. Mim nkaenda nikawakuta akaanza kutahamaki na kupanic. Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfaham aliyenae ni hiki,
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu ulishajulikan kwa ndugu zangu basi.
2. Huyu nlianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanawake 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetan tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nn na maumivu haya makali nliyonayo.

Asanteni.

Hayatuhusu. This is your private business.

 
kwanza ni mbaya sana kwa mwanaume kutokua na aibu! ukiona mwanaume analeta mwanamke kwenye chumba chake tofauti na aliyezoeleka na majirani ni kwamba hamjali tena yule wa kwanza na pili ni wazi huyu mpya ana uwezo mkubwa wa kum-conroll huyu jamaa.

dada angu we hapo chukua time go ahead maana aliyenaye ana nguvu ya kummiliki jamaa zaidi yako!

ukiendelea utakuja umizwa sana kwenye maisha yako!kwa story ulivyosema ni wazi kuwa hata kukujali hakujali na mbaya zaidi ni majibu machafu aliyotoa ni wazi kuwa anauhakika we ni mnyonge wake na huu unyonge utakufanya uwe slave wake!

my take is kimbia before it is too late for your bank,family, JF and perhaps your future husband needs you much than he is!
 
Wanasema mshukuru Mungu kwa Kila Jambona pia Kila linalotokea linasababu.

Ushauri wangu umeishaonyeshwa huyo ni mtu wa aina gani. Ningeweza kukushauri uendelee nae kama,baada ya kumfumania angeomba radhi pale pale ,ingeonyesha anakupenda na hataki kukuacha, lakini kitendo cha kukuponda mbele ya yule demu inaonyesha anammind yule,na alijua atapata muda wa kureolsve na wewe baadae. Ukimkubalia ataendelea na nyie wote. Lakni pia kitendo cha majirani kukupigia simu inaonyesha wanamjua fika nyendo zake sio.

kwa ushauri wangu bwaga manyanga na usimpe nafasi tena,lakini pia ni wakati wa kutulia usije ukaanza kutafuta mpenzi wa haraka wa kujifari unaweza kuja umia zaidi.Mume au mke huwa anakuja kwa wakati.
 
Mdogo wng umepewa ushauri karibu wote wakisema mwache huyo Mchumba nami naunga hilo. Kimsingi yeye mwnyw ameshakwambia sasa fursa ipo kwako
 
uploadfromtaptalk1383286274538.jpg
 
pole mwaya lakini kumbuka huyo siyo pumzika kwamba bila yeye huwezi kupumua bahati nzuri unakazi unaweza kula,kulipa kodi ya nyumba hata kujenga achana naye waume wapo tu tulia watakuja wenye nia ya dhati kwako tena muombe mungu akusaidie kumsahau.
 
Huyo hakufai hata kidogo. Ulimfumania bado akakupatia majibu machafu maana hakuheshimu na hakupendi. Angekuwa anakupenda asingependa kuona unaumia hivyo.
Wewe achana naye kwa roho safi maana maisha huko mbele ukiwa naye yatakuwa magumu sana.
 
Fanya maamuzi magumu huyo amekugeuza wewe wakufanyia mazoezi.
 
Mh..mdogo wangu..ukiona umemkuta mwanaume na mwanamke na akakupa ujumbe kama huo..wala usifikirie mara mbili achana nae utapata mwingine..ata kama amejitambulisha achana nae..huyo ata ukimsamehe atakuja kukuumiza sana..bora kakuonyesha mapema kuliko ungejifunga kanisani kutoka utoki unalia usiku kucha achana nae..
 
"anythng that was learned can be unlearned..." hakuzaliwa akiwa malaya, bali alijifunza kuwa malaya. Kumbuka "nobody is perfect under the sun."
 
Una miaka 26 na una mwanamme kwa miaka 2, huyu tu unaomzungumzia hapa, hatujui wengine wa kabla yake, pengine uliupoteza usichana wako miaka 10 nyuma na unajiita msichana? una uhakika na usichana wako?

Sasa umemfumania nini? kwani ni mumeo? wewe ulipoweza kumvulia kufuli yako kabla hajakuoa ulifikiri kuwa wengine hatoweza kuwarubuni wakavua kufuli zao kama alivyokurubuni wewe?

Watu kama wewe ndio mnaohalalisha kuzini wakati dini zote zinakataza.

Nenda kapime.
You have been too harsh unnecessarily. Just a plain observation, nothing personal.
 
Aje kwako!

^^
Sikushauri kwa nia hiyo..na si lazima achague ushauri wangu..na si dhambi kushauri ninavyofikiri.
Kifupi sijapendezwa na kauli yako big in
^^
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ikiwa wewe kweli hujawahi kushiriki tendo hilo basi uwe wa kwanza kumtupia jiwe huyo binti.... Unajua kila jambo linawakati wake?? Huu siyo wakati wa kumshambulia kwa kushirikiana ngono na yule kijana muhuni.... Hata malaya wanaojiuza wakienda kupimwa na kukutwa nao huwahawashambuliwi.... Wanapewa nasaa kawaida tu... Anza na familia yako... Then wakiacha kufanya ngono kabla ya ndoa hamia mitandaoni sasa
Aliye kataza sex kabla ya ndoa sio mimi au familia yangu, ni Mungu, ukiwa unataka kumrushia mawe Mungu, we mrushie yeye sio mimi, si unaona vipi wewe kichaa.


Afu kwenye familia yangu, si unajua Babu yangu aliowa wake wanne, sijui kama hakuna wanamna hio lakini nikija wakuta. Ujuwe Al shabab hafai kitu, watajuta kuzaliwa.
 
"anythng that was learned can be unlearned..." hakuzaliwa akiwa malaya, bali alijifunza kuwa malaya. Kumbuka "nobody is perfect under the sun." ukifkria kwa upande wa pili "muungwana akivuliwa nguo huchutama" sasa unajiuliza hzo jeuri za kusmama ni kwamba hakuona aibu, ama vp?
 
Back
Top Bottom