Ushauri: Nimemfumania na mwanamke ndani kwake

Ushauri: Nimemfumania na mwanamke ndani kwake

Una miaka 26 na una mwanamme kwa miaka 2, huyu tu unaomzungumzia hapa, hatujui wengine wa kabla yake, pengine uliupoteza usichana wako miaka 10 nyuma na unajiita msichana? una uhakika na usichana wako?

Sasa umemfumania nini? kwani ni mumeo? wewe ulipoweza kumvulia kufuli yako kabla hajakuoa ulifikiri kuwa wengine hatoweza kuwarubuni wakavua kufuli zao kama alivyokurubuni wewe?

Watu kama wewe ndio mnaohalalisha kuzini wakati dini zote zinakataza.

Nenda kapime.
la unanikumbusha marehemu baba ....uwazi !
Ni kweli yaelekea jamaa hampendi na yeye tayari ameshaanza kuzama kwenye tope la utegemezi wa mapenzi
Dada inuka utoke humo utazama na kufa usirudi tena wanaume wapo mpe Mungu mzigo wako auchukue
 
hata mi nimeshangaa kidogo ila kwa haraka haraka nahisi yuko kwenye maumivu makali,labda pengine hapa sa hivi kajifungia ndani kakaa chemba hata kazini hajaenda just crying,daaaahhhh this thing called love is majanga sometimes,sio rahisi kwake kupona just soo soon lazima itamchukua muda na ndio maana hata sasa hajitokezi,labda alipomaliza tu kuandika na kuanza kulia kilio cha uchungu,jamani mapenzi haya,alaaniwe huyo kijana aliyechezea hisia za mwenziye.
,mkuu Blue G nilitaka kusema hayo hayo. sina haja ya kurudia . By the way mbona simwoni akirespond au hii ID ya kutoa tatizo lake tu na ana ID nyingine inayofahamika....LOL
 
we hazishindi za King'asti afu mwenyewe anasema yuko kwenye mood ya christmas sa sijui asingekuwa kwenye hiyo mood ingekuwaje?haaaaaaaahaaaaaaaahaaaaaaa acha nicheke niongeze siku za kuishi mie na hiyo ndo raha ya jf banah.
Hizi ndio zinaitwa 'za uso'!
 
Last edited by a moderator:
Telling her as it is means "too harsh unnecessarily" to you?

She wrote she has a boyfriend for 2 years and she is 26 years old. I asked if she is sure she is is still a maiden? is that "too harsh unnecessarily" to you?

By asking her if she could be lured to lower her padlock what makes her think others like unto her could not be lured is that "too harsh unnecessarily" to you?

She admitted that her boyfriend told her he had 4 other girls before her and by me asking her to go check herself, is that "too harsh unnecessarily" to you?

If that is your way of your thinking, its very unfortunate you are in the same boat like unto her, you are deliberately and unnecessarily encouraging promiscuous fornication.
I have pointed only 3 phrases which I think you have been too harsh to her! Surprisingly you are responding with a bunch of info which are completely out of my point. Read between the lines, and again don't take it personal.
 
Achana nae na umshukuru Mungu kumjua tabia zake kabla ya ndoa.ameshakuathiri kisaikolojia usikubali akuumize tena.
 
Hadi umekuja JF YAMEKUSHINDA BORA KILA M2 ASAKE UREFU WA KAMBA YAKE MIMI NIKO SINGEL 2NAWEZA CHATI 0755883313
 
NAOMBA USOME HII NA UIELEWE VIZURI

ROMANCE MATHEMATICS


Smart man + smart woman = romance
Smart man + dumb woman = affair
Dumb man + smart woman = marriage
Dumb man + dumb woman = pregnancy
______________________________
OFFICE ARITHMETIC

Smart boss + smart employee = profit
Smart boss + dumb employee = production
Dumb boss + smart employee = promotion
Dumb boss + dumb employee = overtime
_____________________________



SHOPPING MATH

A man will pay $20 for a $10 item he needs.
A woman will pay $10 for a $20 item that she doesn't need.
_____________________________



GENERAL EQUATIONS & STATISTICS

A woman worries about the future until she gets a husband.
A man never worries about the future until he gets a wife.
A successful man is one who makes more money than his wife can spend.
A successful woman is one who can find such a man.
_____________________________



HAPPINESS

To be happy with a man, you must understand him a lot and love him a little.
To be happy with a woman, you must love her a lot and not try to understand her at all.
______________________________



LONGEVITY

Married men live longer than single men do, but married men are a lot more willing to die.
______________________________



PROPENSITY TO CHANGE

A woman marries a man expecting he will change, but he doesn't.
A man marries a woman expecting that she won't change, and she does.
_____________________________



DISCUSSION TECHNIQUE

A woman has the last word in any argument.
Anything a man says after that is the beginning of a new argument.
_____________________________

HOW TO STOP PEOPLE FROM BUGGING YOU ABOUT GETTING MARRIED
Old aunts used to come up to me at weddings, poking me in the ribs and cackling, telling me, "You're next." They stopped after I started doing the same thing to them at funerals.
 
Achana nae atakuumiza, jipe likizo ya mapenzi wakati huo angalia uwezekano wa kumpata Mwanaume ambaye anaendana na wewe, utaenjoy ukipampata aliyetendwa na kuchukia mapenzi alafu wewe kuwa naye karibu muoneshe upendo then mtakuwa wapenzi, alafu pigania ndoa lakini make sure muwe mnaendana ili kupunguza uwezekano wa kutendwa tena.
Habari za asubuhi wana JF, natumani mu wazima. Naombeni msaada na ushauri wenu katika hili:

Mimi ni msichana wa miaka 26, nina mchumba tuliyedumu miaka 2 sasa kuanzia 2011 tulipomaliza chuo pamoja.

Nafanya kazi bank na yeye anasoma masters huku akifundika shule moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi sikuwa kuwa na mpenz ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kuwa pamoja na tufunge ndoa mwakani 2014 na utambulisho tayari umefanyika.

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny sim yake kutoka kwa wapenzi wake wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Hajawahi hata kunitoa out, hata nguo hajawahi kuninunulia na kwa sabab nina kazi nalipwa 3 times more ya mshahara wake sikuona shida sana.

Kinachoniumza ni hiki, miezi 2 iliyopita amenibadilikia sana mawasiliano hafifu just gmorning and g9t, nliumia sn ckujua nn kinaendelea. Nikapeleleza kumbe mpenzi wake wa zamani analala kwake siku ambayo mimi sijaenda. Juzi nikapigiwa simu na majirani zake kuwa huyo kuna mdada kaja kwa bf wako. Nikampigia simu kuwa 'nataman kuwa nawe leo' akaniambia nimechoka kweli naona tuonane kesho. Mimi nikaenda nikawakuta akaanza kutahamaki na kupanic.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfaham aliyenae ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu ulishajulikana kwa ndugu zangu basi.
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanawake 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini na maumivu haya makali nliyonayo.

Asanteni.
 
Habari za asubuhi wana JF, natumani mu wazima. Naombeni msaada na ushauri wenu katika hili:

Mimi ni msichana wa miaka 26, nina mchumba tuliyedumu miaka 2 sasa kuanzia 2011 tulipomaliza chuo pamoja.

Nafanya kazi bank na yeye anasoma masters huku akifundika shule moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi sikuwa kuwa na mpenz ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kuwa pamoja na tufunge ndoa mwakani 2014 na utambulisho tayari umefanyika.

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny sim yake kutoka kwa wapenzi wake wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Hajawahi hata kunitoa out, hata nguo hajawahi kuninunulia na kwa sabab nina kazi nalipwa 3 times more ya mshahara wake sikuona shida sana.

Kinachoniumza ni hiki, miezi 2 iliyopita amenibadilikia sana mawasiliano hafifu just gmorning and g9t, nliumia sn ckujua nn kinaendelea. Nikapeleleza kumbe mpenzi wake wa zamani analala kwake siku ambayo mimi sijaenda. Juzi nikapigiwa simu na majirani zake kuwa huyo kuna mdada kaja kwa bf wako. Nikampigia simu kuwa 'nataman kuwa nawe leo' akaniambia nimechoka kweli naona tuonane kesho. Mimi nikaenda nikawakuta akaanza kutahamaki na kupanic.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfaham aliyenae ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu ulishajulikana kwa ndugu zangu basi.
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanawake 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini na maumivu haya makali nliyonayo.

Asanteni.

Kumfumania ni kitu kimoja, lakini kukuheshimu hasa anapokua amekosea ni kitu kingine. Alipaswa kukuomba radhi kama kweli anakupenda na kukuthamini na sio kukufanyia kebehi. At lease angekudangaya basi. ACHANA NAE, HAJITAMBUI, NA ANASHINDWA KUTOFAUTISHA SEX NA LOVE.

Man to man we both know the game.
 
KATOTY, heshima kwako mdada.

Naomba nitoe ushauri wangu wa tofauti....

Je unampenda?
je anaonekana kukuppenda?
Je mnaendana ?
Je mnakubaliana katka mambo mengi?

Pole. Nakuomba ukae chini utafakari juu ya maisha unayoyata...Inawezekana sana haujaanza nahaujaelewa maisha ya ndoa. Ukiona baba na mama wanapanda gari moja wanacheka wanafurahi sio kwamba hawana matatizo ya ndoa, ila ni control tu. Hakuna couple inayaopendana duniani kama vile na Mungu na malaika, hapana wengi uficha udhaifu ila ndoa sio lelemamma.

Kumkuta mchumba wako na x, ni mbaya sana ila nakuomba ungeeleza historia, wakati unaingia mahusiano uyo mcumba alikuwa single, au alikuahidi ataachana na x na kuambatana na wewe?ok, kama alikuwa naye inawezekana mipango yake ni kuwa akianza kuishi na wewe ndio atamweleza x kuwa anataka kuoa, ila wewe unaisi bila ya yeye kuwa na ugomvi na x, atokee hewani tu waachane na akae single akisubiri muishi wote 2014??????

Kama kweli unampenda, kaa naye mkubaliane wazi wazi, kama atasema anaendelea na x, basi wewe nawe tafuta y , then achane naye. Wanaume wengi kabla ya kuoa uwa wana vidada pembeni, wengine mpaka hata siku mbili kabla ya ndoa ila uanza kubadilika wakiingia kwenye ndoa, ndio maana utasikia unaambiwa dah jamaa alikuwa kipanga ila ameoa ametulia....Nakuhakikishia hautakaa upate wa kwako peke yako, labda ukate mgomba uufungie ndaniiiii.

Tatizo la couple wengi ni kupenda kudanganyana...mdada au mkaka anapenda adanganywe tu kuwa, baby ni wewe tuuu, waapi! Wengi wetu ni kuwa tuko kwenye ndoa au mahusiano kwa kuwa hatujafumania, ila asilimia kubwa ni kuwa wanakula jirani bila kujua,
Usipende kufumania fumania, wewe omba Mola mtu wako awe anakupenda, mnapendana.

Ngoja nikwambie kitu,
Kuna couple zingine wanapendana ila hawaridhishani chumbani, kuna wengine wanapendana ila kila siku wanagombana, wengine wananuniana. Hawa wote hawana furaha kwenye ndoa. Kuna wengine wanapenda , hawana tatizo ila wanachit.

Kuchit kwa mwanamke au mme huwezi kujua hata kama mnapendana ila ila tu siku yakikukuta ndo utasema haumini macho yako...dadangu tulia na uyo mtu usianze kurukaruka.
WENGI WALIOACHIKA NI KWA SABABU YA KUJARIBU JARIBU, LEO ANAONA GSANA ANADATE NJE, WANAACHANA ANATAFTA MWINGINE, THEN ANAKUTA NA UYO ANA KIBINTI NJE, ANAACHA ANAENDA KWA JUMA ANAAMBIWA KAZAA NA MWANAMKE WA UKO GONGO LA MBOTO, ANAACHANA NAYE ANAENDA KWA BAKARI, ANAKUTANA NA NYUMBA NDOGO, ANATOKA ANAENDA KWA YOHANA ANAKUTA NI MLEVI NA ANATEMMBEA NA MWANAFUNZI, ANAACHANA NAYE KWENDA KWA JEROME ANAKUTA HAWEZI KAZI CHUMBANI , ANAONA DAH NOJA NIJARIBU KWA CHRIS ANAKUTA NI MGONVI NA ANA MSICHANA APA JIJINI....BAASI KITOTY ANAISHIA KWENDA JOLLY NA MAISHA CLUB ETI KUONDOA STRESS NA APO ANA MIAKA 49 USICHANA TUPA KULE, MAMA SI MAMA, MDADA SI MDADA.

Kiukweli wanaume single kabla ya ndoa ni wachache, hata mimi simo....ila najua wadada wapo tu wengi.
Jiandae uyashinde ndo utaitwa mwanamke. kuwa mwanamke sio kuota ziwa na kufuga nywele...ni kuuonesha uwanamke wako katika jamii. Sorry kama nyakukwaza, imani yangu inasema ukimkomboa mtu na akabili tabia, unakuwa unajiwekea akiba mbele ya macho ya Muumba. Kama dada alivosema apo juu, usimchukie x wa mmeo/mkeo kwa kuwa yeye ndo kamfikisha ulikomkuta. Mfano asingekuwa yeye labda mme/mkeo angekuwa kamlala bosi flani ambaye anasadikiwa amekufa kwa kuugua miwaya, ila mtu wako katunzana na x mpaka ulikomkuta. Yafaa umpe sifa na umzawadie kwa kukulelea kilichochema.

Je uliwahi kukosa uhondo ktk mapenzi yenu?uliwahi kulizwa ktk mahusiano yenu?una furahaa? Kama ivo vitu havipo sharti uondoke na kuanza upya , kama vipo, achana na maneno ya kusikia, ingia kwenye ndoa ummjenge mmeo , utakujaga kutueleza apa. Just assume kuwa wakati uko mbali mmeo yuko juu ya kifuu kingne na wengne assume wakati uko mbali mkeo yuko anamliwaza x wake...nakuambia hautakufa kwa presha. ila mawazo ya ile inaingiaga kwangu tu...siku utakuja kufa kwa pressure.

Cha muhimu mlindane msije angukia magonjwa, kaa mshauriane...mimi ntasubiri lawama zako siku ile ukiwa tayari kwenye ndoa ila aya ya mchumba wangu bado anamdate x, nani kakueleza??? Ahadi aliyokupa ya ndoa ndo ile ile aliyompya uyo unayemwita x. na uyo x anajiuliza ni nani uyu y anayedate na x wangu? nini kinachomfanya x aende kwa y? so love game ndo ilivo ila katika mapenzi kuelekea ndoa, hakuna droo!!!!one successiful man or woman will entre the final and yet win the game of marriage.

Yangu ni ayo tu kitoty.
Mshauri uyu anaitwa Gsana, mhasibu, mwanasheria na mfanyakazi wa benki aliyejistaafisha miaka kadhaa iliyopita na ni mchumba wa mdada mmoja na ni bwana harusi mtarajiwa miaka michache ijayo. Gsana, jf.
 
Acha kupenda kwa kutumia moyo utaumia mdogo wangu penda kwa kutumia akili . Huyo ameshakujua ameona huna faida kwake sasa anakutesa tuu pili naomba nikuulize umeshawahi kuumizwa mara ngapi au kuumiza mara ngapi?. Achana nae bora kuvunja uchumba kuliko ndoa .#Hutaki unaacha
 
njoo tujivinjari na sie kisha mpgie Simu aje atufume ukiikatikia
nichek pm kwa mpango mzima
 
it takes one to know one.
hehehe nimekumiss. :busu
hebu niulize swali lolote leo ntakujibu, im in a christmas mode
chonde chonde hiyo smiley, sitaki vita na mod :yield:.

as for question; im trying to change my wardrobe na dress style. got any places with affordable good clothes? my current ones are too boring and unoriginal :/
 
pole dada fanya maamuzi mapema utaumia lakini utasahau kuliko ukiingia kwenye ndoa ndio utajuta zaidi
 
Msamehe,hicho ni kipindi cha mpito,akikua ataacha.Pili kwa wanaume wengi waliokuwa na mahusiano na wapenzi wengi hapo kabla inakuwa ngumu sana kuvunja mahusiano.Tatu kwa kuwa mmeshiriki naye tendo la ndoa kaa ukijua kuwa bf hawezi akalala bila mwanamke kwani alishazoea hivyo.Nne funga ndoa mapema hiyo ni dawa safi kwa wanawake uliowakuta.

Acha kumpoteza mwambie aachane nae huyo amashapata alichotaka basi . Cha msingi aache kupenda kwa kutumia moyo atumie akili kupenda . Bora kuvunja uchumba kuliko ndoa kujitambulisha kitu gani bwana
 
Pole sana Mdada, endelea kumuomba Mungu kwa nguvu zako zote ili akupe majibu kama huyo ndo atakayekuwa mume wako wa kweli aliyekupangia kukupa au la!!

Nashindwa kukupa ushauri mwingine zaidi ya hapo ila angalia moyo wako unasemaje juu ya hayo matendo yanayoendelea.
 
Je huyo ni mchumba wako na kesha toa posa kwamba umemfumania?

km jibu siyo, basi huna haja ya kusononeka, nadhani mlikuwa bado mko ktk hatua ya kujipanga kila mtu kumwelewa mwenzake. sasa ww tayari umeshamwelewa chukua maamuzi magumu.

Huyo jamaa bado hajatulia na bado takuwa nao wengi tu mbali ya huyo uliyemkuta naye.

Pole sana: nakushauri piga hatua mbele mbona wako wengi tu watamu na wazuri au umekolea sana hapo?

Jikaze achana naye.
 
First: PIGA CHINI
Then:

fikiria: kama yeye ameweza kuwa na wa3 akaachana nao, na akasurvive, kwako wewe kwanini usiweze?
Tatu:maisha ni mafupi sana, mi nasemaga "life is too short to dance with ugly women" na with "ugly" namaanisha aina ya hao wako
nne:
kwanini u-opt shida? there are so many options out there...
And,love was meant to make people happy not to hurt them......
​LEARN TO LET GO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Una miaka 26 na una mwanamme kwa miaka 2, huyu tu unaomzungumzia hapa, hatujui wengine wa kabla yake, pengine uliupoteza usichana wako miaka 10 nyuma na unajiita msichana? una uhakika na usichana wako?

Sasa umemfumania nini? kwani ni mumeo? wewe ulipoweza kumvulia kufuli yako kabla hajakuoa ulifikiri kuwa wengine hatoweza kuwarubuni wakavua kufuli zao kama alivyokurubuni wewe?

Watu kama wewe ndio mnaohalalisha kuzini wakati dini zote zinakataza.

Nenda kapime.

wewe kuongea pumba ni kawaida yako. Mfyuuuuu kupoteza uschana inahusu nini na tatizo alilopata???? Haya wameshajua wewe ni bikra wasubiri inbox wakitangaza nia. Hovyooooo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
habari za asubuhi wana jf, natumani mu wazima. Naombeni msaada na ushauri wenu katika hili:

Mimi ni msichana wa miaka 26, nina mchumba tuliyedumu miaka 2 sasa kuanzia 2011 tulipomaliza chuo pamoja.

Nafanya kazi bank na yeye anasoma masters huku akifundika shule moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi sikuwa kuwa na mpenz ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kuwa pamoja na tufunge ndoa mwakani 2014 na utambulisho tayari umefanyika.

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny sim yake kutoka kwa wapenzi wake wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Hajawahi hata kunitoa out, hata nguo hajawahi kuninunulia na kwa sabab nina kazi nalipwa 3 times more ya mshahara wake sikuona shida sana.

Kinachoniumza ni hiki, miezi 2 iliyopita amenibadilikia sana mawasiliano hafifu just gmorning and g9t, nliumia sn ckujua nn kinaendelea. Nikapeleleza kumbe mpenzi wake wa zamani analala kwake siku ambayo mimi sijaenda. Juzi nikapigiwa simu na majirani zake kuwa huyo kuna mdada kaja kwa bf wako. Nikampigia simu kuwa 'nataman kuwa nawe leo' akaniambia nimechoka kweli naona tuonane kesho. Mimi nikaenda nikawakuta akaanza kutahamaki na kupanic.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfaham aliyenae ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu ulishajulikana kwa ndugu zangu basi.
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanawake 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini na maumivu haya makali nliyonayo.

Asanteni.



futa,......delete kabisa
 
Back
Top Bottom