Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,594
- 1,863
Sasa matusi yameingiaje tena hapa?
Ila haina shida nakuchukulia tuu kama ulivyo...
"JAMAA ALISHA SEMA ALIKUWANAO.."
Ungetaka andike yoote alio pitia hapa..we una waza yako unaongezea hapa, na pia una komalia saana DINI kuna dini nyingi saana hapa dunian sahiv,kwa hiyo hicho sio kigezo.
Pili wewe una HUKUMU kwa nini, nadhani nyie ndio mnapiga watu wawe na kujitoa muhanga kisa mnalipiza...MTOTO AKIKOJELEA SEHUMU FULAN YA MWILI WE UTAPAKATA ? unapenda saana kuhukumu na huna roho ya msaaada wala kusamehe wewe,!!
Hakuna hukumu ya MAPENZI hapa duniani.
Na mwisho ameomba ushauri na sio ku mdhalilisha...kama ulikuwa huna la maana la kushauri unge kula kona!
Ila haina shida nakuchukulia tuu kama ulivyo...
"JAMAA ALISHA SEMA ALIKUWANAO.."
Ungetaka andike yoote alio pitia hapa..we una waza yako unaongezea hapa, na pia una komalia saana DINI kuna dini nyingi saana hapa dunian sahiv,kwa hiyo hicho sio kigezo.
Pili wewe una HUKUMU kwa nini, nadhani nyie ndio mnapiga watu wawe na kujitoa muhanga kisa mnalipiza...MTOTO AKIKOJELEA SEHUMU FULAN YA MWILI WE UTAPAKATA ? unapenda saana kuhukumu na huna roho ya msaaada wala kusamehe wewe,!!
Hakuna hukumu ya MAPENZI hapa duniani.
Na mwisho ameomba ushauri na sio ku mdhalilisha...kama ulikuwa huna la maana la kushauri unge kula kona!