Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Alishasema amestaafu sex..ww unamrudisha 😬Misri!😏Komaa hapo hapo mkuu. Utalindwa na huko huko unapewa vitu vizuri
Alishasema amestaafu sex..ww unamrudisha 😬Misri!😏Komaa hapo hapo mkuu. Utalindwa na huko huko unapewa vitu vizuri
Nawakati wewe ni bwana tayariBwana yupi tena?
Habari 👋🏾
Wakuu nahitaji kuwa na ulinzi masaa 24/7 kwangu mimi na vitu vilivyo chini yangu. Ningelipenda kufahamu aina bora ya ulinzi, nitumie ulinzi wa jeshi au security agencies?
Wenye mnaulinzi binafsi ni aina gani ya ulinzi mlionao, makadrio ya gharama na ushauri katika hili.
Asante.
Habari 👋🏾
Wakuu nahitaji kuwa na ulinzi masaa 24/7 kwangu mimi na vitu vilivyo chini yangu. Ningelipenda kufahamu aina bora ya ulinzi, nitumie ulinzi wa jeshi au security agencies?
Wenye mnaulinzi binafsi ni aina gani ya ulinzi mlionao, makadrio ya gharama na ushauri katika hili.
Asante.
Habari 👋🏾
Wakuu nahitaji kuwa na ulinzi masaa 24/7 kwangu mimi na vitu vilivyo chini yangu. Ningelipenda kufahamu aina bora ya ulinzi, nitumie ulinzi wa jeshi auagencies?
Wenye mnaulinzi binafsi ni aina gani ya ulinzi mlionao, makadrio ya gharama na ushauri katika hili.
Asante.
Damu ya Yesu
Hapana nimejifungia ndani kiongozi.Huko ulipo unalindwa
Tumia valium ni ulinzi toshaHabari
Wakuu nahitaji kuwa na ulinzi masaa 24/7 kwangu mimi na vitu vilivyo chini yangu. Ningelipenda kufahamu aina bora ya ulinzi, nitumie ulinzi wa jeshi au security agencies?
Wenye mnaulinzi binafsi ni aina gani ya ulinzi mlionao, makadrio ya gharama na ushauri katika hili.
Asante.
Kwa sasa nipo Kagera naingia na kutoka, lakini naona mbeleni nitakuwa na masuala muhimu na safari ambazo zitahitaji ulinzi haijalishi nikiwa wapi.
Unataka kusema kwamba "Bwana asipoulinda mji, walindao walinda bure"Mkuu si umuachie Bwana hilo swala la kukulinda?
WapoMkuu aina ya ulinzi unayoiulizia inaweza kuwa ngumu kwa hapa kwetu, maana hapo unahitaji mtu aliyefuzu mafunzo ya usalama.
Sikukatishi tamaa lakini sidhani kama tuna privates wanaofanya hizi kazi
Wapo
Zindiko tu, ni ulinzi madhubuti.... ila zingatia ku-update kwa wakati.
Camera inamzuia mhalifu??Njoo tukufungie security system nzuri kuanzia kwenye gari yako chumbani kwako, fence yako, pamoja na cameras nzuri bila ya kuwa hata na mlinzi wa getini technology can't lie, But people can lie!
Nicheki PM Castr naona pm umefunga, unipe hit mbili tatu kuna kitu nahitaji...Ndugu yangu nashukuru.
Kwako mleta uzi. Nina uzoefu kidogo na huduma ya ulinzi kutoka kwa makampuni, kutegemea na kampuni inawezekana ukachajiwa kutegemea na idadi ya walinzi wanaoletwa nyumbani kwako.
Mfano unaweza ambiwa kila mlinzi umlipie 150K kutegemea na kampuni gharama itapanda zaidi ama la.
Kwa walinzi mabaunsa hapa kuna factors nyingi. Ila kwa ujumla baunsa anaweza akalinda mtu kwa siku kwa pesa ndogo kabisa kuanzia 20K, hela hupanda kutegemea na alivyojiestablish, na umemkuta nyakati gani. Kuna nyakati za njaa na kwa ninavyojua tangu ulinzi wa mabaunsa uwanja wa taifa na bills kuvunjwa wengi sasa hivi ni nyakati ngumu.
Pia kama atakuendesha pesa inaweza ikapanda. Ikatokea ana skills zingine pesa inaweza ikapanda. Kwa sasa sipo Dar, ila kama utataka kulindwa na baunsa naweza kukuunganisha na watu wawili watatu ambao mnaweza kubaliana wenyewe.
Halafu mlinzi husika anapewa 250,000...Kama ni nyumbani tu. Tumia kampuni za ulinzi.
Kwa kampuni kubwa andaa angalau Tsh 900,000 kwa mlinzi.