Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 43,905
- 150,212
hahahahaahhahahaha mkuu itakuwa una pesa nyingi ... ni mwezi nahisAsante nazidi kupata chaguzi nyingi sasa. Hii 500k ni wiki au mwezi?
hahahahaahhahahaha mkuu itakuwa una pesa nyingi ... ni mwezi nahisAsante nazidi kupata chaguzi nyingi sasa. Hii 500k ni wiki au mwezi?
Oh! Shukrani 👌🏾Amezitaja Mose juu 900K ila walio chini ya kampuni kwa Personal tu 400K kama unahusika na kushika Pesa na vitu vya thamani nashauri wa Kampuni ila kama for safe tu hata personal...all in all yours.
Yes mm ubodygyard nauweza mkuu ingawa sijawah practice...!So Wangari Maathai unaweza kuwa bodyguard sio?
Kunusa mmhHapa unamaanisha unatafuta bodyguard mwenye uwezo wa kunusa au sio?
Walaah! Sema nimeanza kupokea simu na jumbe zinazonitishia kuniumiza au kuuwawa.hahahahaahhahahaha mkuu itakuwa una pesa nyingi ... ni mwezi nahis
Utaaribiwa uwanafunzi wakoNaomba niwe mlinzi wa moyo wako
Shukrani kwa uchambuzi wako, sema kupika na masula yote namaliza mwenyewe tatizo ni hofu nikianza kutoka na kwenda maeneo unfamiliar.Mkuu, sasa wewe huhitaji Mlinzi mmoja.
Unahitaji kundi la ulinzi:
Kundi la kwanza, walinzi wanaokuwepo na wewe kila mahala unapokuwepo. Wawe ni njemba zilizoshiba na zenye uwezo na kibali cha kutumia silaha pale inapobidi.
Kundi la pili, wakusanya taarifa kuhusu mahali popote utakapotarajia kwenda. Hawa wanahitajika kuwa wenye elimu ya ushushushu kwa kiwango kidogo. Wadadisi wa mambo.
Kundi la tatu, hawa ni wapishi wa chakula na waandaji wa eneo utakalopumzika ukiwa safarini na nyumbani.
Kundi la nne, walinzi wa nyumbani pamoja na eneo lako la biashara. Muda wote 24/7 wapo kuhakikisha panakuwa salama.
Usijipe guarantee kwamba kuwa chakula atakachoonja Body guard ndipo ulekitakuwa salama. Mnaweza kufa wote na hakuna atakayejali.
Swala zuri ni kuwa na mpishi wako (Chef) ambaye unamuamini na kumlipa vema.
Kama hivi, andaa budget kubwa sana zaidi ya 10M kwa mwezi.
KaribuNaomba niwe mlinzi wa moyo wako
Ha ha ha ha kiaje sasa mkuu?Utaaribiwa uwanafunzi wako
Basi ondoa kundi la wapishi.Shukrani kwa uchambuzi wako, sema kupika na masula yote namaliza mwenyewe tatizo ni hofu nikianza kutoka na kwenda maeneo unfamiliar.
Asantee mkuu... ila mimi kwa sasa nataka kushughulikia suala la kamguu ka kuku kwanza. Sijafikia maisha ya kuweza kumiliki walinzi binafsi. Nami nakutangulizia ulinzi wa kiroho kwanza in Thy Might Name AmenKaribu
Bwana hafanyi mambo yake kwa nanna hiyoMkuu si umuachie Bwana hilo swala la kukulinda?
Bwana yupi tena?Mkuu si umuachie Bwana hilo swala la kukulinda?
Mkuu ulivvyo serious kama jamaa kwakwambia yeye BABLO au ELCHAPOBasi ondoa kundi la wapishi.
Kundi la wakusanya taarifa pia liwe ni kwa muda. Pale tu utakapokuwa safarini.
Woooow thank you. Hapo kwenye upande wa kisheria ndo nilipotamani kujua zaidi mkuu... tafadhali dadavua zaidiMkuu, sasa wewe huhitaji Mlinzi mmoja.
Unahitaji kundi la ulinzi:
Kundi la kwanza, walinzi wanaokuwepo na wewe kila mahala unapokuwepo. Wawe ni njemba zilizoshiba na zenye uwezo na kibali cha kutumia silaha pale inapobidi.
Kundi la pili, wakusanya taarifa kuhusu mahali popote utakapotarajia kwenda. Hawa wanahitajika kuwa wenye elimu ya ushushushu kwa kiwango kidogo. Wadadisi wa mambo.
Kundi la tatu, hawa ni wapishi wa chakula na waandaji wa eneo utakalopumzika ukiwa safarini na nyumbani.
Kundi la nne, walinzi wa nyumbani pamoja na eneo lako la biashara. Muda wote 24/7 wapo kuhakikisha panakuwa salama.
Usijipe guarantee kwamba kuwa chakula atakachoonja Body guard ndipo ule kitakuwa salama. Mnaweza kufa wote na hakuna atakayejali.
Swala zuri ni kuwa na mpishi wako (Chef) ambaye unamuamini na kumlipa vema.
Kama hivi, andaa budget kubwa sana zaidi ya 10M kwa mwezi.
Mguu wa kuku uki meet na msongo wa mawazo katika muda sahihi na sehemu sahihi uwenda ikiwa njia rahisi ya kujiuwa.Asantee mkuu... ila mimi kwa sasa nataka kushughulikia suala la kamguu ka kuku kwanza. Sijafikia maisha ya kuweza kumiliki walinzi binafsi. Nami nakutangulizia ulinzi wa kiroho kwanza in Thy Might Name Amen