isajorsergio
Platinum Member
- Apr 22, 2018
- 4,125
- 6,250
- Thread starter
- #61
Mie katika maisha yangu sikuwaza kuwa na ulinzi binafsi, hivi karibuni kuna jumbe na simu zinanitisha hivyo sina budi kupambania maisha yangu.Asantee mkuu... ila mimi kwa sasa nataka kushughulikia suala la kamguu ka kuku kwanza. Sijafikia maisha ya kuweza kumiliki walinzi binafsi. Nami nakutangulizia ulinzi wa kiroho kwanza in Thy Might Name Amen