Car Wash is just hustle, not a sustainable business idea.
Successful people strive to build businesses and never rely just on hustles.
Mfano: Usitegemee Car Wash inaweza kuwa Conglomerate hata siku moja.
It's a hand to mouth business.
Mkuu unaandikaga vitu madini sanaa, kuna mada moja uliandika kama unataka kuacha ajira hakikisha una fanya kitu biashara inayoeleweka kama ukatoa mfano Smartcode, Maxmalipo na Jefren kama utakumbuka ile nimeishika mpaka leo.Car Wash is just hustle, not a sustainable business idea.
Successful people strive to build businesses and never rely just on hustles.
Mfano: Usitegemee Car Wash inaweza kuwa Conglomerate hata siku moja.
It's a hand to mouth business.
Shinyanga
Eneo linalipa mkuu?Shinyanga
Hii biashara inalipa mno sema watz wachoyo had wa mawazo. Hapa wajuzi wapo wazoom tu.Ebwana wasalam wana jukwaa,
Kama ada ya jukwaa hili uhai wake upo kwenye kureta vitu na majambo yenye tija kwa dhumuni la wote tuondokane na maisha haya ya kimaskini na kuweza kuishi maisha yenye tija.
Niende moja kwa moja kwenye mada kuna vitu vingi vyenye tija na vinavyolipa katika maisha lakini vitu vingi, biashara nyingi zinazolipa zinahiataji pesa za kutosha kuwekeza hivyo kwa sisi maskini inakuwa ni vigumu sana kuweza hata kukalibia biashara hizo.
Lakini pia kutokana na uwezo wetu mdogo wa kimaskini na sisi kuna biashara zenye tija ambazo kwa level zetu tukijibana na kujitutumua tunaweza kuzifanya na kutoka kwenye haya maisha kwa njia yoyote ile moja ya biashara hiyo ni car wash.
Hakuna mjuzi sana wa mambo humu pia hakuna anayejua kila kitu ila hii haisababishi wewe kutokujua vitu kwa uchunguzi wangu hii biashara inalipa sana kutoka kwenye sources mbalimbali ila hapa nataka kujua tu je jumla mzima ya mtaji wa project hii ya car wash ukijumuisha vitu vyote.
Hapa nazungumzia mfano zile kidogo modern kama za kwenye shell mbalimbali mijini, napenda nijue hicho ili nianze movement zangu hivi sasa za kuzisaka hizo pesa sasahivi.
Kwa anayejua anieleze tu minimum shilingi ngapi na maximum shilingi ngapi bila kuanisha nini na nini kinaitajika.
OCTOBER MAN
NAWASILISHA
Unaweza kubeba gunia.mkihitaji kibarua msisahau kutugawia na sie tutoke majumbani
Hueleweki umesimama wapMkuu unaandikaga vitu madini sanaa, kuna mada moja uliandika kama unataka kuacha ajira hakikisha una fanya kitu biashara inayoeleweka kama ukatoa mfano Smartcode, Maxmalipo na Jefren kama utakumbuka ile nimeishika mpaka leo.
Final business ambayo niliilenga sikuzote Carwash ila naonaga kabisa inanipa mkanganyiko kwamba hii inaweza kuwa Tangible dream business kweli mpaka niiamini yaani ulichoandika hapo juu ndio umenipa jibu kuna ile Carwash inaitwa JerryCarwash imekufa kabisa nikiunga dot na hapa naona kweli ufanye kama hustle.
Ila zipo Carwash kubwa mjini kama njia ya buguruni kwenda ilala inaitwa METRO bonge la investment kama ushawai kuiona ile ndio unanifanya niamini Carwash inaweza kuwa Biashara ya kueleweka.
Sent using Jamii Forums mobile app
We all have a starting pointCar Wash is just a hustle, it ain't a sustainable business idea.
Successful people strive to build businesses and never rely just on hustles.
Mfano: Usitegemee Car Wash inaweza kuwa Conglomerate hata siku moja.
It's a hand to mouth business.
Mkuu inategemeana na sehemu, sisi huku mikoani kipindi cha mvua ndio kipindi cha kupiga hela sana tofauti na kiangazi kwani magari mengi yanakuwa yameoga tope hivyo hata uwe bahili vipi lazima uje uoshe gari yakoBahati nzuri sana nnafanya biashara ya Car wash ila ina changamoto yake, haswa kipindi cha mvua kuna changamoto maana watu hawaoshi magar sana, pili vifaa kidogo ni ghali sema ukijipanga unanunua, kinachozingua zaid ni kodi asee wenye maeneo mjini wanatuua kwa bei kubwa
Nina wazo la kufungua car wash sehemu yoyote ili hasa maeneo ya kanda ya ziwa. Kwa sasa kifaa ambacho ninacho ni mashine yaani naombeni ushauri wa vitu vifuatavyo.
1. Kwa anaejua eneo zuri ambalo naweza kuiweka kwa kanda yaziwa.
2. Vitu gani vingine vinahitaji ili niweze kufungua car wash yangu kwa kuzingatia saivi nina mashine tu
3. Naombeni changamoto yoyote ambayo nitegemee kutokea nikisha fungua.
4. Nipe ushauri wa ziada.
unauzaje?Njoo tuyajenge nina Car wash Mwanza Town kuna maji ya idara na sim tank njoo nikuuzie upate starting point nzuri
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi huko mkuuHuku kwetu nilikwenda kukodi eneo la carwash nikaambiwa 300,000/= per month then nilipe 6month
Sijawahi kurudi but still eneo lipo wazi tu
Mkuu bado ipo?